LGE2024 Polisi: Kada wa CHADEMA aliyefariki alipata ajali ya Bodaboda akiwa amelewa

LGE2024 Polisi: Kada wa CHADEMA aliyefariki alipata ajali ya Bodaboda akiwa amelewa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ndugu zangu Watanzania,

Jeshi la polisi Nchini limekanusha vikali taarifa za upotoshaji zinazoenea mitandaoni juu ya kifo cha kada wa CHADEMA aliyefariki Dunia .ambapo taarifa hizi za upotoshaji zinahusisha kifo chake na masuala ya siasa hasa kutia nia kwake.

Na hii ndio taarifa yake👎View attachment 3140830

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Mbona kama unatulazimisha 🤣
 
Wapinzani wawe makini sana Kwa Sasa.Ikiwezekana wasiende kwenye starehe Hadi uchaguzi uishe maana ccm Huwa wanatabia ya kuwanyesha sumu ili kumaliza upinzani.Mfano mzee mangula walimnywesha kipindi kile Bahati nzuri akawahishwa hospitali.
 
- KumbukiziMTAFUTANO.jpg
 

Tumeshuhudia kupitia mitandao ya kijamii ikitolewa taarifa ya kutaka kuupotosha umma kuhusiana na kifo cha Joseph Remigius, Miaka 52 mkazi wa Kijiji cha Karagara, Wilaya ya Misenyi Mkoa wa Kagera ambaye alikuwa ametia nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Kijiji kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Taarifa sahihi ni kwamba Oktoba 31, 2024 Joseph Remigius majira ya saa tatu usiku akiwa anatoka kwenye Bar waliyokuwa wanakunywa pombe akiwa amebebwa na bodaboda walipata ajali na baada ya ajali hiyo walipata msaada na kufikishwa katika Kituo cha Afya Minziro na kupatiwa matibabu na kuruhusiwa.

Novemba 1,2024 majira ya saa kumi na dakika ishirini alfajiri ndipo zikapokelewa taarifa katika Kituo Kidogo cha Polisi Minziro kuwa Joseph Remigius amefariki dunia akiwa nyumbani kwake.

Hivyo hadi sasa kulingana na ushahidi wa mashuhuda wa ajali na waliompatia msaada na kumfikisha katika Kituo cha Afya Minziro, ajali ndiyo chanzo cha kifo chake. Endapo kuna mwenye ushahidi tofauti na huo wa mashuhuda wa ajali basi aufikishe Polisi ili ufanyiwe kazi.

Imetolewa na:
David A. Misime - DCP
Msemaji wa Jeshi la Polisi
Dodoma, Tanzania.

Pia soma ~ Missenyi, Kagera: Kada CHADEMA, Joseph Elemedius auawa akingojea Uteuzi kugombea Serikali za Mitaa
ni muhimu sana kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, viongozi waandamizi wake, wanachama na wafuasi wake wote kujiepusha na unywaji pombe kiholela na kupita kiasi.

Pombe si nzuri ndrugo zangu, na matokeo yake ndiyo kama haya mtu kapata matatizo kwasababu ya ulevi anasingizia wengine 🐒
 
Sasa jf kule fb wanasema waliongea na Kanda wa polisi na akajibu yupo eneo la tukio atatoa maeelezo baadae huku polisi inasema mtu alifia nyumbani Tena alipata ajali
 

Tumeshuhudia kupitia mitandao ya kijamii ikitolewa taarifa ya kutaka kuupotosha umma kuhusiana na kifo cha Joseph Remigius, Miaka 52 mkazi wa Kijiji cha Karagara, Wilaya ya Misenyi Mkoa wa Kagera ambaye alikuwa ametia nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Kijiji kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Taarifa sahihi ni kwamba Oktoba 31, 2024 Joseph Remigius majira ya saa tatu usiku akiwa anatoka kwenye Bar waliyokuwa wanakunywa pombe akiwa amebebwa na bodaboda walipata ajali na baada ya ajali hiyo walipata msaada na kufikishwa katika Kituo cha Afya Minziro na kupatiwa matibabu na kuruhusiwa.

Novemba 1,2024 majira ya saa kumi na dakika ishirini alfajiri ndipo zikapokelewa taarifa katika Kituo Kidogo cha Polisi Minziro kuwa Joseph Remigius amefariki dunia akiwa nyumbani kwake.

Hivyo hadi sasa kulingana na ushahidi wa mashuhuda wa ajali na waliompatia msaada na kumfikisha katika Kituo cha Afya Minziro, ajali ndiyo chanzo cha kifo chake. Endapo kuna mwenye ushahidi tofauti na huo wa mashuhuda wa ajali basi aufikishe Polisi ili ufanyiwe kazi.

Imetolewa na:
David A. Misime - DCP
Msemaji wa Jeshi la Polisi
Dodoma, Tanzania.

Pia soma ~ Missenyi, Kagera: Kada CHADEMA, Joseph Elemedius auawa akingojea Uteuzi kugombea Serikali za Mitaa
Hivi haya mapoliCCM kwanini yanapenda kupotosha umma kwa kiasi hiki? Anyway, malipo ni hapa hapa duniani. Yeyote anayepotosha habari hii kwa shabaha ya kulinda uovu wa CCzM,
 
ni muhimu sana kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, viongozi waandamizi wake, wanachama na wafuasi wake wote kujiepusha na unywaji pombe kiholela na kupita kiasi.

Pombe si nzuri ndrugo zangu, na matokeo yake ndiyo kama haya mtu kapata matatizo kwasababu ya ulevi anasingizia wengine 🐒
Kesi ya yule dc aliyemtindua bint wa watu marinda mpk kumtoa mbolea imeishia wapi

Ova
 
Ni mwendo wa kuharibiana tu...!!.
Ila naona upande mmoja una power sana.....!!

Wamemuondoa ndugu mpinzani, wamemvizia yuko na alcohol kadhaa kichwani....!!
 
Back
Top Bottom