Polisi kuwapiga raia huu ujeuri wanautoa wapi? Naomba mwenye ushahidi wowote wa raia wa Tanzania kupambana na Polisi auweke hapa

Taaluma ya kuonea badala ya ulinzi WA mali na raia? Ngojea kidogo weka haya akiba polisi watapigwa na raia waliochoka
maskini siku 11 tu yametimia Hamza kafanya kha sina taaluma ya utabiri!!
 
Awamu ya 5 iliwaharibu kabisa,wakiua raia,kupiga wapinzani walipandishwa vyeo na kusifiwa hadharani.POLICE Tanzania hawana tena Credibility ya Ulinzi wa Raia na Mali zao.Wanadhalilisha Uhuru wa Wananchi na kujimilikisha kwa wanasiasa kwa kutokufuata professionality.
 
Awamu ya 5 iliwaharibu kabisa,wakiua raia,kupiga wapinzani walipandishwa vyeo na kusifiwa hadharani.POLICE Tanzania hawana tena Credibility ya Ulinzi wa Raia na Mali zao.Wanadhalilisha Uhuru wa Wananchi na kujimilikisha kwa wanasiasa kwa kutokufuata professionality.
 
Dikteta mkuu aliwaharibu sn hawa jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…