Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Askari kutofuata sheria haimaanishi kuwa watu wakubali na kukaa kimya. Kama umesoma na kuelewa ni kuwa mwanzisha thread anazungumzia hili hili la ubabe ambalo wewe unalisema na kuuliza ni nini kinatakiwa kufanyika. Elimu ni muhimu kwa sababu ndiyo njia ya kuanza kuondoa huu ubabe wa polisi. Kadiri watu wengi wanavyojua haki zao, ndivyo watakavyoshirikiana kuondoa huu ubabe. Au wewe ulitakaje? Kwa kuwa wanatumia nguvu hivyo tukae kimya na kukubali!Watu mnaleta story za vijiweni..
Ety omba kitambulisho mara hivi mara vile..
Sema ujawahi kukutana nao tu wapo very strictly wee ukijifanya unajua kuuliza maswali utakiona cha mtema kuni
Whaaat are trying to say? Uko nchi ya Tanzania kweli wewe! Kuna maelfu ya wananchi wanakamatwa na wengine kuuawa bila kosa lolote halafu unataka kuleta undondocha wako hapa!Ndo mana nasemaje hizo sheria wanazosema tu ila hazifuatwi...
Unajua mpaka unakamatwa asilimia 90% unakua upo linked na tukio husika...?
Nakubaliana na wewe kabisa mkuu.Askari kutofuata sheria haimaanishi kuwa watu wakubali na kukaa kimya. Kama umesoma na kuelewa ni kuwa mwanzisha thread anazungumzia hili hili la ubabe ambalo wewe unalisema na kuuliza ni nini kinatakiwa kufanyika. Elimu ni muhimu kwa sababu ndiyo njia ya kuanza kuondoa huu ubabe wa polisi. Kadiri watu wengi wanavyojua haki zao, ndivyo watakavyoshirikiana kuondoa huu ubabe. Au wewe ulitakaje? Kwa kuwa wanatumia nguvu hivyo tukae kimya na kukubali!
Ni Peter ZakariaYule Jamaa wa Musoma (J4) kama sijasahau, aliwatwanga risasi wale madogo WA mwendazake
Tatizo la story za vijiweni..Whaaat are trying to say? Uko nchi ya Tanzania kweli wewe! Kuna maelfu ya wananchi wanakamatwa na wengine kuuawa bila kosa lolote halafu unataka kuleta undondocha wako hapa!
Tatizo hao askari wanaelewa haya mambo sasa?1. Askari akikuweka chini ya ulinzi muulize kitambulisho ni haki yako.
2. Askari akikukamata akuoneshe kitambulisho chenye muhuri wa mahakama kama anasema ametumwa na mahakama kukumata, ni haki yako.
3. Askari akikukamata akwambie kwanini anakukamata na anakupeleka kituo gani, ni haki yako.
4. Unaruhusiwa na sheria kukataa kukamatwa hata kutumia nguvu kama hukuambiwa sababu ya kukamatwa.
5. Askari anapokiuka taratibu za ukamataji anageuka na kuwa mhalifu ni haki yako kujikinga naye.
6. Askari haruhusiwi kukuvuta shati, kukukaba koo, kukushika suruali kama hujakataa kukri amri halali.
7. Askari haruhusiwi kuondoka na mtu mwingine baada ya kumkosa mtuhumiwa halisi.
8. Askari haruhusiwi kupekua nyumba ya mtu bila kibali cha kupekua.
9. Askari lazima akuoneshe kibali cha kupekua na ukisome.
10. Kibali kieleze jina la aliyekitoa, kituo kilipotolewa,jina la mtu au sehemu ya upekuzi, au uchanganuzi wa mtu au sehemu.
11. Hairuhusiwi kupekuliwa usiku kuanzia saa 1 jioni mpaka saa 12 asubuhi.
12. Ni haki yako kumpekua askari kabla hajakupekua ili asipandikize kitu.
13. Usipekuliwa nyumbani bila kuwapo kiongozi wa mtaa.
14. Kila kitakachochukuliwa katika upekuzi lazima kiandikwe na askari aweke sahihi.
15. Mali iliyochukuliwa katika upekuzi lazima ibaki salama.
16. Mwanaume haruhisiwi kumpekua mwanamke na mwamke haruhisiwi kwa mwanaume.
17. Unaruhusiwa kukataa kupekuliwa iwapo taratibu hizi hazikufuatwa.
18. Askari haruhusiwi kukutukana wala kukupiga.
19. Unaruhusiwa kutozungumza lolote mpaka unayemuamini afike uwapo chini ya ulinzi, ni haki yako.
20. Usilazimishwe kuongea au kuandika ambacho hutaki, ni haki yako.
21. Usitoe maelezo bila uhakika yatatumika mahakamani yatakuletea shida.
22. Unaruhusiwa kukaa kimya na usizungumze kitu uwapo chini ya ulinzi.
HIZI ZOTE NI HAKI ZAKO, ZILAZIMISHE USIBEMBELEZE WALA USIZIOMBE.
