stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Yaan unamaanisha kwamba?Aanze zoezi la kujichomeka tango kinywani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan unamaanisha kwamba?Aanze zoezi la kujichomeka tango kinywani
RIP Mandojo.Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia mtu mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Raphael Ndamahnwa ambaye ni mlinzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Watakatifu wote lililopo Nzuguni B kwa ajili ya mahoniano, kufuatia kifo cha msanii wa muziki wa kizazi kipya Joseph Francis maarufu Mandojo kilochotokea Agosti 11, 2024.
Akizungumza na waandishi wa habari kwa niaba ya Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi Anania Amo amesema Jeshi la Polisi linaendelea kumuhoji mlinzi huyo kuhusiana na tukio hilo huku mwili wa marehemu ukiwa umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti kwa ajili ya chunguzi ili kubaini chanzo cha kifo chake.
View attachment 3068647
Elewa kwamba,nyapara ana ugwaduYaan unamaanisha kwamba?
Hahaha 😂 kanisani ushawahi kulinda? Jichanganye uitiwe Mwizi alafu kimbilia kanisani ukutane na walinzi wa kanisa hawajalipwa tarehe ya 50 inaelekea tarehe ya 60 malipo yasiyokidhi mahitaji yao uone wanachokufanya km hawajakugeuka Pilau la PasakaRIP Mandojo.
Unamuuaje mtu kwa kumdhani mwizi kanisani, sehemu ambayo hata mwizi wa kweli akiwa anakimbizwa na watu anaruhusiwa kukimbilia na kutetea asiuawe?
Aisifiaye Mvua imemnyea hakika uyasemayo umemaanisha maana inaweza kua ashawahi kupunguzia kwako huo ugwaduElewa kwamba,nyapara ana ugwadu
Watoto bwana!!Aisifiaye Mvua imemnyea hakika uyasemayo umemaanisha maana inaweza kua ashawahi kupunguzia kwako huo ugwadu
Mtoto Wewe ambae umejoin Juzi JF Mimi ni Mkubwa wako maana nimekutangulia kukata utepe tena utulie sichelewagi kutembeza makonzi kwa madogo wasumbufuWatoto bwana!!
Nilisikia mara ya kwamba mara ya mwisho alikuwa anakunywa pombe sana, hivyo siku hio alimuaga wife wake anakwenda kutubu kanisani aachane na mambo ya pombe n.k...Mwamba alienda kusali sio
Nimejoin juzi ila naijua mitaa ya jf usipimeMtoto Wewe ambae umejoin Juzi JF Mimi ni Mkubwa wako maana nimekutangulia kukata utepe tena utulie sichelewagi kutembeza makonzi kwa madogo wasumbufu
Mkuu,Hahaha 😂 kanisani ushawahi kulinda? Jichanganye uitiwe Mwizi alafu kimbilia kanisani ukutane na walinzi wa kanisa hawajalipwa tarehe ya 50 inaelekea tarehe ya 60 malipo yasiyokidhi mahitaji yao uone wanachokufanya km hawajakugeuka Pilau la Pasaka
Kumbe ndio wanaenda kumuua? Walinzi wa kanisa wakishalamba kitu cha Ukoo wa Yesu wanakua hatari sana kwa afya ya kelele za MwiziNilisikia mara ya kwamba mara ya mwisho alikuwa anakunywa pombe sana, hivyo siku hio alimuaga wife wake anakwenda kutubu kanisani aachane na mambo ya pombe n.k...
Walinzi wengi hawana ethics za kazi zao... Huyo ni mandojo.. ina maana kuna wengi tu ambao sio maarufu walishapotezwa kwa kuitwa wezi na kuuawa pasipo hatia.Kumbe ndio wanaenda kumuua? Walinzi wa kanisa wakishalamba kitu cha Ukoo wa Yesu wanakua hatari sana kwa afya ya kelele za Mwizi
Ukiwa lindo ndo unaruhusiwa kupiga na kuua, kifungu gani cha sheria kinasema hivyo?Mlinzi hana kosa hapo. Slikuwa lindoni
Uislam mwema sana.Penye ukakasi ni hao waumini waliomsaidia mlinzi kumpiga mwizi. Kanisani ni sehemu ya kwenda kutubu ambapo huwa tunasema "utusamehe makosa kama sisi tunavyowasamehe waliotukosea".. sasa ndugu zetu wakatoliki huwa ni tofauti? Itakuwa ngumu kuzuia mashambulizi ya bibi FaizaFoxy
Wakati huo mbwa walikuwa wapi, au alikuwa anawafanya nini mbwa humo ndaniJamaa yenu alikuwa kwenye banda la mbwa akifanya nini?
Mashambulizi ya ni tena kutokea kwangu?Penye ukakasi ni hao waumini waliomsaidia mlinzi kumpiga mwizi. Kanisani ni sehemu ya kwenda kutubu ambapo huwa tunasema "utusamehe makosa kama sisi tunavyowasamehe waliotukosea".. sasa ndugu zetu wakatoliki huwa ni tofauti? Itakuwa ngumu kuzuia mashambulizi ya bibi FaizaFoxy