Polisi: Binti aliyefanyiwa ukatili yupo salama salimini, puuzieni wanaosema amekufa

Polisi: Binti aliyefanyiwa ukatili yupo salama salimini, puuzieni wanaosema amekufa

Ila polisi wa Tz kila siku wanadhidi kujitia aibu na kuitia aibu serikali. Jana mkuu wa Wilaya katuma media anatafutwa bint akaja na kusema huyo binti hajulikani wala Temeke hawamjui watu wakaanzisha haya mambo sasa halafu wanakuja polisi na wanasema yupo hai, ok yupo yuko wapi? polisi kama wamejuwa yuko basi wanaye wao. Polisi fanyeni kazi kwa weledi sio kwa mihemuko ya social media, dunia imebadilika sana ndio maana mnatakiwa kuwa wepesi wa kutoa taarifa sahihi sio lazima maelezo ya ndani ya upelelezi lakini yako mambo ni lazima muwe wa kwanza kuyaweka hadharani.
We unafikiri wao hawajui kama yupo hai hadi waseme yuko hai hali yakua hayuko hai? Unafikiri hawajui kusema yuko hai wakati hayuko hai ni kitanzi kwao? Ingekua hawana uhakika wasingejibu chochote.
Bila shaka wameshampata na wako nae.
 
Kupitia ukurasa wao wa X, Jeshi la Polisi Tanzania, wametoa ufafanuzi juu ya taarifa inayosambaa kuhusu binti aliyefanyiwa ukatili Yombo kuwa amekufa, na kusema taarifa hiyo ni uzushi usiokuwa na utu na ubinadamu ndani yake, na kwamba binti huyo yupo salama salimini.

Pia soma: Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa

Binafsi hacha niamini hii taarifa ya vyombo vya ulinzi ,vinginevyo hali ya hewa inaweza kuwa mbaya . Kama yuko salama jambo jema sana.thanks
 
We unafikiri wao hawajui kama yupo hai hadi waseme yuko hai hali yakua hayuko hai? Unafikiri hawajui kusema yuko hai wakati hayuko hai ni kitanzi kwao? Ingekua hawana uhakika wasingejibu chochote.
Bila shaka wameshampata na wako nae.
Sasa wao wanamtafuta msichana au hao wahalifu? Mimi nimesema wao shida yao hawako sharp katika kutoa habari wanatakiwa kujulisha watu kinachoendelea usiri wa nini wakati watu wameshaona kila kitu. Kujifanya kumlinda msichana wakijuwa wazi picha imeshatembea unaficha nini? Dunia imebadilika wao bado wanaishi kama wako 1990
 
Kupitia ukurasa wao wa X, Jeshi la Polisi Tanzania, wametoa ufafanuzi juu ya taarifa inayosambaa kuhusu binti aliyefanyiwa ukatili Yombo kuwa amekufa, na kusema taarifa hiyo ni uzushi usiokuwa na utu na ubinadamu ndani yake, na kwamba binti huyo yupo salama salimini.

Pia soma: Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa

Title ya habari imenifanya mwili wote kufa ganzi , ila chini nikakutana na tamko la police ila bado sipo sawa mdaa huu , mtakuja tuhua kwa presha wakuu , Naamini kama police yupo salama haina shida tuvumilie mda mwalim
 
Moja kama likachukuliwa poa basi Rais wa nchi hii, hata safari za kidiplomasia hazitakua na maana yote ambazo amefanya , pili wasemao amefaliki wenda hawajui pamoja na ukatili wote ule umefanyika ila wenda kwa sasa analindwa kuliko tufikiliavyo, na kama sivyo Tz itachukuliwa kama Taifa takataka katika dunia hii.

Tamko la police bado nipo na imani nalo , ila wajichanganye ,utawaka moto ambao sio wa wadunia hii .

Mda mwalim
 
Kwa taarifa zinavyoongelewa huko mtaani , inasemekana yule Binti mdogo aliyedhalilishwa na wanajeshi , hakuweza kuachwa hai baada ya lile tukio, taarifa hizi nyingine zinatoka jeshini ndani na mtaani Kwa huyo dada.

Wenye mamlaka wamebidi wakae kuificha Siri hii Ili wananchi wasije kureact na wenye mamlaka.

Mtaani Kwa Binti hayupo na Wala haonekani, Wala polisi hayupo au haonekani.

Mwisho wa siku hizi ni tetesi na wakuthibitisha hili ni serikali kupitia jeshi la polisi na CDF
Hoja police wanasema yupo salama kwa sasa , hoja hapa tusubiri ni kauli ipi nyingine itatoka , na vyema police kuudhibitishia umma , maana hii ikawa kweli na siombei inaweza ingiza taifa kwenye gharama kubwa , simple sana.

Na ipo mbinu nyepesi sana ya kudhihilisha kwa umma , mfano wampeleke Ikulu uyu bint akutane na Rais private then Rais atoe tamko kwa wananchi kama bado wapo na sababu za kumficha kwa ajili ya uchunguzi
 
Back
Top Bottom