Polisi anayeenda kumkamata mwananchi anatakiwa kuwaje? Mwananchi anatakiwa kufanya nini ikiwa amegundua mtu huyo siyo polisi?

Mtu anayekuja kukukamata bila vitambulisho mnige roba
Kuna jamaa alitaka kukamatwa na mtu aliyejitambulisha kuwa ni askari,kitu alikuwa nacho ni pingu tu sijui alizitoa wapi,alichezea kipigo sana kutoka kwa yule mtuhumiwa wake,mwenyekiti wa mtaa akaamulia na polisi wa kituo walipofika wakambeba maana hawakuwa na taarifa kuwa kuna mtu ni askari na ameingia kwenye eneo lao la kazi,
Hao wanaojiita maaskari wazingatie sheria maana kile kipigo jamaa alichezea na watu walikuwa hawaamulii maana aliingia kwa gia mbaya
 
Wananchi anatakiwa kujulishwa nin kimejiri na anatakiwa kituo gani cha police ili awajulishe ndugu zake
 
Polisi ni mwepesi sana kama hujatenda kosa,na wala hujui tuhuma anazokuletea.

Yaani una kimeo unachokijua kabisa halafu wanakuja unaanza kuomba kitambulisho???
Utaendelea kuona ni wababe milele na hakuna siku utaona wanabadilika.
 
Watu wote wawe wanakula ugali mwingi ili kuwapiga polisi wasiofata sheria,ila angalizo,hakikisha ni kweli huyo sio polisi.

Otherways Mungu akutie nguvu.
 
Mbona hizo haki ni nyepesi sana kughushiwa na 'wasiojulikana'?

Vibali vyote hivyo kughushiwa ni rahisi sana, labda linalobakia bila najisi ni la kiongozi serikali za mtaa pekee ndiyo linabaki kuwa ni alama ya usalama wa rsia!
 
Polisi ni mwepesi sana kama hujatenda kosa,na wala hujui tuhuma anazokuletea.

Yaani una kimeo unachokijua kabisa halafu wanakuja unaanza kuomba kitambulisho???
Utaendelea kuona ni wababe milele na hakuna siku utaona wanabadilika.
Una akili za kijima sana. Anyway, kutembea nchi nyingine nako kunasaidia maana kama hujabahatika kutoka Bongo utadhani dunia yote iko hivyo.
 
Una akili za kijima sana. Anyway, kutembea nchi nyingine nako kunasaidia maana kama hujabahatika kutoka Bongo utadhani dunia yote iko hivyo.
Si kila kilichoko nje ni bora,hii ni dhana ya washamba baada ya kutoka nje mara moja.
 
Si kila kilichoko nje ni bora,hii ni dhana ya washamba baada ya kutoka nje mara moja.
Nani kasema kila kilicho nje ni bora? Inaonyesha hii nadharia unayo wewe kichwani au unadhani watu wanaotoa mifano ya mambo mazuri yanayotokea kwingine dunia wanayo jambo ambalo siyo! Kuna mambo mengi tu ya kwetu ambayo mimi huwa naona ni mazuri kuliko ya nje.
 
😂😂 kitambulisho au sio,utanyooka ubishi,ushawahipigika na ukasingiziwa unazuia askari kutenda kaz yao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…