Polisi, Jeshi, Magereza, Uhamiaji, Zimamoto mishahara yao ni midogo, Serikali muwaongezee

Dah kazi zote muhim na ningumu ila kwa JW dah hapana asee...

Ukienda mipakani ndo utajua hii nchi ina Jeshi na Matambo ya kutosha asee yasikie tuu kwenye Tv na sio karibu yako au usilengwe wewee

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Pesa yao Ni ndefu Sana ... ..ndio.maana wanakubali kadhia zote.

Na ndio maana wanaongoza kwa Yale Mambo flani!
 
Utumishi wa sasa ni kama tunavolunteer . Masaa nane ya kazi unachoingiza hakiwezi somesha watoto, kujenga, etc japo wasio na ajira wanàtamani kazi bora ujiajili hakuna anaekucontrol

Ndio maana tunawapigania ili muongezewe mshahara na marupurupu mengine
 
Mpaka gani, Namanga, Tunduma, Rusumo, Kabanga, Mutukula, Munanila, Tangazo, Mtambaswala, indian ocean shore au upi hasa ndio maana tunasema kwa kazi za wapiganaji wetu lazima waongezewe maslahi
Kabisa mi hili hata sipingi kabisa anii.

Kule mpaka akili zao kama Fyatu tuu

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Wa kuonewa huruma nj wale ambao hawana anira,wanatamani hata nusu ya hiyo laki 8
 
Bro wanajeshi kupewa kazi uraiani sio dhmbi,sababu wana elimu za kiraia pia.

Pia ndio majukumu ya wanajeshi hayo wakati wa Amani
 
Ndio maana tunawapigania ili muongezewe mshahara na marupurupu mengine
Mnaandaa taifa mfu.

Nusu ya makusanyo kwa mwezi yanatumika kulipa mishahara, robo kulipa madeni, robo Maendeleo.

Sasa mnataka kuikomba na hiyo robo ya maendeleo
 
Unapendekeza waongozewe bei gani?

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Kuhusu polisi nadhani trafiki wapunguziwe mshahara maana jamaa hawakosi 50 minimum kwa siku.
Na trafiki wa Kasulu, Misenyi , Tabora au Kilombelo nao hukusanya 50 kwa siku?
 
Na trafiki wa Kasulu, Misenyi , Tabora au Kilombelo nao hukusanya 50 kwa siku?

Trafik wa Kasulu hadi nguo zao ni nyekundu kama vumbi lao, maisha ya trafik yapo Mbeya, Igunga, manyoni, nzega, njombe, kibaha hadi mlandizi, Arusha to moshi, moro to Dodoma, mbeya to kyela, mbeya to Iringa
 
Kwa JWTZ hapo uongo. JWTZ wana mishahara mikubwa, sema tatizo wanaishi kwa mashindano.

Baadhi hawana stadi za maisha nje ya kuzifahamu silaha, na ndio hawa wanaosumbua watu mtaani kwa maisha magumu.

Mwanajeshi akiona mwenzake amenunua sijui Alteza, na yeye anaenda kukopa ananunua. Mwanajeshi akiona mwenzake kajenga lijumba likubwa, na yeye anenda kukopa anajenga.

Ila ukikuta mwanajeshi anaishi maisha yake halisi, hawezi kufulia na tena atakuwa ana maendeleo makubwa kwa sababu wanapata mishahara mikubwa sana.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Msiwasahau na watumishi wa TRA nao waongezewe mshahara..wanaishi maisha magumu sana 😰😰
 
Utumishi wa sasa ni kama tunavolunteer . Masaa nane ya kazi unachoingiza hakiwezi somesha watoto, kujenga, etc japo wasio na ajira wanàtamani kazi bora ujiajili hakuna anaekucontrol
Acha kazi mkuu...wapo wanaokitamani hata hicho kidogo unachokipata wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…