Kafka Bruno
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 301
- 328
Polisi kile cheo cha station sergeant huwa wanaita Sergeant Major so wanafupisha kwa kuita majorPolisi kuna cheo kinachoitwa major?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polisi kile cheo cha station sergeant huwa wanaita Sergeant Major so wanafupisha kwa kuita majorPolisi kuna cheo kinachoitwa major?
Waseme sergeant major sio major.Polisi kile cheo cha station sergeant huwa wanaita Sergeant Major so wanafupisha kwa kuita major
Jwtz wanaita ssgt polisi wanaita major.Kabla sijaanza kutiririka Mkuu hivi kumbe hata huko katika Jeshi la Police kuna Vyeo vya Major? Headline yako imenipa sana ukakasi uliotukuka. Nielimishe tafadhali.
Huko polisi ni kichaka chao ispokuwa hivi sasa sio issue saaana kwa sababu tunae mmoja mpaka ikulu wanajua na wamekula kabinyau!
Ndiyo ana vii tatu na mwenge/ngao. Sasa wee major kimenuka, ila serikali imesema haitakagua taasisi za majeshi ndo ponapona yake.Polisi kuna cheo kinachoitwa major?
Acha majungu basi na wewe fanya kazi,umekwenda kulalamika kwa OSS au kwa OCD au wakuu wa huyo major wako humu jf?, umezidiwa kete kwa mwanamke unakuja kupiga kelele huku, kwa taarifa "ukitaka kupelekwa mahakama hua unapigiwa simu?, usiporeport unakamatwa na dhamana yako kufungwa mpaka siku unapelekwa mahakamani"Mdogo wangu amepigwa na kutaka kuuawa na Mwl Salumu Kanyame lakini polisi hawajamkamata mtuhumiwa na siku kesi ilipotakiwa kwenda mahakamani anapigiwa simu mtuhumiwa anajibu ninakazi inapangwa Sikh nyingine.Major Rajabu Chipila ni mmakonde aliyenunua cheti cha Mwl Rajabu Chipila wa UDSM ambaye alimaliza Ndanda secondary miaka ya 1999 Mimi nikiwa ndanda sec form two namfahamu mwenye jina haliasi ambaye ni Mwl na si huyu polisi ambaye amefanya forgery.
Mwambie aliyemuuzia cheti anadhurumu haki za RAIA akishirikiana na mtuhumiwa Mwl Salumu Kanyame wa UDOM kitivo cha education ambaye ni classmate wake pale Ndanda secondary.Yaani nimestuka mwenzenu hapa huyo Dr kanifundisha UDSM na ninamawasilano nae jamani......duh...
Mimi huwa sitishwi nachokiandika ninauhakika nacho na kamwe hatoki tena hatoki na kuhusu kufuatilia leo nimefuatilia na Niko kwa hatua nzuri.Acha majungu basi na wewe fanya kazi,umekwenda kulalamika kwa OSS au kwa OCD au wakuu wa huyo major wako humu jf?, umezidiwa kete kwa mwanamke unakuja kupiga kelele huku, kwa taarifa "ukitaka kupelekwa mahakama hua unapigiwa simu?, usiporeport unakamatwa na dhamana yako kufungwa mpaka siku unapelekwa mahakamani"
major ana v tatu na mwenye anaitwa majorKabla sijaanza kutiririka Mkuu hivi kumbe hata huko katika Jeshi la Police kuna Vyeo vya Major? Headline yako imenipa sana ukakasi uliotukuka. Nielimishe tafadhali.
Polisi kuna cheo kinachoitwa major?
ndio sergent major na major ana v tatuPolisi kuna cheo kinachoitwa major?
Mkuu unapenda sana utani HONGERA SANAMAJOR RAJABU CHIPILA BASHITE.
Rajab chipila ni classmate wangu udsm na kweli yko anafundisha udsm,kiswahili.Ni mtu wa Mtama mmakonde na alisoma Ndanda.Huyo polis alinunua cheti aseeMdogo wangu amepigwa na kutaka kuuawa na Mwl Salumu Kanyame lakini polisi hawajamkamata mtuhumiwa na siku kesi ilipotakiwa kwenda mahakamani anapigiwa simu mtuhumiwa anajibu ninakazi inapangwa Sikh nyingine.Major Rajabu Chipila ni mmakonde aliyenunua cheti cha Mwl Rajabu Chipila wa UDSM ambaye alimaliza Ndanda secondary miaka ya 1999 Mimi nikiwa ndanda sec form two namfahamu mwenye jina haliasi ambaye ni Mwl na si huyu polisi ambaye amefanya forgery.
Jwtz wanaita ssgt polisi wanaita major.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]labda wao ndo wanajua ugumu wa maishaHivi kwa nini wafoji vyeti ni wakali sana