Polisi jifunze namna bora ya kuishi na jamii

Ukitazama ndani ya jamii sio watu waoga wanaweza kumfanyia yete ubaya au hata familia. Yaani kosa la mdogo wako basi familia nzima mnalipa πŸ˜” wajitazame tena maana imefika hatua watu wanashukuru kuona askari amefariki.
Wameyataka wenyewe na tunakoelekea itakuwa ni vita ya kimya kimya
 
Wanajamii mmebadilika mioyo
Wala sikatai Mkuu. Times have changed.

Ni kwenda kwa Wakati.

Too much Disinformation and Misinformation, hususan nyakati hizi za Uchaguzi.

Umenichekesha(furahisha) Na jibu lako ....kwa mantiki yangu mnyeweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯

Nafikiri, pia, Jamii ijufunze pia "namna bora ya kuishi" na polisi
Afterall wakivua magwanda wanabakia kuwa Baba, Mama, Kaka, Dada, Wahomba, Shangazi...zetu. Nihivyo tu Mkuu.
 
Mkuu, hifadhi nguvu zako, kwasababu hawa HAYAWANI hawaelewi na hawatabadilika.Hao wakuu wao unaowashauri na kuwasihi watoe elimu ya maisha kwa maafisa/vijana wao,hawa ndiyo msingi wa ushetani unaoendelea, ndiyo wanaopanga na kuratibu ushetani wao.
SHETANI HAWEZI KUMTOA SHETANI MWENZAKE.
 
Nimekuelewa Mkuu
 
SHETANI HAWEZI KUMTOA SHETANI MWENZAKE 😈
 
"These Heathens"

One of the Oldest bigoted Script ever Invented and still Used today.

Shida yenu ni nini, kwani mkituacha tufanye mambobuetu wenyewe mtapungukiwa nini enyi Wazungu?

Miaka zaidi ya 700 na Ushee mnasema hayo hayo. Na hakuna chochote kile kilichobadilika, according to you. Mnahangaika nini? Ndio Hatutabadilikabkuwa kama Wazungu and that is a fact. Hamuoni hayo?

Mmetupaka mkorogo na hatuja kuwa kana nyie.

Mmeleta Dini, na Sasa Demokrasia kwa Vigezo vile vile.

"Convert the Heathens"

Mtuache muone kama tutawashobokea.
 
Hakika, maana baada ya kazi akirudi anarudi na kuwa miongoni mwa wanajamii kwenye jamii ileile. Naamini atajifunza mengi kutoka kwenye msaada huo.
Tatizo la hawa jamaa, huamini kuwa wanaogopwa sana kiasi ambacho hakuna anayeweza kuwaghasi kwa namna yoyote ile,hujiona miamba sana huko mitaani.
 
Tatizo la hawa jamaa, huamini kuwa wanaogopwa sana kiasi ambacho hakuna anayeweza kuwaghasi kwa namna yoyote ile,hujiona miamba sana huko mitaani.
Ehh tena πŸ˜ƒ
 
Nilipoandika andiko hili sikuwa na nia mbaya kwa kundi lolote! Sio polisi wala sio wanajamii! Ila tu nimeonesha wasiwasi wa kuanza kutokea kwa chuki komavu ndani ya jamii. Mpaka tunapokutana na watu wanaowaombea Polisi wakutane na mabaya basi sio jambo ambalo ni zuri.
Niliposema kuwa polisi wanawaumiza watu na baadaye kununua vyakula na dawa tiba kutoka kwa hawa hawa watu wanaowaumiza, je polisi wanajua kuwa wanaweza kufanyiwa kisasi?
Nimeandika andiko hili sio kwa sababu ya kuwalaumu polisi bali ni kama ukumbusho tu.​
 

Kisasi kimeshaanza huko! Askari J.3297 PC.BARNABA ANDREA MHONYA πŸ˜” Pole kwa familia yako! πŸ˜” Tanzania yangu imekuwa πŸ”₯
 

Kutoka Twitter πŸ˜”
 

Ukitaka kujua chuki ya watu ilivyo juu ya polisi basi
Pitia hizi comments πŸ˜ƒ
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…