SawaUmechemka! Ukae kimya ili?
Hapa huwezi kumsikia yule Mpuuzi mwenye meno kama Ngiri akiongea, anakua ameufyata kama anakunyaCCM sasa wanaogopa hadi jogging [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si wanapendwa kwa 99% bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona yeye hajitokezi kwenye hayo Maandamano?27 September 2021
BAWACHA ndiyo vinara wetu katika kudai haki na wanawatia moyo waTanzania wote, Fatma Karume awapa hongera kwa BAWACHA kuwa mstari wa mbele kutetea haki
FATUMA KARUME AFUNGUKA MAZITO KUHUSU HALI YA DEMOKRASIA TANZANIA.
Source : Mgawe TV