Pengine ndio kitengo cheke, na halafu yeye si mtu wa kukubali kukosolewa kwa makosa aliyofanya.Huyo jamaa kanikwaza hata mimi! kama anahitaji kusaidia angemfuata hata inbox, sio kuuliza maswali ya kejeli, wakati mtu anatafuta haki na msaada wa kisheria
Haya mambo hadi yakukute ndo unayaelewa vzuri af wakati huo ukijaribu kumuelezea mtu ht haelew anarise doubt km hizo ulizorise, omba mungu akuepushe na kitu kinaitwa MATATIZOOkay
Raia wakati mwingine tunafeli hapo kwenye kuchukua hatua mapema, tunajisemea kuwa ''kesi ya nyani umpelekee ngedere!"Kama hii stori ni ya kweli basi hao askari wana kesi ya kujibu na ushahidi wa maongezi baina yao na ndugu wa mgonjwa utapatikana toka mtandao wa simu uliotumika.
Ndugu wa karibu wangeanzisha kesi mapema mgonjwa akingali anaweza kujieleza ili maelezo yake pia yasaidie.
Poleni sana. Mwenyezi Mungu amuafu mgonjwa na kumjalia uponyaji.
Kwani we bilble au kitabu Cha history ulikuepo wakati kinaandikwaHii stori yote wewe umeipata kutoka wapi? Ulikuwa eneo la tukio au umesimuliwa na mgonjwa? Je wewe ni una uhusiano gani na mgonjwa/ mtuhumiwa?
Wewe ni Polisi. Naishia hapaHii stori yote wewe umeipata kutoka wapi? Ulikuwa eneo la tukio au umesimuliwa na mgonjwa? Je wewe ni una uhusiano gani na mgonjwa/ mtuhumiwa?
Sijui uhalisia wa story hii ila polis wa Tz ji changamoto kubwa sana katika jamiiPolisi Goba, Dar, wajeruhi kwa kipigo, majeruhi yuko ICU, anapumlia mashine, madaktari wasema, kupona kwake utakuwa muujiza wa Mungu....
Jumatano, November 10, 2021, Polisi Goba walimkamata Issa Kassim (20), nyumbani kwao huko Goba kwa madai kwamba ameuziwa TV ya wizi, tukio ambalo mtuhumiwa alikana kulitenda.
Hali ya mgonjwa ubadilika Muda baada ya Muda.Ii
Hii stori imepambwa sana. Huyo mtu mahututi 1% kupona aongee yote hayo!
Comment yake inasikitisha sana nimeisoma mara mbilimbili.Ni vyema kujifunza kujiweka kwenye position ya mtu mwingine unafikiri ingekuwa ndugu yake angesema hivyo?Wewe ni mgeni wa hili jukwaa? taarifa zote zinazokuja humu watu huwa wanajitetea walivyo zipata?
Mtu anafikisha ujumbe kwa uchungu na kutafuta haki, unaleta ujuaji!? hiyo story kwa kuisoma inaonekana sio ya kutengeneza, bado unaleta ujuaji!
Eeeh mwenyezi Mungu mpe nafuu mja wako,Polisi Goba, Dar, wajeruhi kwa kipigo, majeruhi yuko ICU, anapumlia mashine, madaktari wasema, kupona kwake utakuwa muujiza wa Mungu....
Jumatano, November 10, 2021, Polisi Goba walimkamata Issa Kassim (20), nyumbani kwao huko Goba kwa madai kwamba ameuziwa TV ya wizi, tukio
DuhPolisi Goba, Dar, wajeruhi kwa kipigo, majeruhi yuko ICU, anapumlia mashine, madaktari wasema, kupona kwake utakuwa muujiza wa Mungu....
Jumatano, November 10, 2021, Polisi Goba walimkamata Issa Kassim (20), nyumbani kwao huko Goba kwa madai kwamba ameuziwa TV ya wizi, tukio
Halafu baadae wanaenda kutoa ushahidi wa uongo mahakamani kwamba mtuhumiwa ni gaidiPolisi Goba, Dar, wajeruhi kwa kipigo, majeruhi yuko ICU, anapumlia mashine, madaktari wasema, kupona kwake utakuwa muujiza wa Mungu....
Jumatano, November 10, 2021, Polisi Goba walimkamata Issa Kassim (20), nyumbani kwao huko Goba kwa madai kwamba ameuziwa TV ya wizi, tukio ambalo mtuhumiwa alikana kulitenda.
Dah 😢a, nakuacha mama, niombee kwa Mungu" aliongea Issa kwa majonzi makubwa.