Kama wawajua kina Bashite wengine.....weka hadharani Mkuu..Mdogo wangu amepigwa na kutaka kuuawa na Mwl Salumu Kanyame lakini polisi hawajamkamata mtuhumiwa na siku kesi ilipotakiwa kwenda mahakamani anapigiwa simu mtuhumiwa anajibu ninakazi inapangwa Sikh nyingine.Major Rajabu Chipila ni mmakonde aliyenunua cheti cha Mwl Rajabu Chipila wa UDSM ambaye alimaliza Ndanda secondary miaka ya 1999 Mimi nikiwa ndanda sec form two namfahamu mwenye jina haliasi ambaye ni Mwl na si huyu polisi ambaye amefanya forgery.
Majungu hayo bwana wasilisha hoja na sio povu mkuuMdogo wangu amepigwa na kutaka kuuawa na Mwl Salumu Kanyame lakini polisi hawajamkamata mtuhumiwa na siku kesi ilipotakiwa kwenda mahakamani anapigiwa simu mtuhumiwa anajibu ninakazi inapangwa Sikh nyingine.Major Rajabu Chipila ni mmakonde aliyenunua cheti cha Mwl Rajabu Chipila wa UDSM ambaye alimaliza Ndanda secondary miaka ya 1999 Mimi nikiwa ndanda sec form two namfahamu mwenye jina haliasi ambaye ni Mwl na si huyu polisi ambaye amefanya forgery.
Major Rajab Chipila, kumbe jina sio lako....tena umefoji vyeti.....halafu ubabe mwiiingiii kumbe nawe ni Bashite....hopefully, wewe ni mmoja wa wale Bashite 9000.....
Naona hujui maana ya majungu nimekuambia nimesoma na Rajabu Chipila kwa sasa ni Mwl yupo UDSM na pia alisoma na Mwl Salumu Kanyame kwa sasa yupo Udom sasa majungu yako wapi?au kusema ukweli nchi hii yanakuwa majungu na ninatafuta mawasiliano ya necta niwahabarishe rasmi.Majungu hayo bwana wasilisha hoja na sio povu mkuu
Wanakuwa wanajihamiHivi kwa nini wafoji vyeti ni wakali sana
Kama kuna ukweliMbona hao wengi sana polisi.polisi wenye majina ya kwao ni hawa wamiaka ya karibuni waliochukuliwa moja kwa moja toka mashuleni na vyuoni!
Ngoja tumsubiri baba Jesca..Mbona hao wengi sana polisi.polisi wenye majina ya kwao ni hawa wamiaka ya karibuni waliochukuliwa moja kwa moja toka mashuleni na vyuoni!
Mdogo wangu amepigwa na kutaka kuuawa na Mwl Salumu Kanyame lakini polisi hawajamkamata mtuhumiwa na siku kesi ilipotakiwa kwenda mahakamani anapigiwa simu mtuhumiwa anajibu ninakazi inapangwa Sikh nyingine.Major Rajabu Chipila ni mmakonde aliyenunua cheti cha Mwl Rajabu Chipila wa UDSM ambaye alimaliza Ndanda secondary miaka ya 1999 Mimi nikiwa ndanda sec form two namfahamu mwenye jina haliasi ambaye ni Mwl na si huyu polisi ambaye amefanya forgery.