Vikosi vya Wasiojulikana ndani ya majeshi ya usalama kama Polisi ni hatari sana.
Maana hawa wasiojulikana hawafuati mfumo rasmi wa mnyororo wa amri halali toka juu (command and control) hivyo wanaweza kufanya mambo bila hata uongozi rasmi wa juu ktk Polisi kuagiza.
Maana hawa wasiojulikana hawafuati mfumo rasmi wa mnyororo wa amri halali toka juu (command and control) hivyo wanaweza kufanya mambo bila hata uongozi rasmi wa juu ktk Polisi kuagiza.