Ndugu zangu Watanzania,
Jeshi la polisi Nchini limekanusha vikali taarifa za upotoshaji zinazoenea mitandaoni juu ya kifo cha kada wa CHADEMA aliyefariki Dunia .ambapo taarifa hizi za upotoshaji zinahusisha kifo chake na masuala ya siasa hasa kutia nia kwake.
Na hii ndio taarifa yake👎View attachment 3140830
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
ni muhimu sana kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, viongozi waandamizi wake, wanachama na wafuasi wake wote kujiepusha na unywaji pombe kiholela na kupita kiasi.
Tumeshuhudia kupitia mitandao ya kijamii ikitolewa taarifa ya kutaka kuupotosha umma kuhusiana na kifo cha Joseph Remigius, Miaka 52 mkazi wa Kijiji cha Karagara, Wilaya ya Misenyi Mkoa wa Kagera ambaye alikuwa ametia nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Kijiji kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Taarifa sahihi ni kwamba Oktoba 31, 2024 Joseph Remigius majira ya saa tatu usiku akiwa anatoka kwenye Bar waliyokuwa wanakunywa pombe akiwa amebebwa na bodaboda walipata ajali na baada ya ajali hiyo walipata msaada na kufikishwa katika Kituo cha Afya Minziro na kupatiwa matibabu na kuruhusiwa.
Novemba 1,2024 majira ya saa kumi na dakika ishirini alfajiri ndipo zikapokelewa taarifa katika Kituo Kidogo cha Polisi Minziro kuwa Joseph Remigius amefariki dunia akiwa nyumbani kwake.
Hivyo hadi sasa kulingana na ushahidi wa mashuhuda wa ajali na waliompatia msaada na kumfikisha katika Kituo cha Afya Minziro, ajali ndiyo chanzo cha kifo chake. Endapo kuna mwenye ushahidi tofauti na huo wa mashuhuda wa ajali basi aufikishe Polisi ili ufanyiwe kazi.
Imetolewa na:
David A. Misime - DCP
Msemaji wa Jeshi la Polisi
Dodoma, Tanzania.
Pia soma ~ Missenyi, Kagera: Kada CHADEMA, Joseph Elemedius auawa akingojea Uteuzi kugombea Serikali za Mitaa
Hivi haya mapoliCCM kwanini yanapenda kupotosha umma kwa kiasi hiki? Anyway, malipo ni hapa hapa duniani. Yeyote anayepotosha habari hii kwa shabaha ya kulinda uovu wa CCzM,
Tumeshuhudia kupitia mitandao ya kijamii ikitolewa taarifa ya kutaka kuupotosha umma kuhusiana na kifo cha Joseph Remigius, Miaka 52 mkazi wa Kijiji cha Karagara, Wilaya ya Misenyi Mkoa wa Kagera ambaye alikuwa ametia nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Kijiji kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Taarifa sahihi ni kwamba Oktoba 31, 2024 Joseph Remigius majira ya saa tatu usiku akiwa anatoka kwenye Bar waliyokuwa wanakunywa pombe akiwa amebebwa na bodaboda walipata ajali na baada ya ajali hiyo walipata msaada na kufikishwa katika Kituo cha Afya Minziro na kupatiwa matibabu na kuruhusiwa.
Novemba 1,2024 majira ya saa kumi na dakika ishirini alfajiri ndipo zikapokelewa taarifa katika Kituo Kidogo cha Polisi Minziro kuwa Joseph Remigius amefariki dunia akiwa nyumbani kwake.
Hivyo hadi sasa kulingana na ushahidi wa mashuhuda wa ajali na waliompatia msaada na kumfikisha katika Kituo cha Afya Minziro, ajali ndiyo chanzo cha kifo chake. Endapo kuna mwenye ushahidi tofauti na huo wa mashuhuda wa ajali basi aufikishe Polisi ili ufanyiwe kazi.
Imetolewa na:
David A. Misime - DCP
Msemaji wa Jeshi la Polisi
Dodoma, Tanzania.
Pia soma ~ Missenyi, Kagera: Kada CHADEMA, Joseph Elemedius auawa akingojea Uteuzi kugombea Serikali za Mitaa
Kesi ya yule dc aliyemtindua bint wa watu marinda mpk kumtoa mbolea imeishia wapini muhimu sana kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, viongozi waandamizi wake, wanachama na wafuasi wake wote kujiepusha na unywaji pombe kiholela na kupita kiasi.
Pombe si nzuri ndrugo zangu, na matokeo yake ndiyo kama haya mtu kapata matatizo kwasababu ya ulevi anasingizia wengine 🐒
Kuwaamini Polisi wa Bongo unapaswa kuwa na Moyo wa ChumaLucas Mwashambwa inakuhusu sana hii
Hii taarifa ni kituko kitupu.Akapata ajali halafu akaenda nyumbani kwake na akafa akiwa nyumbani kwake. Ndiyo maana nilikataa ajira za namna hii.
Inahitaji akili ya mwendawazimu kuliamini jeshi la polisi hili linalotumiwa na CCM kuua wapinzaniPolisi wamejibu fasta hivi. 🤔
Taarifa yenyewe haingii akilini.Polisi wamejibu fasta hivi. 🤔
Imekufa natural deathKesi ya yule dc aliyemtindua bint wa watu marinda mpk kumtoa mbolea imeishia wapi
Ova
Duh alimuaribu bint wa watu marinda,utakuja kuona anateuliwa tena huyo dcImekufa natural death
Alikuwa RC wa Simiyu tena msomi wa PhD.Duh alimuaribu bint wa watu marinda,utakuja kuona anateuliwa tena huyo dc
Ova
Msemaji wa sasa wa Jeshi la Polisi ndiye Msemaji duni zaidi wa jeshi hilo wa muda wotePolisi wamejibu fasta hivi. 🤔