Polisi Dodoma yamshikilia Mlinzi wa Kanisa kwa tuhuma za mauaji ya msanii Man Dojo

Polisi Dodoma yamshikilia Mlinzi wa Kanisa kwa tuhuma za mauaji ya msanii Man Dojo

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia Mtu mmoja aliyetambulishwa kwa jina la Raphael Keneth Ndamahnwa mlinzi wa kanisa Katoliki parokia ya watakatifu wote lililopo Nzuguni B kwaajili ya uchunguzi wa kifo cha msanii wa muziki wa kizazi kipya Joseph Francis Maarufu kaka ManDojo kilochotokea Agosti 11, 2024.

Soma Pia: Mwanamuziki wa Bongo fleva Mandojo afariki Dunia

Akiongea kwa niaba ya Kamanda wa Jeshi la Polis Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi SACP Anania Amo leo Agosti 13,2024 jijini Dodoma, amesema kuwa jeshi la polisi linaendelea kumuhoji Mlinzi huyo kuhusiana na Tukio hilo huku mwili wa marehemu ukiwa umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti kwaajili ya chunguzi na madaktari ili kubaini chanzo cha kifo chake.
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia mtu mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Raphael Ndamahnwa ambaye ni mlinzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Watakatifu wote lililopo Nzuguni B kwa ajili ya mahoniano, kufuatia kifo cha msanii wa muziki wa kizazi kipya Joseph Francis maarufu Mandojo kilochotokea Agosti 11, 2024.

Akizungumza na waandishi wa habari kwa niaba ya Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi Anania Amo amesema Jeshi la Polisi linaendelea kumuhoji mlinzi huyo kuhusiana na tukio hilo huku mwili wa marehemu ukiwa umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti kwa ajili ya chunguzi ili kubaini chanzo cha kifo chake.
1723548480122.jpg
 
Jina la mlinzi mweh ni kama la jirani zetu pande ile ingine karibu na Congo
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia mtu mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Raphael Ndamahnwa ambaye ni mlinzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Watakatifu wote lililopo Nzuguni B kwa ajili ya mahoniano, kufuatia kifo cha msanii wa muziki wa kizazi kipya Joseph Francis maarufu Mandojo kilochotokea Agosti 11, 2024.

Akizungumza na waandishi wa habari kwa niaba ya Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi Anania Amo amesema Jeshi la Polisi linaendelea kumuhoji mlinzi huyo kuhusiana na tukio hilo huku mwili wa marehemu ukiwa umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti kwa ajili ya chunguzi ili kubaini chanzo cha kifo chake.
View attachment 3068647
Jamaa yenu alikuwa kwenye banda la mbwa akifanya nini?

Vijana tuache pombe na bangi kupitiliza matokeo yake ndio hayo.
 
Back
Top Bottom