Polisi: Binti aliyefanyiwa ukatili yupo salama salimini, puuzieni wanaosema amekufa

Polisi: Binti aliyefanyiwa ukatili yupo salama salimini, puuzieni wanaosema amekufa

Na ikitokea hao jamaa wakapandishwa mahakamani
Mahakama itajaa watu,walivyokuwa na hasira .....
Na hao jamaa wakipelekwa mahabusu ๐Ÿ˜„ watapata tabu sana na ujeda wao hivyo hivyo

Ova
 
Kwa taarifa zinavyoongelewa huko mtaani , inasemekana yule Binti mdogo aliyedhalilishwa na wanajeshi , hakuweza kuachwa hai baada ya lile tukio, taarifa hizi nyingine zinatoka jeshini ndani na mtaani Kwa huyo dada.

Wenye mamlaka wamebidi wakae kuificha Siri hii Ili wananchi wasije kureact na wenye mamlaka.

Mtaani Kwa Binti hayupo na Wala haonekani, Wala polisi hayupo au haonekani.

Mwisho wa siku hizi ni tetesi na wakuthibitisha hili ni serikali kupitia jeshi la polisi na CDF
Kama watakuwa wametenda jambo hilo itakuwa ni unyama uliyopitiliza lakini mtu unajiuliza waliyafanya yote hayo na wamejianika sura zao walijiamini nini? Nawasikitikia sana maana hata wasipoadhibiwa na mfumo wa haki wa nchi lakini wenye ndugu yao sidhani kama watawaacha waishi kwa amani.
 
Kosa wanalo hawa Jeshi la Polisi kwa kutokutoa taarifa zilizo sahihi na kwa wakati sahihi kuhusiana na TUKIO hili lote, hususani taarifa za kuhusu watuhumiwa waliohusika kwenye kadhia hii. That's why speculations sasa hivi zinakuwa nyingi kwa kuwa taarifa sahihi na za kuaminika hazipo.

Polisi wakumbuke kwamba, pale taarifa sahihi au taarifa za ukweli zinapofichwa makusudi, Basi uongo hushika kasi na unapata kuaminiwa na Watu wengi.
Uzushi wa aina hii ni jambo baya, lakini kwa mazingira ya kesi hii huu uzushi unaweza kuwa ni maono au ndoto za watu wenye nia njema, hivyo tahadhari za kumpatia ulinzi huyo binti zichukuliwe.
 
Inamaana ile taarifa ya wao kukana kumshikilia Kombo,wewe uliiamini moja kwa moja,na walipokuja kukiri kua Kombo wanaye akili yako haikushtuka kua mbona walikana mwanzo na sasa wamekubali?
Usiwe unameza kilakitu.
Mwanzo hawakuwa nae, wakasema na baadae wakawa nae, wakasema. Hujaelewa nini hapo?
 
Mwanzo hawakuwa nae, wakasema na baadae wakawa nae, wakasema. Hujaelewa nini hapo?
Ulisikia maelezo ya Kombo au humuamini yeye unaamini CHOMBO?
Mkuu umekuja lini Tanzania?
Ukute umesajiliwa kua raia juzi tu hapa,labda wewe ulikua raia wa U.S.A,tukuhadithie kacha ya hapa.
 
Ulisikia maelezo ya Kombo au humuamini yeye unaamini CHOMBO?
Mkuu umekuja lini Tanzania?
Ukute umesajiliwa kua raia juzi tu hapa,labda wewe ulikua raia wa U.S.A,tukuhadithie kacha ya hapa.
Mimi ni Mtanzania "Akala n 'akarenge'!
 
Mhhh tukio baya sana hilo kwa maelezo tuu ya walioshuhudia hiyo video sipati picha kwa mfanyiwa..
Alikuww anatoa ushirikiano mpaka akaomba na Mma Vijana nao mchele mchele kwa kifupi Binti ni Man of the Match. Japo alichofanyiwa sio haki kabisa
 
KAMA KWELI alindwe polisi nao wasije wakajichanganya wakampasha kumtoa uvundo dogo
 
Back
Top Bottom