Polisi: Gari la kituo cha Gogoni halihusiki na utekaji wa Abdul Nondo

Polisi: Gari la kituo cha Gogoni halihusiki na utekaji wa Abdul Nondo

Hatimaye kijana Nondo kapatikana muda huu,akiwa ametupwa nje ya Makao Makuu ya Ofisi za ACT.

Taarifa za awali zinasema yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote ,hata kuongea ni shida

Source
Boniphace Jacob
Ex mayor.
 
Hatimaye kijana Nondo kapatikana muda huu,akiwa ametupwa nje ya Makao Makuu ya Ofisi za ACT.

Taarifa za awali zinasema yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote ,hata kuongea ni shida

Source
Boniphace Jacob
Ex mayor.
Aloo
 
IGP: Tunaomba utuambie, Land Cruiser nyeupe yenye namba za usajili T 249 EMV,ni mali ya nani, liko wapi muda huu,na mmechukua hatua Gani kulijua hili gari!
Hilo Land cruiser ni la Serikali lipo kituo cha Gogoni Jana lilitolewa Plate number zikawekwa plate number za gari ya IST ambayo ipo garage moja bubu somewhere na ngao yake ikatolewa ilipoenda kupiga tukio na limeoshwa leo baada ya kupiga tukio Jana kumkamata/kumteka Bwana Abdul Nondo

Swali jingine
 
images (4).jpeg

Moja wapo ya makosa makubwa ni kuliamini jeshi la polisi.
 
Jeshi la Polisi limekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni zikidai gari lililoegeshwa Kituo cha Polisi Gogoni limehusika na tukio la utekaji wa Abdul Omary Nondo katika Kituo cha Mabasi cha Magufuli leo alfajiri.

Pia, Soma: Zitto: Tumepata Taarifa Nondo yuko Kituo cha polisi Gogoni, Tumefika tumekuta gari inabadilishwa Plate namba

Kwa mujibu wa Polisi, gari hilo ni la Serikali na limekuwa likiegeshwa kituoni hapo tangu Novemba 29, 2024. Leo mchana, lilichukuliwa na dereva kwenda kuoshwa kwa maandalizi ya kazi za kesho. Aidha, mashuhuda wanasema gari lililotumika katika tukio halikuwa na ngao, tofauti na gari hilo la Gogoni.
View attachment 3166854
Ukiona inakanushwa haraka jua ndo ukweli, ukiona kitu kinapuuzwa hamna tamko ndo uongo

Kazi kwenu kujua ukweli na UONGO
 
Jeshi la Polisi limekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni zikidai gari lililoegeshwa Kituo cha Polisi Gogoni limehusika na tukio la utekaji wa Abdul Omary Nondo katika Kituo cha Mabasi cha Magufuli leo alfajiri.

Pia, Soma: Zitto: Tumepata Taarifa Nondo yuko Kituo cha polisi Gogoni, Tumefika tumekuta gari inabadilishwa Plate namba

Kwa mujibu wa Polisi, gari hilo ni la Serikali na limekuwa likiegeshwa kituoni hapo tangu Novemba 29, 2024. Leo mchana, lilichukuliwa na dereva kwenda kuoshwa kwa maandalizi ya kazi za kesho. Aidha, mashuhuda wanasema gari lililotumika katika tukio halikuwa na ngao, tofauti na gari hilo la Gogoni.
View attachment 3166854
Haya maelezo sasa😀
 
Hivi inakuwaje nchi ina Rais na raia wema wanachukuliwa kana swala na watu wasio julikana, Rais anapiga kimya, haongei kuhusu utekaji huo?
Jamani, mbona alishasema hizi ni drama, unataka aongee nini tena, hata ile ya kibao ni drama tu..
 
Jeshi la Polisi limekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni zikidai gari lililoegeshwa Kituo cha Polisi Gogoni limehusika na tukio la utekaji wa Abdul Omary Nondo katika Kituo cha Mabasi cha Magufuli leo alfajiri.

Pia, Soma: Zitto: Tumepata Taarifa Nondo yuko Kituo cha polisi Gogoni, Tumefika tumekuta gari inabadilishwa Plate namba

Kwa mujibu wa Polisi, gari hilo ni la Serikali na limekuwa likiegeshwa kituoni hapo tangu Novemba 29, 2024. Leo mchana, lilichukuliwa na dereva kwenda kuoshwa kwa maandalizi ya kazi za kesho. Aidha, mashuhuda wanasema gari lililotumika katika tukio halikuwa na ngao, tofauti na gari hilo la Gogoni.
View attachment 3166854
Kazi ipo
 
Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.

Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).Zitto
downloadfile.jpg
 
Back
Top Bottom