C&P
Hakuna ubishi kwamba Askari Polisi wa Tz kwa sasa wamekuwa ni adui wakubwa kwa usalama wa Raia na mali zao, na hakuna hata dalili za kwamba Jeshi la Polisi Lina Mpango wa kurekebisha hali hii mbaya sana na ya hatari iliyopo hivi sasa na Wala hakuna uthibitisho wa kwamba Jeshi hilo linajutia kwa kusababisha Hali hii kuwepo. Kwa Sasa suluhisho pekee lililobaki ni kila mtu binafsi aweze kujitengenezea mechanism yake ya kuweza kujihami yeye mwenyewe pale atakapokutana na dhahama Kama hiyo, the country has become the Lawlessness.Wakuu mko salama?
Kumekuwa na matokeo mengi yanatokea hivi karibuni watu wanakamatwa na watu wanaojitambulisha ni polisi mwisho wa siku wanaokotwa wamekufa, polisi wakiambiwa ni wao wamefanya hivyo wanagoma kuwa waliowakamata siyo polisi.
Wakati mwingine huwa inatokea wanaomkamata mtuhumiwa kuwa na nguo za polisi lakini bado polisi watasema hizi siyo zare zetu, hakuna polisi aliyeagizwa kufanya jambo hili. Lakini pia kuna hii mtu anakwambia ni polisi anatoa kale ka badge chap na kukirudisha mfukoni hata hujaona vizuri kuwa ni polisi, na kwa jinsi Watanzania tulivyo waoga na hatujui haki zetu hatuulizi zaidi, na ukiuliza unaweza kula mitama mpaka unakubali kuondoka mwenyewe.
Lakini pia kuna wale wapepelezi ambavyo kwa nilivyosikia wao huwa hawavai sare, sasa huyu anaruhusiwa kwenda kumkamata mtu? Kama ndio anatakiwa awaje ili mwananchi atambue huyu ni polisi mpelelezi kweli na siyo muuaji aliyeenda kukatisha maisha yake?
Jambo linaloleta mkanganyiko zaidi ni pale inapotokea mtuhumiwa anagoma kukamatwa na mtu aliyejitambulisha kama polisi lakini hajatoa kitambulisho huwa anachukuliwa kwa nguvu. Chukulia mfano wa kesi ya Robert Mushi, ndugu wa Boniface Jacob, mashuhuda walisema walisema waliokuja walijitambulisha kama polisi lakini hawakuwa na gwanda za polisi, na hata Robert alipojaribu kujitetea hawakusikiliza chochote wakaondoka naye. Polisi walipoulizwa wakasema hakuna polisi walioagizwa kutekelezwa hilo na mwisho wa siku jamaa huyo akaibuka amekufa.
Sasa naomba tupate ufanunuzi hapa, polisi akija kukukamata anatakiwa kuwaje? Na akiwa vipi unatakiwa kujilinda na kugoma kuondoka naye?
Apambane tuWakuu mko salama?
Kumekuwa na matokeo mengi yanatokea hivi karibuni watu wanakamatwa na watu wanaojitambulisha ni polisi mwisho wa siku wanaokotwa wamekufa, polisi wakiambiwa ni wao wamefanya hivyo wanagoma kuwa waliowakamata siyo polisi...
Kuna siku utaelewa mimi na wewe ni nani ndondocha! Mjinga kama wewe sina muda wa kujibizana na wewe zaidi ya hapa. Akili yako ni kama ya mnyama, mpaka limpate ndiyo atajifunza!Tatizo la story za vijiweni..
Hao maelfu umepata wapi hiyo statistical data.
Umeona lakini nilivyo ongea hapo mpaka uwekwe ndani lazima kuna kua na link ya wewe na tukio husika..
Jiulize kwani wewe bado upo uraiani na wengine wapo jela ..
