Tetesi: Polisi major Rajabu Chipila wa kituo kikuu polisi Dodoma adhulumu haki za kiraia

Dezoizo52

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2017
Posts
528
Reaction score
1,070
Mdogo wangu amepigwa na kutaka kuuawa na Mwl Salumu Kanyame lakini polisi hawajamkamata mtuhumiwa na siku kesi ilipotakiwa kwenda mahakamani anapigiwa simu mtuhumiwa anajibu ninakazi inapangwa Sikh nyingine.Major Rajabu Chipila ni mmakonde aliyenunua cheti cha Mwl Rajabu Chipila wa UDSM ambaye alimaliza Ndanda secondary miaka ya 1999 Mimi nikiwa ndanda sec form two namfahamu mwenye jina haliasi ambaye ni Mwl na si huyu polisi ambaye amefanya forgery.
 
Kama wawajua kina Bashite wengine.....weka hadharani Mkuu..
 
Majungu hayo bwana wasilisha hoja na sio povu mkuu
 
Major Rajab Chipila, kumbe jina sio lako....tena umefoji vyeti.....halafu ubabe mwiiingiii kumbe nawe ni Bashite....hopefully, wewe ni mmoja wa wale Bashite 9000.....

Mbona hao wengi sana polisi.polisi wenye majina ya kwao ni hawa wamiaka ya karibuni waliochukuliwa moja kwa moja toka mashuleni na vyuoni!
 
Mbona hao wengi sana polisi.polisi wenye majina ya kwao ni hawa wamiaka ya karibuni waliochukuliwa moja kwa moja toka mashuleni na vyuoni!
Nilienda polisi nikategemea kuonana na schoolmate kumbe kanjanja akaja nikashangaa sanaa
 
Majungu hayo bwana wasilisha hoja na sio povu mkuu
Naona hujui maana ya majungu nimekuambia nimesoma na Rajabu Chipila kwa sasa ni Mwl yupo UDSM na pia alisoma na Mwl Salumu Kanyame kwa sasa yupo Udom sasa majungu yako wapi?au kusema ukweli nchi hii yanakuwa majungu na ninatafuta mawasiliano ya necta niwahabarishe rasmi.
 

Kabla sijaanza kutiririka Mkuu hivi kumbe hata huko katika Jeshi la Police kuna Vyeo vya Major? Headline yako imenipa sana ukakasi uliotukuka. Nielimishe tafadhali.
 
Ngoja namimi ni comment ili uzi huu uendelee kuwa juu mpaka mhusika aone.
 
Nadhani ni bora ukadeal na kesi ya msingi afu ikiisha ndio uanze hiyo ya vyeti feki. Hapo utaeleweka. Ukienda hivyo unaonekana una nia tu ya kukomoana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…