Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Sheria hii haijalishi kama wewe ni mke au mume. Inaongelea kw ujumla kulinda taarifa za mtu binafsi. Sasa ukipekua simu ya mtu yeyote bila ridhaa yake ni kosa. Au ukiingilia mawasiliano ya mtu ni kosa pia.Ndoa inazidi kupigwa vita bila kujuwa.sheria kama hii inakaribisha usaliti ndani ya ndoa.
Labda kachanganyq pia na personal data protection act.Inaonekana poti kachanganya vipengele vya Sheria ya Makosa ya Mtandao na Sheria ya Usalama wa Taifa bila kutoa ufafanuzi wa kutosha. Kila sheria ina mazingira yake ya utumiaji.
Adhabu aliyoitaja ya faini ya shilingi milioni tano hadi ishirini au kifungo cha miaka mitano si sahihi. Adhabu ya kosa la kuingilia mawasiliano ya mtu mwingine chini ya Sheria ya Makosa ya Mtandao ni faini isiyozidi shilingi milioni tano au kifungo kisichozidi miaka mitatu, au vyote kwa pamoja.
Mwamba ajitahidi asichanganye sheria
Ndoa zimeanza kusalitiwa zamani sn. Ila hizi simu sasa ndio zinofichua huo usalitiHuyo sio mke tena ikiwa huna uhuru wakutumia simu yake au kuitazama.
Nahili nibomu kubwa ambalo litatafuna vizazi hivi vya 2000 kwakua namigogoro mingi yandoa nazaidi ndoa nyingi kufa kabisa kwasababu ya vitendo vya usaliti ndani ya ndoa.
Kama taifa tutegemee single mother wengi sana navijana walio kwenda kiumri bila hata kuowa kabisa.
Kazi yao kuzalisha watoto wawatu nakuwaachia wazee wao mizigo mikubwa ya wajukuu na vitukuu.