Polisi Iringa: Tunachunguza taarifa za ASAS kumuua Dereva wa Lori

Polisi Iringa: Tunachunguza taarifa za ASAS kumuua Dereva wa Lori

Ukinusa vizuri hii taarifa unaona kabisa kuna nguvu ya ziada inatumika kuwasafisha Asas, na hapo ndo unaona ukweli wa taarifa zinazohusu dereva "aliyeuawa".
Mbona mbapenda uongo uongo? Kwani hakuhukumiwa? Kama alihukumiwa kwa hiyo walimfata gerezani na kumuua? Hivi kwanini mnalazimisha taarifa za uongo?
 
Nchi imekuwa ya hovyo, apa ndio tunaona umuhimu wa makundi ya kivita maana hawatendi haki.

Nasisi tukianza action tutaanza kuelewana, watu kama hawa ni kutandika nyundo za kichwa tu
 
Back
Top Bottom