Polisi anayeenda kumkamata mwananchi anatakiwa kuwaje? Mwananchi anatakiwa kufanya nini ikiwa amegundua mtu huyo siyo polisi?

Polisi anayeenda kumkamata mwananchi anatakiwa kuwaje? Mwananchi anatakiwa kufanya nini ikiwa amegundua mtu huyo siyo polisi?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu mko salama?

Kumekuwa na matokeo mengi yanatokea hivi karibuni watu wanakamatwa na watu wanaojitambulisha ni polisi mwisho wa siku wanaokotwa wamekufa, polisi wakiambiwa ni wao wamefanya hivyo wanagoma kuwa waliowakamata siyo polisi.

Wakati mwingine huwa inatokea wanaomkamata mtuhumiwa kuwa na nguo za polisi lakini bado polisi watasema hizi siyo zare zetu, hakuna polisi aliyeagizwa kufanya jambo hili. Lakini pia kuna hii mtu anakwambia ni polisi anatoa kale ka badge chap na kukirudisha mfukoni hata hujaona vizuri kuwa ni polisi, na kwa jinsi Watanzania tulivyo waoga na hatujui haki zetu hatuulizi zaidi, na ukiuliza unaweza kula mitama mpaka unakubali kuondoka mwenyewe.

Pia soma: Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

Lakini pia kuna wale wapepelezi ambavyo kwa nilivyosikia wao huwa hawavai sare, sasa huyu anaruhusiwa kwenda kumkamata mtu? Kama ndio anatakiwa awaje ili mwananchi atambue huyu ni polisi mpelelezi kweli na siyo muuaji aliyeenda kukatisha maisha yake?

Jambo linaloleta mkanganyiko zaidi ni pale inapotokea mtuhumiwa anagoma kukamatwa na mtu aliyejitambulisha kama polisi lakini hajatoa kitambulisho huwa anachukuliwa kwa nguvu. Chukulia mfano wa kesi ya Robert Mushi, ndugu wa Boniface Jacob, mashuhuda walisema walisema waliokuja walijitambulisha kama polisi lakini hawakuwa na gwanda za polisi, na hata Robert alipojaribu kujitetea hawakusikiliza chochote wakaondoka naye. Polisi walipoulizwa wakasema hakuna polisi walioagizwa kutekelezwa hilo na mwisho wa siku jamaa huyo akaibuka amekufa.

Sasa naomba tupate ufanunuzi hapa, polisi akija kukukamata anatakiwa kuwaje? Na akiwa vipi unatakiwa kujilinda na kugoma kuondoka naye?
 
Wakuu mko salama?

Imewahi kutokea mara kadhaa mtu anachukuliwa na watu wanaojitambulisha kama polisi mwisho wa siku anaokotwa sehemu amekufa, wananchi wakisema waliomchukua ni polisi wanagoma hawakuwa wao sbabau hawakuvaa gwanda za polisi.

Wakati mwingine huwa inatokea wanaomkamata mtuhumiwa kuwa na nguo za polisi lakini bado polisi watasema hizi siyo zare zetu, hakuna polisi aliyeagizwa kufanya jambo hili. Lakini pia kuna hii mtu anakwambia ni polisi anatoa kale ka badge chap na kukirudisha mfukoni hata hujaona vizuri kuwa ni polisi, na kwa jinsi Watanzania tulivyo waoga na hatujui haki zetu hatuulizi zaidi, na ukiuliza unaweza kula mitama mpaka unakubali kuondoka mwenyewe.

Lakini pia kuna wale wapepelezi ambavyo kwa nilivyosikia wao huwa hawavai sare, sasa huyu anaruhusiwa kwenda kumkamata mtu? Kama ndio anatakiwa awaje ili mwananchi atambue huyu ni polisi mpelelezi kweli na siyo muuaji aliyeenda kukatisha maisha yake?