Mybe kwakuwa ni ndondocha ndo maana wamekuacha
Asante Sana, nasikia alimwaga ubongo WA kijanaNi Peter Zakaria
Hapana kijana hakufariki ila aliwaishwa hospitali ya wilaya (Tarime)Asante Sana, nasikia alimwaga ubongo WA kijana
Ulaya hiyo,huku utaumia na huna Cha kufanya.1. Askari akikuweka chini ya ulinzi muulize kitambulisho ni haki yako.
2. Askari akikukamata akuoneshe kitambulisho chenye muhuri wa mahakama kama anasema ametumwa na mahakama kukumata, ni haki yako.
3. Askari akikukamata akwambie kwanini anakukamata na anakupeleka kituo gani, ni haki yako.
4. Unaruhusiwa na sheria kukataa kukamatwa hata kutumia nguvu kama hukuambiwa sababu ya kukamatwa.
5. Askari anapokiuka taratibu za ukamataji anageuka na kuwa mhalifu ni haki yako kujikinga naye.
6. Askari haruhusiwi kukuvuta shati, kukukaba koo, kukushika suruali kama hujakataa kukri amri halali.
7. Askari haruhusiwi kuondoka na mtu mwingine baada ya kumkosa mtuhumiwa halisi.
8. Askari haruhusiwi kupekua nyumba ya mtu bila kibali cha kupekua.
9. Askari lazima akuoneshe kibali cha kupekua na ukisome.
10. Kibali kieleze jina la aliyekitoa, kituo kilipotolewa,jina la mtu au sehemu ya upekuzi, au uchanganuzi wa mtu au sehemu.
11. Hairuhusiwi kupekuliwa usiku kuanzia saa 1 jioni mpaka saa 12 asubuhi.
12. Ni haki yako kumpekua askari kabla hajakupekua ili asipandikize kitu.
13. Usipekuliwa nyumbani bila kuwapo kiongozi wa mtaa.
14. Kila kitakachochukuliwa katika upekuzi lazima kiandikwe na askari aweke sahihi.
15. Mali iliyochukuliwa katika upekuzi lazima ibaki salama.
16. Mwanaume haruhisiwi kumpekua mwanamke na mwamke haruhisiwi kwa mwanaume.
17. Unaruhusiwa kukataa kupekuliwa iwapo taratibu hizi hazikufuatwa.
18. Askari haruhusiwi kukutukana wala kukupiga.
19. Unaruhusiwa kutozungumza lolote mpaka unayemuamini afike uwapo chini ya ulinzi, ni haki yako.
20. Usilazimishwe kuongea au kuandika ambacho hutaki, ni haki yako.
21. Usitoe maelezo bila uhakika yatatumika mahakamani yatakuletea shida.
22. Unaruhusiwa kukaa kimya na usizungumze kitu uwapo chini ya ulinzi.
HIZI ZOTE NI HAKI ZAKO, ZILAZIMISHE USIBEMBELEZE WALA USIZIOMBE.
C&P
At least aliacha alamaHapana kijana hakufariki ila aliwaishwa hospitali ya wilaya (Tarime)
Zacharia ndiye aliyewatolea bastola "Wasiojulikana" , na hakuwauwa. Walivyozidiwa medani za kiumafia ndiyo wakajitambulisha kwamba "sisi ni maafisa vipenyo wa Magufuli"Yule Jamaa wa Musoma (J4) kama sijasahau, aliwatwanga risasi wale madogo WA mwendazake
Asante Sana Kwa ufafanuziZacharia ndiye aliyewatolea bastola "Wasiojulikana" , na hakuwauwa. Walivyozidiwa medani za kiumafia ndiyo wakajitambulisha kwamba "sisi ni maafisa vipenyo wa Magufuli"
Kuna siku niliwaachia mbwa mbwa wangu 30 wamalizane nao na uhakika hawatorudi kwangu maisha watajua hukoWatu mnaleta story za vijiweni..
Ety omba kitambulisho mara hivi mara vile..
Sema ujawahi kukutana nao tu wapo very strictly wee ukijifanya unajua kuuliza maswali utakiona cha mtema kuni
Mkuu itakua wewe ni mtumiaji wa majani kama sikosei kabisa...Kuna siku niliwaachia mbwa mbwa wangu 30 wamalizane nao na uhakika hawatorudi kwangu maisha watajua huko