Polisi: Kigwangalla hajampiga risasi mlinzi Jumanne

jeshi letu la polisi lina mapungufu mengi tu lakini si kila sehemu tulihukumu, juzi kati kuna kijana alikuwa nyumba ya kulala wageni anakula zake starehe lakini alidanganya kuwa ametekwa. nadhani itakuwa si busara kila wakati kuwahukumu bila kuwa na ushahidi wa kutosha.
 

Mbona Contradiction nyingi kwenye taarifa ya polisi? Hakuna Jeraha wala mvunjiko halafu hapo hapo amepewa PF3??

Omary J4 Said siyo mjinga ,HK kampiga risasi ya mguu!
 
yalisemwa na sasa yemetimia
 
Hiyo RUSHWA aliyopokea RPC wa Mwanza kutoka kwa Kigwangalla itamtokea puani. Nakuonya RPC Mutafungwa kuwa UTAFUNGWA, ba careful. Wenzio hupokea Rushwa kwa akili sana lakini ya kwako umepokea kizembe
Sasa naona akili imerudi RPC Mutafungwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…