Jambo linaloleta mkanganyiko zaidi ni pale inapotokea mtuhumiwa anagoma kukamatwa na mtu aliyejitambulisha kama polisi lakini hajatoa kitambulisho huwa anachukuliwa kwa nguvu. Chukulia mfano wa kesi ya Robert Mushi, ndugu wa Boniface Jacob, mashuhuda walisema walisema waliokuja walijitambulisha kama polisi lakini hawakuwa na gwanda za polisi, na hata Robert alipojaribu kujitetea hawakusikiliza chochote wakaondoka naye. Polisi walipoulizwa wakasema hakuna polisi walioagizwa kutekelezwa hilo na mwisho wa siku jamaa huyo akaibuka amekufa.

Sasa naomba tupate ufanunuzi hapa, polisi akija kukukamata anatakiwa kuwaje? Na akiwa vipi unatakiwa kujilinda na kugoma kuondoka naye?
Bora utulie tu ukijifanya mjuaji utachezea kila aina kichapo au kesi kuwa pro max
 
1. Askari akikuweka chini ya ulinzi muulize kitambulisho ni haki yako.

2. Askari akikukamata akuoneshe kitambulisho chenye muhuri wa mahakama kama anasema ametumwa na mahakama kukumata, ni haki yako.

3. Askari akikukamata akwambie kwanini anakukamata na anakupeleka kituo gani, ni haki yako.

4. Unaruhusiwa na sheria kukataa kukamatwa hata kutumia nguvu kama hukuambiwa sababu ya kukamatwa.

5. Askari anapokiuka taratibu za ukamataji anageuka na kuwa mhalifu ni haki yako kujikinga naye.

6. Askari haruhusiwi kukuvuta shati, kukukaba koo, kukushika suruali kama hujakataa kukri amri halali.

7. Askari haruhusiwi kuondoka na mtu mwingine baada ya kumkosa mtuhumiwa halisi.

8. Askari haruhusiwi kupekua nyumba ya mtu bila kibali cha kupekua.

9. Askari lazima akuoneshe kibali cha kupekua na ukisome.

10. Kibali kieleze jina la aliyekitoa, kituo kilipotolewa,jina la mtu au sehemu ya upekuzi, au uchanganuzi wa mtu au sehemu.

11. Hairuhusiwi kupekuliwa usiku kuanzia saa 1 jioni mpaka saa 12 asubuhi.

12. Ni haki yako kumpekua askari kabla hajakupekua ili asipandikize kitu.

13. Usipekuliwa nyumbani bila kuwapo kiongozi wa mtaa.

14. Kila kitakachochukuliwa katika upekuzi lazima kiandikwe na askari aweke sahihi.

15. Mali iliyochukuliwa katika upekuzi lazima ibaki salama.

16. Mwanaume haruhisiwi kumpekua mwanamke na mwamke haruhisiwi kwa mwanaume.

17. Unaruhusiwa kukataa kupekuliwa iwapo taratibu hizi hazikufuatwa.

18. Askari haruhusiwi kukutukana wala kukupiga.

19. Unaruhusiwa kutozungumza lolote mpaka unayemuamini afike uwapo chini ya ulinzi, ni haki yako.

20. Usilazimishwe kuongea au kuandika ambacho hutaki, ni haki yako.

21. Usitoe maelezo bila uhakika yatatumika mahakamani yatakuletea shida.

22. Unaruhusiwa kukaa kimya na usizungumze kitu uwapo chini ya ulinzi.

HIZI ZOTE NI HAKI ZAKO, ZILAZIMISHE USIBEMBELEZE WALA USIZIOMBE.

C&P
 
1. Askari akikuweka chini ya ulinzi muulize kitambulisho ni haki yako.

2. Askari akikukamata akuoneshe kitambulisho chenye muhuri wa mahakama kama anasema ametumwa na mahakama kukumata, ni haki yako.

3. Askari akikukamata akwambie kwanini anakukamata na anakupeleka kituo gani, ni haki yako.

4. Unaruhusiwa na sheria kukataa kukamatwa hata kutumia nguvu kama hukuambiwa sababu ya kukamatwa.

5. Askari anapokiuka taratibu za ukamataji anageuka na kuwa mhalifu ni haki yako kujikinga naye.

6. Askari haruhusiwi kukuvuta shati, kukukaba koo, kukushika suruali kama hujakataa kukri amri halali.

7. Askari haruhusiwi kuondoka na mtu mwingine baada ya kumkosa mtuhumiwa halisi.

8. Askari haruhusiwi kupekua nyumba ya mtu bila kibali cha kupekua.

9. Askari lazima akuoneshe kibali cha kupekua na ukisome.

10. Kibali kieleze jina la aliyekitoa, kituo kilipotolewa,jina la mtu au sehemu ya upekuzi, au uchanganuzi wa mtu au sehemu.

