falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,299
Mbona bunduki zenyewe zinakaa kuchapa hivi, yaani zina kutu na ni aibu kama zilikua zinatumika na polisi. Ndio maana walinyang'anywa kiurahisi hivyo.
Bloody PessimistSarakasi za kova Hizo hakuna Kitu.
wewe mtu umevunja mbavu zangu,halafu tokea lini wakikuyu wakawa watu wa kujifagilia kama unavyofanya,eti zimechapa juu umefoget venye maaskari wa garisa wanatupia kitu cha yeboyebo mguuni
Wakuonyeshe ili iweje
Hizo bunduki zilikuwa zimefichwa in septic tank with faeces on topMbona bunduki zenyewe zinakaa kuchapa hivi, yaani zina kutu na ni aibu kama zilikua zinatumika na polisi. Ndio maana walinyang'anywa kiurahisi hivyo.
uerevu wako kwenye umefika ndo ujinga wa polisi umeanza. you were there and witnessed it little did you know you were part of the ''Act''.I was there during the ambush, hakuna chumvi wala pilipili ya ziada! Risasi ziliskika na miili mitatu ilitolewa ndani + wajinga wawili
Sisi ni wastaarab si kama Police wa Kenya! Tunajibu Unyama kwa unyama wa kiistaarab hautakaa kuona miili yao ikitembezwa uchi wakati inavuja damu na matundu ya risasi kama KDF, Recce na KP wanavyofanya Garissa na ndani ya Kenya yoote! Si unaona tunawaita majambazi wakati wanaonekana kabisa ni magaidi ni katika kule kutotaka kushawishi jamii kuanza kuwa na sympathy nao! Ila chamoto wanakipata! Wa Uamsho wamegoma kula mara kibao ila wanalishwa kilazima huku kesi ikiendelea
ngoja waje wenyewe ushawagusa pabaya
Kenyans need evidence! kudanganywa kidanganyika hatutambui.
those 2 injured in the hospital are also a lie? their bullet injuries came from accident?Kenyans need evidence! kudanganywa kidanganyika hatutambui.
falcon mombasa Uniambie kwa jinsi hiyo kama mnaweza huu mziki ukianza kurindima mjini. Kila siku mnawataja taja hawa sana, ilhali mnazinguliwa na hao vijana wa viroba na konyagi.
Ngoma yenyewe inachezwa na vifaa kama hivi hapa, sio hizo bunduki zenye kutu.
Stage managed accidents.....or were you the doctor attending to em?those 2 injured in the hospital are also a lie? their bullet injuries came from accident?