Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,501
Mi ndio kwanza nasikia kuwa kuna conference!
Police wanaitisha conf. ya nn? Sisi tunataka tusikie watuhumiwa wote wako ndani kama si mahakamani!
Hii ndio shida ya siasa kuingizwa kwenye majeshi.
ishafanyika?
Kova kala kona..
Ulimboka najua unapita hapa...mimi jamaa yako...a commited friend toka Kadava mpaka kwenye "vijiwe"....najua tulipanga nini cha kuongea toka umerudi ili usiwaangushe Watanzania na Drs waliokupigania....Lakin kama umeamua kununulika...then u let us down!huu ni ushindi mkubwa kwa Serikali na Ikulu...Mwanahalisi na muongo na Rama Inghodi ulimsingzia...watu walìhitaji tamko lako ukiwa mzima wa afya njema
Naamini wapo wenye kujua kama nae alilazimishwa au nae alipelekwa msitu wa pande. Wajitokeze bac watujuze.
Pesa ni lazima watajaribu kumpa,hilo halina ubishi kama unaielewa bongo vyema.Na kama amefanya hivyo,yani kuzipokea,tutajuwa tu.Tusi rush kwenye conclusion.Ulimboka keshapata fungu lake tayari tutabwabwaja wee yeye yuko kimya anakula bata tu,siku ulimboka akiwataja hadharani "nahama nchi" waliosoma upepo mapema jamaa baada ya kurudi wakanyamaza sababu walijua jamaa kesha kuwa kigeugeu baada ya kupozwa kwa kitu,Kova naye namshangaa kesi tushazoea kuambiwa iko mahakamani hatuwezi kuiongelea hii ya ulimboka yenyewe kumbe hainashinda hata kama inasikilizwa inaongelewa tu..
Pesa ni lazima watajaribu kumpa,hilo halina ubishi kama unaielewa bongo vyema.Na kama amefanya hivyo,yani kuzipokea,tutajuwa tu.Tusi rush kwenye conclusion.
Kama anapita hapa,comments zetu zinatakiwa zimu encourage ili tusije kuendelea kupeana lawama za unafiki.He doesn't have to feel like he's alone,kwahiyo tusifanye kosa la kumu alienate.Ni mtu amabaye pande zote zinamuhitaji kwenye mustakabali wa Taifa.Mafisadi wanamtaka and so as wanaharakati na wazalendo,kila mmoja kwa nia yake.Ni juu yake kuchagua upande sahihi wa historia ili isije muhukumu tofauti.Akumbuke hilo tu.