Ndiyo awakawii kusema hatukumpata au kajiua kwa aibu..kumbe ni ccmWabongo bana. Hii yote ni kuwadhokonoa polisi. Ili wajue nini kinaendelea!
Na wamwjileta mazima hahaWabongo bana. Hii yote ni kuwachokonoa polisi. Ili wajue nini kinaendelea!
Kosa wanalo hawa Jeshi la Polisi kwa kutokutoa taarifa zilizo sahihi na kwa wakati sahihi kuhusiana na TUKIO hili lote, hususani taarifa za kuhusu watuhumiwa waliohusika kwenye kadhia hii. That's why speculations sasa hivi zinakuwa nyingi kwa kuwa taarifa sahihi na za kuaminika hazipo.Kupitia ukurasa wao wa X, Jeshi la Polisi Tanzania, wametoa ufafanuzi juu ya taarifa inayosambaa kuhusu binti aliyefanyiwa ukatili Yombo kuwa amekufa, na kusema taarifa hiyo ni uzushi usiokuwa na utu na ubinadamu ndani yake, na kwamba binti huyo yupo salama salimini.
Pia soma: Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa
Hata hao watuhumiwa ni raiaPolisi imekuwa ni chombo cha kutoa ufafanuzi badala ya kulinda Raia
mleta mada hajasema maiti imepatikana, amesema binti haonekani kwahiyo inawezekana aliuawaWabongo kwa kuzusha hamjamboš
Ndio maana mnatapeliwa na wachungaji tuma kwa namba hii hadi wauza juice
Hata mbwa wa police akiona hii atajua tu ni fake news
View attachment 3063645
Polisi imeishatoa "Taarifa Rasmi". Binti yupo mzima.Kwa taarifa zinavyoongelewa huko mtaani , inasemekana yule Binti mdogo aliyedhalilishwa na wanajeshi , hakuweza kuachwa hai baada ya lile tukio, taarifa hizi nyingine zinatoka jeshini ndani na mtaani Kwa huyo dada.
Wenye mamlaka wamebidi wakae kuificha Siri hii Ili wananchi wasije kureact na wenye mamlaka.
Mtaani Kwa Binti hayupo na Wala haonekani, Wala polisi hayupo au haonekani.
Mwisho wa siku hizi ni tetesi na wakuthibitisha hili ni serikali kupitia jeshi la polisi na CDF