Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Kwa akili hizi we jamaa hujawahi kutapeliwa na wale jamaa wa hiyo hela tuma kwa namba hii kweli?Source ni Millard Ayo japo sina uhakika sana mwenye uhakika atujuze
View attachment 3063647
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa akili hizi we jamaa hujawahi kutapeliwa na wale jamaa wa hiyo hela tuma kwa namba hii kweli?Source ni Millard Ayo japo sina uhakika sana mwenye uhakika atujuze
View attachment 3063647
We unafikiri wao hawajui kama yupo hai hadi waseme yuko hai hali yakua hayuko hai? Unafikiri hawajui kusema yuko hai wakati hayuko hai ni kitanzi kwao? Ingekua hawana uhakika wasingejibu chochote.Ila polisi wa Tz kila siku wanadhidi kujitia aibu na kuitia aibu serikali. Jana mkuu wa Wilaya katuma media anatafutwa bint akaja na kusema huyo binti hajulikani wala Temeke hawamjui watu wakaanzisha haya mambo sasa halafu wanakuja polisi na wanasema yupo hai, ok yupo yuko wapi? polisi kama wamejuwa yuko basi wanaye wao. Polisi fanyeni kazi kwa weledi sio kwa mihemuko ya social media, dunia imebadilika sana ndio maana mnatakiwa kuwa wepesi wa kutoa taarifa sahihi sio lazima maelezo ya ndani ya upelelezi lakini yako mambo ni lazima muwe wa kwanza kuyaweka hadharani.
Binafsi hacha niamini hii taarifa ya vyombo vya ulinzi ,vinginevyo hali ya hewa inaweza kuwa mbaya . Kama yuko salama jambo jema sana.thanksKupitia ukurasa wao wa X, Jeshi la Polisi Tanzania, wametoa ufafanuzi juu ya taarifa inayosambaa kuhusu binti aliyefanyiwa ukatili Yombo kuwa amekufa, na kusema taarifa hiyo ni uzushi usiokuwa na utu na ubinadamu ndani yake, na kwamba binti huyo yupo salama salimini.
Pia soma: Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa
Why Mods waondoe , nafikili uhachwe tu as far haina madhalaKama polisi wamethibitisha ni mzima basi Mods naomba muondoe huu UZI
Uongo mkuuUwongo.. huo ni uwongo
Uwongo uwongo uwongoooooo uwongoooooo
Sasa wao wanamtafuta msichana au hao wahalifu? Mimi nimesema wao shida yao hawako sharp katika kutoa habari wanatakiwa kujulisha watu kinachoendelea usiri wa nini wakati watu wameshaona kila kitu. Kujifanya kumlinda msichana wakijuwa wazi picha imeshatembea unaficha nini? Dunia imebadilika wao bado wanaishi kama wako 1990We unafikiri wao hawajui kama yupo hai hadi waseme yuko hai hali yakua hayuko hai? Unafikiri hawajui kusema yuko hai wakati hayuko hai ni kitanzi kwao? Ingekua hawana uhakika wasingejibu chochote.
Bila shaka wameshampata na wako nae.
Title ya habari imenifanya mwili wote kufa ganzi , ila chini nikakutana na tamko la police ila bado sipo sawa mdaa huu , mtakuja tuhua kwa presha wakuu , Naamini kama police yupo salama haina shida tuvumilie mda mwalimKupitia ukurasa wao wa X, Jeshi la Polisi Tanzania, wametoa ufafanuzi juu ya taarifa inayosambaa kuhusu binti aliyefanyiwa ukatili Yombo kuwa amekufa, na kusema taarifa hiyo ni uzushi usiokuwa na utu na ubinadamu ndani yake, na kwamba binti huyo yupo salama salimini.
Pia soma: Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa
Zambi ndio nini mkuu?acha afe mshahara wa zambi
Hii ngoma kaka sio ya kitoto imepenya kila kona haijalishi nini kipo mbele ,ila hili ni jipu kuu, hakuna wa kulisawazisha mda mwalimTatizo ni kuwa jee Polisi wetu wanaaminika?
Mkuu kwani shida iko wapi ?Kwa akili hizi we jamaa hujawahi kutapeliwa na wale jamaa wa hiyo hela tuma kwa namba hii kweli?
Hizi danadana zinaashiria kumnasua mtu.Hii ngoma kaka sio ya kitoto imepenya kila kona haijalishi nini kipo mbele ,ila hili ni jipu kuu, hakuna wa kulisawazisha mda mwalim
Inamaana ile taarifa ya wao kukana kumshikilia Kombo,wewe uliiamini moja kwa moja,na walipokuja kukiri kua Kombo wanaye akili yako haikushtuka kua mbona walikana mwanzo na sasa wamekubali?Polisi imeishatoa "Taarifa Rasmi". Binti yupo mzima.
Duuuh!Kama polisi wamethibitisha ni mzima basi Mods naomba muondoe huu UZI
Hoja police wanasema yupo salama kwa sasa , hoja hapa tusubiri ni kauli ipi nyingine itatoka , na vyema police kuudhibitishia umma , maana hii ikawa kweli na siombei inaweza ingiza taifa kwenye gharama kubwa , simple sana.Kwa taarifa zinavyoongelewa huko mtaani , inasemekana yule Binti mdogo aliyedhalilishwa na wanajeshi , hakuweza kuachwa hai baada ya lile tukio, taarifa hizi nyingine zinatoka jeshini ndani na mtaani Kwa huyo dada.
Wenye mamlaka wamebidi wakae kuificha Siri hii Ili wananchi wasije kureact na wenye mamlaka.
Mtaani Kwa Binti hayupo na Wala haonekani, Wala polisi hayupo au haonekani.
Mwisho wa siku hizi ni tetesi na wakuthibitisha hili ni serikali kupitia jeshi la polisi na CDF
Kwamba ni Miladi(Millard) ndo kapost hivyo?? 😀😀😀Wabongo kwa kuzusha hamjambo🙌
Ndio maana mnatapeliwa na wachungaji, tuma kwa namba hii hadi wauza juice
Hata mbwa wa police akiona hii atajua tu ni fake news
View attachment 3063645