Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema Binti anayedaiwa kulawitiwa na kubakwa bado yupo hai, hajafa kama ambayo imeripotiwa katika baadhi ya mitandao ya kijamii.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Muliro Jumanne Muliro amesema tayari Jeshi hilo linamshikilia Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Amos Lwiza (54) mkazi wa Tegeta wilaya ya Kinondoni anayedaiwa kusambaza taarifa hiyo mitandaoni.
Katika hatua nyingine Kamanda Muliro amesema wanaendelea na uchunguzi kwa waliohusika na tukio hilo la ubakaji na ulawiti.
Soma Pia:
Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu'
TLS Yalaani Vikali Udhalilishaji na Ukatili wa Kijinsia wa Binti kutoka Yombo Dovya, Dar es Salaam
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Muliro Jumanne Muliro amesema tayari Jeshi hilo linamshikilia Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Amos Lwiza (54) mkazi wa Tegeta wilaya ya Kinondoni anayedaiwa kusambaza taarifa hiyo mitandaoni.
Katika hatua nyingine Kamanda Muliro amesema wanaendelea na uchunguzi kwa waliohusika na tukio hilo la ubakaji na ulawiti.
Soma Pia:
Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu'
TLS Yalaani Vikali Udhalilishaji na Ukatili wa Kijinsia wa Binti kutoka Yombo Dovya, Dar es Salaam