Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanazania wanaopenda kuua watu wenye tuhuma za wizi ni wengi sana. Na hawaambiliki lolote. ni wabishi na lolote utakalowaambia wanasema hujawahi kuibiwa. Hii ni tabia ya kinyama mno na inabidi likomeshwe kwa vifungo vya muda mrefu.Mlinzi ana stress za kulipwa mshahara usiokidhi nahitaji yakee ,stress zake akaona amwangushie msanii wetuu aiseeee..
Km kahusika kwel asiachwe salama..
Hayo macho , mhhJeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia mtu mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Raphael Ndamahnwa ambaye ni mlinzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Watakatifu wote lililopo Nzuguni B kwa ajili ya mahoniano, kufuatia kifo cha msanii wa muziki wa kizazi kipya Joseph Francis maarufu Mandojo kilochotokea Agosti 11, 2024.
Akizungumza na waandishi wa habari kwa niaba ya Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi Anania Amo amesema Jeshi la Polisi linaendelea kumuhoji mlinzi huyo kuhusiana na tukio hilo huku mwili wa marehemu ukiwa umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti kwa ajili ya chunguzi ili kubaini chanzo cha kifo chake.
View attachment 3068647
Eti aliaga kwa mkewe kuwa anaenda kanisaniJamaa yenu alikuwa kwenye banda la mbwa akifanya nini?
Vijana tuache pombe na bangi kupitiliza matokeo yake ndio hayo.
Hivi aliyetuma kubaka ni nani ?halafu aliyetuma kubaka bado hajakamatwa
Hilo swali walitakiwa wamuulize wale waliomkuta.ila kwa bahati mbaya wakaishia kumpiga.kwa sasa hatuwezi jua.hata hivyo mwizi anakwenda kwenye banda la mbwa kuiba nini?Eti aliaga kwa mkewe kuwa anaenda kanisani
Sasa sijui alifikaje kwenye Banda la mbwa
Una akili kama za huyo kwenye avatar yakoBangi za mandojo zile
USSR
Damu ya mtu hayo yote utayakumbuka muda umeenda ule muda unaingia kifungoni.Yaani huyo mlinzi alivyokuwa mjinga ameshundwa hata kutengeneza mazingira ya wizi.kuwa walimkuta na kitu cha kanisani. Mnamuitia mtu mwizi alafu hamjamkuta na kitu cha wizi hyo ni hatari.mkamateni mumuhoji
Eti aliaga kwa mkewe kuwa anaenda kanisani
Sasa sijui alifikaje kwenye Banda la mbw