Polisi jijini Dar wamjeruhi mtuhumiwa, yupo mahututi ICU

ww hujitambui ,na akilini naona umejaa kinyesi

tumia akili sio matako kufikiri,ukitanguliza mihemko namna hii unapoteza haki ya msingi.

ndio nyinyi mnakuta askari anakamata mtu unazuia,wanakugonga unapewa na kesi ya kuzuia ukamataji.tuliza akili uache ashki.
 
Mtaji wa Polisi TZ, ni uzwazwa, upopoma,ujingaaa wa RAIA.

ujanja wa raia sio kubishana na polisi.

na kutafuta haki yako kwa utulivu,raia una mamlaka hata ya kuwasiliana na IGP ukamweleza kila kitu,sijui harakati kunuka huwa zinatokea wapi!!!
 
Wewe ni mgeni wa hili jukwaa? taarifa zote zinazokuja humu watu huwa wanajitetea walivyo zipata?

Mtu anafikisha ujumbe kwa uchungu na kutafuta haki, unaleta ujuaji!? hiyo story kwa kuisoma inaonekana sio ya kutengeneza, bado unaleta ujuaji!

kwamba kwa kuisoma tu tayari umeshajua sio ya kuitengeneza!!
kuulizwa source inategemea taarifa umeiletaje.

wenzako wanakwenda mbali zaidi,huyu simu moja tu akianza kuulizwa maswali uchungu wote unamwisha.

haya mjibie,yeye kasimuliwa na nduguye aliye ICU au ndio mhusika mwenyewe aliyepo ICU??au ndiye mama wa mhanga wa ICU?!
 
Yote haya kisa kutoongeza mishahara ya watumishi wa umma. Njaa imekuwa kali.
 
Maisha yao hayana tofauti na shetani wanalala rum moja na watoto kwenye nyumba za bati
 
Sasa mkuu c ungeandika Afande Majuto na Afande Paul wa kituo cha Polisi Goba kuliko kujumuisha Mapoti wote wa Dar!!,
 
Huyo jamaa kanikwaza hata mimi! kama anahitaji kusaidia angemfuata hata inbox, sio kuuliza maswali ya kejeli, wakati mtu anatafuta haki na msaada wa kisheria
Labda yeye ndiyo afande Majuto, maana siyo kwa maswLi ya PGO
 
Kwa uzoefu wa polisi wetu ninaoujua, hili Tukio litakuwa LA kweli tupu!! Tumuone afande Sirro atakavyookoa roho ya huyu Malaika inavyopotea
 
Na hao ndugu waliopigiwa simu watoe pesa wapo ICU? Hacha mihemko
 
Street is saying that, out of all the high-powered, criminal street gangs, the largest and most dangerous of them all is the Police Department itself! This is due to police brutality and corruption in the force, and street says that this makes the police more criminal than the gangs themselves
 
Hapo hakuna mjadala. Jeshi la polisi watoe pesa ya kufidia hayo matibabu huyo mama asitoe hata senti tano yake....
 
Ukihoji hivi anaweza dhani upo kubishana nae.
Ameomba msaada wa kisheria na pengine hayuko sawa pyschologically.
Weka mood nzuri ya maswali ili kama una msaada umsaidie.
Kwani huyu ni nani tunayezungumza nae mpaka awe hayuko sawa kisaikolojia ninapomuliza maswali haya?
 
wabongo banah kwani mwenye asilimia moja ya kupona anatakiwa aongee maneno mangapi bosi kwa utaalamu wako?
Logically mtu ambaye ana 1% ya kupona hawezi kuongea lolote na pengine yupo kwenye coma yaani 99% amekufa. Kwahiyo huyu jamaa anaongea uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…