Pesa yao Ni ndefu Sana ... ..ndio.maana wanakubali kadhia zote.Dah kazi zote muhim na ningumu ila kwa JW dah hapana asee...
Ukienda mipakani ndo utajua hii nchi ina Jeshi na Matambo ya kutosha asee yasikie tuu kwenye Tv na sio karibu yako au usilengwe wewee
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Utumishi wa sasa ni kama tunavolunteer . Masaa nane ya kazi unachoingiza hakiwezi somesha watoto, kujenga, etc japo wasio na ajira wanàtamani kazi bora ujiajili hakuna anaekucontrol
Kabisa mi hili hata sipingi kabisa anii.Mpaka gani, Namanga, Tunduma, Rusumo, Kabanga, Mutukula, Munanila, Tangazo, Mtambaswala, indian ocean shore au upi hasa ndio maana tunasema kwa kazi za wapiganaji wetu lazima waongezewe maslahi
Cha Ajabu wakipata pesa ni pombe na madem tuuNdio maana tunawapigania ili muongezewe mshahara na marupurupu mengine
Wa kuonewa huruma nj wale ambao hawana anira,wanatamani hata nusu ya hiyo laki 8Tumeanza na hao kuchokoza maada huko kuna madaktari MD analamba kama 800k hivi, manesi, walimu huko wanacheza na 400k hadi 600k hao nao wakuonewa huruma kuna watumishi wa umma hata afanye scrub vipi bado ngozi inakua imekakamaa sababu ya stress na mawazo hasa kwa hizo salary mfano maisha ya Dar anayamudu vipi ndio huchelewi kukuta watumishi wa umma nao wanajiuza kama kawaida tu
Bro wanajeshi kupewa kazi uraiani sio dhmbi,sababu wana elimu za kiraia pia.halafu Jeshi wala hawana mishahara midogo! Mungu anawaona! kujipendekza kwa Rais wamejazwaa tena kwenye kazi za uraiani! uroho mbaya sana! kuna mmoja alitimuliwa STAMICO hapa! kwa kuwa na low IQ, kuona wafanyakazi kama watu wa chin tu! akakata stahiki zao wakati yeye anasafiri hadi nje ya nchi! Akatimuliwa kurudishwa jeshini huko! dhambi zinawatafuna wengi wanaishia maisha ya shida tu ingawa wana kiinua mgongo kikubwa
Mnaandaa taifa mfu.Ndio maana tunawapigania ili muongezewe mshahara na marupurupu mengine
Unapendekeza waongozewe bei gani?Kiukweli kwa kazi kubwa sana za hayo majeshi.
Wanafanya kazi kubwa ya ulinzi na usalama wa nchi yetu, lakini maslahi yao hayaendani na kazi kubwa wanazozifanya.
Lazima maslahi ya wanawake kwenye majeshi hayo yafanane maana hapo unakutana na WP anakung’ang’ania ili uwe nae walau asogeze siku utakuta mnabaki mnalaumu ooohhh askari ni majambazi kumbe ujambazi mmeuandaa wenyewe yeye yuko station labda benki analinda mabilioni anaona transaction za kibiashara kubwa kubwa then mwisho wa mwezi anapata laki nne au tano huyu mtu akipata upenyo akajua unapesa lazima akuue tu hana jinsi.
Uhamiaji hapo unaandaa ukaguzi wa mizigo ndio unazalisha na wadokozi iwe mipakani au airport Atakagua aone kitu kizuri unadhani atakiacha kweli au atapewa rushwa watu wavuke kimagendo unadhani ataiacha hiyo rushwa?
Zimamoto huko ndio kuna balaa yaani mishahara mibovu haijawahi kutokea, hawaendi mafunzo maalumu kwa wakati, hawana drones za kuzima moto kwenye majengo marefu, yaani kila wilaya inatakiwa ipate gari la zimamoto lakini pia wawe na walau kisima kimoja kirefu cha maji yasihokauka ili ikitokea tukio wachukue maji hapo sio waanze kuzunguka bila plan, hawa watu hufanya kazi kwa stress sana.
Jeshini ndio yale yale ni vile hawasemi lakini wameandamwa na mikopo isiyo na idadi na wapiganaji wetu ukiongea nao pembeni wanalaumu sana juu ya maslahi yao.
Reforms kubwa za maslahi ya hawa watu zinatakiwa hapo tutawafanya wawe weledi, na Tamaa ya Rushwa itapungua japo kidogo.
Serikali wajalini hao watu ili wapunguze hata uonezi kwa raia wetu wa kawaida.
Na trafiki wa Kasulu, Misenyi , Tabora au Kilombelo nao hukusanya 50 kwa siku?Kuhusu polisi nadhani trafiki wapunguziwe mshahara maana jamaa hawakosi 50 minimum kwa siku.
Tena huko ndio kwenye magari mabovuNa trafiki wa Kasulu, Misenyi , Tabora au Kilombelo nao hukusanya 50 kwa siku?
Afanye kazi yeye na mshahara akipokea tumpangie vitu vya kununua?
Na trafiki wa Kasulu, Misenyi , Tabora au Kilombelo nao hukusanya 50 kwa siku?
Acha kazi mkuu...wapo wanaokitamani hata hicho kidogo unachokipata weweUtumishi wa sasa ni kama tunavolunteer . Masaa nane ya kazi unachoingiza hakiwezi somesha watoto, kujenga, etc japo wasio na ajira wanàtamani kazi bora ujiajili hakuna anaekucontrol