Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Postmortem haijafanyika ila wameshaanza ku indicate alikua na ugonjwa wa moyo. Yani mwili haujafanyiwa uchunguzi lakin tumeshajua majibu tutakayopewa
Postmortem haijafanyika ila wameshaanza ku indicate alikua na ugonjwa wa moyo. Yani mwili haujafanyiwa uchunguzi lakin tumeshajua majibu tutakayopewa
Postmortem haijafanyika ila wameshaanza ku indicate alikua na ugonjwa wa moyo. Yani mwili haujafanyiwa uchunguzi lakin tumeshajua majibu tutakayopewa
Kesi imesikilizwa siku moja na mtuhumiwa kutiwa hatiani kisha kufungwa siku hiyo hiyo...
BossSawa sawa
Hlafu hapo hapo wanatoa onyo kwa watu wanaojaribu kusema aliuawa kwa kipigo!! Hapa kuna kitu kinafichwa!Postmortem haijafanyika ila wameshaanza ku indicate alikua na ugonjwa wa moyo. Yani mwili haujafanyiwa uchunguzi lakin tumeshajua majibu tutakayopewa
Nipo hospital ya rufaa hapa iringa huyo jaama kaletwa hapa ashakufa tena kwa kipigo kizito ningetoa ushahid sema Bhas Tu watanijuaPostmortem haijafanyika ila wameshaanza ku indicate alikua na ugonjwa wa moyo. Yani mwili haujafanyiwa uchunguzi lakin tumeshajua majibu tutakayopewa