Polisi: Binti aliyefanyiwa ukatili yupo salama salimini, puuzieni wanaosema amekufa

Polisi: Binti aliyefanyiwa ukatili yupo salama salimini, puuzieni wanaosema amekufa

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Kupitia ukurasa wao wa X, Jeshi la Polisi Tanzania, wametoa ufafanuzi juu ya taarifa inayosambaa kuhusu binti aliyefanyiwa ukatili Yombo kuwa amekufa, na kusema taarifa hiyo ni uzushi usiokuwa na utu na ubinadamu ndani yake, na kwamba binti huyo yupo salama salimini.

Pia soma: Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa

1723019621311.png
 
Kupitia ukurasa wao wa X, Jeshi la Polisi Tanzania, wametoa ufafanuzi juu ya taarifa inayosambaa kuhusu binti aliyefanyiwa ukatili Yombo kuwa amekufa, na kusema taarifa hiyo ni uzushi usiokuwa na utu na ubinadamu ndani yake, na kwamba binti huyo yupo salama salimini.

Pia soma: Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa

Kosa wanalo hawa Jeshi la Polisi kwa kutokutoa taarifa zilizo sahihi na kwa wakati sahihi kuhusiana na TUKIO hili lote, hususani taarifa za kuhusu watuhumiwa waliohusika kwenye kadhia hii. That's why speculations sasa hivi zinakuwa nyingi kwa kuwa taarifa sahihi na za kuaminika hazipo.

Polisi wakumbuke kwamba, pale taarifa sahihi au taarifa za ukweli zinapofichwa makusudi, Basi uongo hushika hatamu/kasi na unapata kuaminiwa na Watu wengi.
 
Kwa taarifa zinavyoongelewa huko mtaani , inasemekana yule Binti mdogo aliyedhalilishwa na wanajeshi , hakuweza kuachwa hai baada ya lile tukio, taarifa hizi nyingine zinatoka jeshini ndani na mtaani Kwa huyo dada.

Wenye mamlaka wamebidi wakae kuificha Siri hii Ili wananchi wasije kureact na wenye mamlaka.

Mtaani Kwa Binti hayupo na Wala haonekani, Wala polisi hayupo au haonekani.

Mwisho wa siku hizi ni tetesi na wakuthibitisha hili ni serikali kupitia jeshi la polisi na CDF
 
Wabongo kwa kuzusha hamjambo🙌
Ndio maana mnatapeliwa na wachungaji tuma kwa namba hii hadi wauza juice

Hata mbwa wa police akiona hii atajua tu ni fake news
View attachment 3063645
mleta mada hajasema maiti imepatikana, amesema binti haonekani kwahiyo inawezekana aliuawa

kuna tofauti

na ni kweli, hili jambo linavyofichwa linatia mashaka
 
Kwa taarifa zinavyoongelewa huko mtaani , inasemekana yule Binti mdogo aliyedhalilishwa na wanajeshi , hakuweza kuachwa hai baada ya lile tukio, taarifa hizi nyingine zinatoka jeshini ndani na mtaani Kwa huyo dada.

Wenye mamlaka wamebidi wakae kuificha Siri hii Ili wananchi wasije kureact na wenye mamlaka.

Mtaani Kwa Binti hayupo na Wala haonekani, Wala polisi hayupo au haonekani.

Mwisho wa siku hizi ni tetesi na wakuthibitisha hili ni serikali kupitia jeshi la polisi na CDF
Polisi imeishatoa "Taarifa Rasmi". Binti yupo mzima.
 
Back
Top Bottom