Jambo hili liko mahakamani kwa nini Kova alizungumzie? Hawa watu wanajichanganya
Ulimboka najua unapita hapa...mimi jamaa yako...a commited friend toka Kadava mpaka kwenye "vijiwe"....najua tulipanga nini cha kuongea toka umerudi ili usiwaangushe Watanzania na Drs waliokupigania....Lakin kama umeamua kununulika...then u let us down!huu ni ushindi mkubwa kwa Serikali na Ikulu...Mwanahalisi na muongo na Rama Inghodi ulimsingzia...watu walìhitaji tamko lako ukiwa mzima wa afya njema
Naamini wapo wenye kujua kama nae alilazimishwa au nae alipelekwa msitu wa pande. Wajitokeze bac watujuze.me huwa najiuliza,,,,,,,,,cna jibu
Tatizo , watanzania ni kutaka kumsemea mtu. Mengi yalisemwa kuhusu kurudi kwa Ulimboka huku wengine wakisema ni mpiganaji na hawezi kuacha kusema kilichomsibu, sasa inakuaje leo wamalizane na Polisi? Huku kote kutapatapa 2, hakuna mtu yeyote anayejua waliohusika na kutekwa kwa Ulimboka zaidi ya majungu, fitina na maneno ya kuhisi na kusikia mitaani.Kova,zote hizo ni porojo. Ukweli mnaujua nyinyi na Ulimboka.