Petition | Government of Tanzania: Stop police violence against peaceful demonstrators and journalists | Change.org
Ninapata shida sana na maneno hayo kwanye red.
Je ni kweli kuna clashes na hasa hapo kulikuwa na clashes? Au lugha imenishinda?
Mimi nanouna kuwa ni muhimu sana kutumia maneno sahihi. Kutumia mapambano kati ya wafuasi wa CHADEMA na polisi kwanza siyo kweli, pili inaonyesha polisi walikuwa na haki kutumia nguvu zaidi katika mapambano. Zaidi hawa unaowatumia petotion wataona mazingira hayo ni ya vita vita . Kuna mwanajamvi mmoja humu alielezea waandishi na wafuasi wa CDM kuikubali propaganda hizi.
The horrific killing of Mr. Mwangosi, a journalist with Channel 10, and the Chairman of the Iringa Press Club, took place against the backdrop of escalating clashes between the Tanzanian police and supporters of the Opposition CHADEMA Party and the Movement for Change (M4C)....
Ninapata shida sana na maneno hayo kwanye red.
Je ni kweli kuna clashes na hasa hapo kulikuwa na clashes? Au lugha imenishinda?
Mimi nanouna kuwa ni muhimu sana kutumia maneno sahihi. Kutumia mapambano kati ya wafuasi wa CHADEMA na polisi kwanza siyo kweli, pili inaonyesha polisi walikuwa na haki kutumia nguvu zaidi katika mapambano. Zaidi hawa unaowatumia petotion wataona mazingira hayo ni ya vita vita . Kuna mwanajamvi mmoja humu alielezea waandishi na wafuasi wa CDM kuikubali propaganda hizi.