11. Hairuhusiwi kupekuliwa usiku kuanzia saa 1 jioni mpaka saa 12 asubuhi.

12. Ni haki yako kumpekua askari kabla hajakupekua ili asipandikize kitu.

13. Usipekuliwa nyumbani bila kuwapo kiongozi wa mtaa.

14. Kila kitakachochukuliwa katika upekuzi lazima kiandikwe na askari aweke sahihi.

15. Mali iliyochukuliwa katika upekuzi lazima ibaki salama.

16. Mwanaume haruhisiwi kumpekua mwanamke na mwamke haruhisiwi kwa mwanaume.

17. Unaruhusiwa kukataa kupekuliwa iwapo taratibu hizi hazikufuatwa.

18. Askari haruhusiwi kukutukana wala kukupiga.

19. Unaruhusiwa kutozungumza lolote mpaka unayemuamini afike uwapo chini ya ulinzi, ni haki yako.

20. Usilazimishwe kuongea au kuandika ambacho hutaki, ni haki yako.

21. Usitoe maelezo bila uhakika yatatumika mahakamani yatakuletea shida.

22. Unaruhusiwa kukaa kimya na usizungumze kitu uwapo chini ya ulinzi.

HIZI ZOTE NI HAKI ZAKO, ZILAZIMISHE USIBEMBELEZE WALA USIZIOMBE.

C&P
Ujakutana nao..
 
1. Askari akikuweka chini ya ulinzi muulize kitambulisho ni haki yako.

2. Askari akikukamata akuoneshe kitambulisho chenye muhuri wa mahakama kama anasema ametumwa na mahakama kukumata, ni haki yako.

3. Askari akikukamata akwambie kwanini anakukamata na anakupeleka kituo gani, ni haki yako.

4. Unaruhusiwa na sheria kukataa kukamatwa hata kutumia nguvu kama hukuambiwa sababu ya kukamatwa.

5. Askari anapokiuka taratibu za ukamataji anageuka na kuwa mhalifu ni haki yako kujikinga naye.

6. Askari haruhusiwi kukuvuta shati, kukukaba koo, kukushika suruali kama hujakataa kukri amri halali.

7. Askari haruhusiwi kuondoka na mtu mwingine baada ya kumkosa mtuhumiwa halisi.

8. Askari haruhusiwi kupekua nyumba ya mtu bila kibali cha kupekua.

9. Askari lazima akuoneshe kibali cha kupekua na ukisome.

10. Kibali kieleze jina la aliyekitoa, kituo kilipotolewa,jina la mtu au sehemu ya upekuzi, au uchanganuzi wa mtu au sehemu.

11. Hairuhusiwi kupekuliwa usiku kuanzia saa 1 jioni mpaka saa 12 asubuhi.

12. Ni haki yako kumpekua askari kabla hajakupekua ili asipandikize kitu.

13. Usipekuliwa nyumbani bila kuwapo kiongozi wa mtaa.

14. Kila kitakachochukuliwa katika upekuzi lazima kiandikwe na askari aweke sahihi.

15. Mali iliyochukuliwa katika upekuzi lazima ibaki salama.

16. Mwanaume haruhisiwi kumpekua mwanamke na mwamke haruhisiwi kwa mwanaume.

17. Unaruhusiwa kukataa kupekuliwa iwapo taratibu hizi hazikufuatwa.

18. Askari haruhusiwi kukutukana wala kukupiga.

19. Unaruhusiwa kutozungumza lolote mpaka unayemuamini afike uwapo chini ya ulinzi, ni haki yako.

20. Usilazimishwe kuongea au kuandika ambacho hutaki, ni haki yako.

21. Usitoe maelezo bila uhakika yatatumika mahakamani yatakuletea shida.

22. Unaruhusiwa kukaa kimya na usizungumze kitu uwapo chini ya ulinzi.

HIZI ZOTE NI HAKI ZAKO, ZILAZIMISHE USIBEMBELEZE WALA USIZIOMBE.

