Mhhh niko happy sasa coz i real lyk this move especially main charactor KOVA so ndo epsode ya ngapi sijui nahofu inaweza ikasisimua zaidi ila sipendi Dr ahusiswe! Ikiwa tayari tuambiane jamani.... Ohhhh just wanna forget vip mkenya feki naye yupo tena?. So funny.
Mkuu ukuliona Geti Jekundu na ukuta mkubwa wa kisasa kwa baba wa Dr, mara baada ya kurudi S.Afrika??????????? mambo kwishaMaisha matamu, kweli ulimboka kanyamaza! haya mambo yanahitaji ushujaa of the highest degree. I can imagine the courage Mwakyembe has! I admire him, not ULIMBOKA. Anyway, "OBULOLA TIBUGALUKILWA"! Wahaya wanasema (uhai hauji mara mbili)
Nani ajitokeze? unajua mtu yeyote asiyetaka kushughulisha ubongo wake , lazima atabakia kupiga porojo 2, na ukitaka atoe facts utasikia mara hili, mara lile.Naamini wapo wenye kujua kama nae alilazimishwa au nae alipelekwa msitu wa pande. Wajitokeze bac watujuze.
Ningewashauri wasiongee coz whatever they say hatutawaamini... Wiki haipiti huku mitaani kwetu tunasikia watu wanavamiwa ka sio majumbani ni barabarani na polisi wapo hawafanyi chochote mnauza sura tu kwenye tv hamna chochote majambazi wezi vibaka matapeli waonevu wala rushwa ndio nyinyi
Mlipanga cha kuongea kwani wewe ndio uliyeteswa? au ulikuwa nae wakati anapata mateso?
Hamna cha kupanga hapo, mwache yeye mwenyewe akitaka aseme yaliyomkuta akitaka anyamaze.
Wewe endelea na maisha yako.
Hivi ni kweli bao KOVA anatuona sisi mabwege? Kweli jamani?
....Kova aliwataka Watanzania kuliamini Jeshi la Polisi na kusisitiza kuwa linafanya kazi yake kwa uadilifu na litahakikisha kuwa ukweli kuhusu tukio hilo lililovuta hisia za watu wengi, unafahamika...
Ulimboka najua unapita hapa...mimi jamaa yako...a commited friend toka Kadava mpaka kwenye "vijiwe"....najua tulipanga nini cha kuongea toka umerudi ili usiwaangushe Watanzania na Drs waliokupigania....Lakin kama umeamua kununulika...then u let us down!huu ni ushindi mkubwa kwa Serikali na Ikulu...Mwanahalisi na muongo na Rama Inghodi ulimsingzia...watu walìhitaji tamko lako ukiwa mzima wa afya njema
Maisha matamu, kweli ulimboka kanyamaza! haya mambo yanahitaji ushujaa of the highest degree. I can imagine the courage Mwakyembe has! I admire him, not ULIMBOKA. Anyway, "OBULOLA TIBUGALUKILWA"! Wahaya wanasema (uhai hauji mara mbili)
Wanakuja na episode nyingine!!!
Ulinzi shirikishi mkuu, usipotoa taarifa ya manyanyaso, vibaka na matatizo mengine yanayojiri mitaani mwenu, usitegemee polisi wajue , siyo manabii wale, wanahitaji ushirikiano toka kwa wananchi.
Unajustify kwa Ulimboka kukaa kimya ingawa unajaribu kuonyesha kuwa ungependa afanye kama Mwakyembe. Si kweli kwamba matatizo yote yanatatuliwa kwa approach inayofanana. Tumwache Ulimboka afanye anavyoona ni salama kwa maisha yake kuliko kufanya sisi tunavyotaka
Ulimboka najua unapita hapa...mimi jamaa yako...a commited friend toka Kadava mpaka kwenye "vijiwe"....najua tulipanga nini cha kuongea toka umerudi ili usiwaangushe Watanzania na Drs waliokupigania....Lakin kama umeamua kununulika...then u let us down!huu ni ushindi mkubwa kwa Serikali na Ikulu...Mwanahalisi na muongo na Rama Inghodi ulimsingzia...watu walìhitaji tamko lako ukiwa mzima wa afya njema