Eh hii ni ya wap tena?IGP: Tunaomba utuambie, Land Cruiser nyeupe yenye namba za usajili T 249 EMV,ni mali ya nani, liko wapi muda huu,na mmechukua hatua Gani kulijua hili gari!
Urais alio upata kwa bahati mbaya ndiyo umesaidia kupata picha halisi ya huyu mama na tabia zakeChezea mtu ambaye aneongezewa wake wenza na hajali
AlooHatimaye kijana Nondo kapatikana muda huu,akiwa ametupwa nje ya Makao Makuu ya Ofisi za ACT.
Taarifa za awali zinasema yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote ,hata kuongea ni shida
Source
Boniphace Jacob
Ex mayor.
Hilo Land cruiser ni la Serikali lipo kituo cha Gogoni Jana lilitolewa Plate number zikawekwa plate number za gari ya IST ambayo ipo garage moja bubu somewhere na ngao yake ikatolewa ilipoenda kupiga tukio na limeoshwa leo baada ya kupiga tukio Jana kumkamata/kumteka Bwana Abdul NondoIGP: Tunaomba utuambie, Land Cruiser nyeupe yenye namba za usajili T 249 EMV,ni mali ya nani, liko wapi muda huu,na mmechukua hatua Gani kulijua hili gari!
Ukiona inakanushwa haraka jua ndo ukweli, ukiona kitu kinapuuzwa hamna tamko ndo uongoJeshi la Polisi limekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni zikidai gari lililoegeshwa Kituo cha Polisi Gogoni limehusika na tukio la utekaji wa Abdul Omary Nondo katika Kituo cha Mabasi cha Magufuli leo alfajiri.
Pia, Soma: Zitto: Tumepata Taarifa Nondo yuko Kituo cha polisi Gogoni, Tumefika tumekuta gari inabadilishwa Plate namba
Kwa mujibu wa Polisi, gari hilo ni la Serikali na limekuwa likiegeshwa kituoni hapo tangu Novemba 29, 2024. Leo mchana, lilichukuliwa na dereva kwenda kuoshwa kwa maandalizi ya kazi za kesho. Aidha, mashuhuda wanasema gari lililotumika katika tukio halikuwa na ngao, tofauti na gari hilo la Gogoni.
View attachment 3166854
Eti hii ni picha ya CCTV Camera! Hawa jamaa wanaonaga wote ni mbumbumbu.View attachment 3166867
Moja wapo ya makosa makubwa ni kuliamini jeshi la polisi.
Haya maelezo sasa😀Jeshi la Polisi limekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni zikidai gari lililoegeshwa Kituo cha Polisi Gogoni limehusika na tukio la utekaji wa Abdul Omary Nondo katika Kituo cha Mabasi cha Magufuli leo alfajiri.
Pia, Soma: Zitto: Tumepata Taarifa Nondo yuko Kituo cha polisi Gogoni, Tumefika tumekuta gari inabadilishwa Plate namba
Kwa mujibu wa Polisi, gari hilo ni la Serikali na limekuwa likiegeshwa kituoni hapo tangu Novemba 29, 2024. Leo mchana, lilichukuliwa na dereva kwenda kuoshwa kwa maandalizi ya kazi za kesho. Aidha, mashuhuda wanasema gari lililotumika katika tukio halikuwa na ngao, tofauti na gari hilo la Gogoni.
View attachment 3166854
Jamani, mbona alishasema hizi ni drama, unataka aongee nini tena, hata ile ya kibao ni drama tu..Hivi inakuwaje nchi ina Rais na raia wema wanachukuliwa kana swala na watu wasio julikana, Rais anapiga kimya, haongei kuhusu utekaji huo?
Kazi ipoJeshi la Polisi limekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni zikidai gari lililoegeshwa Kituo cha Polisi Gogoni limehusika na tukio la utekaji wa Abdul Omary Nondo katika Kituo cha Mabasi cha Magufuli leo alfajiri.
Pia, Soma: Zitto: Tumepata Taarifa Nondo yuko Kituo cha polisi Gogoni, Tumefika tumekuta gari inabadilishwa Plate namba
Kwa mujibu wa Polisi, gari hilo ni la Serikali na limekuwa likiegeshwa kituoni hapo tangu Novemba 29, 2024. Leo mchana, lilichukuliwa na dereva kwenda kuoshwa kwa maandalizi ya kazi za kesho. Aidha, mashuhuda wanasema gari lililotumika katika tukio halikuwa na ngao, tofauti na gari hilo la Gogoni.
View attachment 3166854
Hivi lilikuwa emv au cmv au istHao ndio PoliCCM km walikuwepo eneo la tukio