C&P
Dah!.......
 
1. Askari akikuweka chini ya ulinzi muulize kitambulisho ni haki yako.

2. Askari akikukamata akuoneshe kitambulisho chenye muhuri wa mahakama kama anasema ametumwa na mahakama kukumata, ni haki yako.

3. Askari akikukamata akwambie kwanini anakukamata na anakupeleka kituo gani, ni haki yako.

4. Unaruhusiwa na sheria kukataa kukamatwa hata kutumia nguvu kama hukuambiwa sababu ya kukamatwa.

5. Askari anapokiuka taratibu za ukamataji anageuka na kuwa mhalifu ni haki yako kujikinga naye.

6. Askari haruhusiwi kukuvuta shati, kukukaba koo, kukushika suruali kama hujakataa kukri amri halali.

7. Askari haruhusiwi kuondoka na mtu mwingine baada ya kumkosa mtuhumiwa halisi.

8. Askari haruhusiwi kupekua nyumba ya mtu bila kibali cha kupekua.

9. Askari lazima akuoneshe kibali cha kupekua na ukisome.

10. Kibali kieleze jina la aliyekitoa, kituo kilipotolewa,jina la mtu au sehemu ya upekuzi, au uchanganuzi wa mtu au sehemu.

11. Hairuhusiwi kupekuliwa usiku kuanzia saa 1 jioni mpaka saa 12 asubuhi.

12. Ni haki yako kumpekua askari kabla hajakupekua ili asipandikize kitu.

13. Usipekuliwa nyumbani bila kuwapo kiongozi wa mtaa.

14. Kila kitakachochukuliwa katika upekuzi lazima kiandikwe na askari aweke sahihi.

15. Mali iliyochukuliwa katika upekuzi lazima ibaki salama.

16. Mwanaume haruhisiwi kumpekua mwanamke na mwamke haruhisiwi kwa mwanaume.

17. Unaruhusiwa kukataa kupekuliwa iwapo taratibu hizi hazikufuatwa.

18. Askari haruhusiwi kukutukana wala kukupiga.

19. Unaruhusiwa kutozungumza lolote mpaka unayemuamini afike uwapo chini ya ulinzi, ni haki yako.

20. Usilazimishwe kuongea au kuandika ambacho hutaki, ni haki yako.

21. Usitoe maelezo bila uhakika yatatumika mahakamani yatakuletea shida.

22. Unaruhusiwa kukaa kimya na usizungumze kitu uwapo chini ya ulinzi.

HIZI ZOTE NI HAKI ZAKO, ZILAZIMISHE USIBEMBELEZE WALA USIZIOMBE.

C&P
Well
 
Watu mnaleta story za vijiweni..
Ety omba kitambulisho mara hivi mara vile..

Sema ujawahi kukutana nao tu wapo very strictly wee ukijifanya unajua kuuliza maswali utakiona cha mtema kuni
kutembea kwenye utaratibu inawezekana. Kumbuka si kila anayekamatwa ni mharifu na mahakama pekee ndio hutoa hukumu.

Sasa mtu hajakaa kuuliza jina na kituo ndio upigwe?
 
kutembea kwenye utaratibu inawezekana. Kumbuka si kila anayekamatwa ni mharifu na mahakama pekee ndio hutoa hukumu.

Sasa mtu hajakaa kuuliza jina na kituo ndio upigwe?
Ndo mana nasemaje hizo sheria wanazosema tu ila hazifuatwi...

Unajua mpaka unakamatwa asilimia 90% unakua upo linked na tukio husika...?
 
Ndo mana nasemaje hizo sheria wanazosema tu ila hazifuatwi...

Unajua mpaka unakamatwa asilimia 90% unakua upo linked na tukio husika...?
sina statistics ila ninachojua unaweza kumdharirisha mtu au hata kumuua kwa kosa ambalo hajafanya.

Wafuate sheria (utaratibu ulioweka kwenye ukamataji watu), Polisi kazi yake ni kuhakikisha usalama wa raia na mali zao, wakae hapo mambo ya HUKUMU waiachie mahakama.
 
Back
Top Bottom