Tetesi: Polisi major Rajabu Chipila wa kituo kikuu polisi Dodoma adhulumu haki za kiraia

Tetesi: Polisi major Rajabu Chipila wa kituo kikuu polisi Dodoma adhulumu haki za kiraia

Yaani nimestuka mwenzenu hapa huyo Dr kanifundisha UDSM na ninamawasilano nae jamani......duh...
 
Mbona kama umepaniki sana mkuu
Hebu tulia uandike taratibu, una hoja mbili mdogo wako kupigwa na vyeti vya mtu kutumiwa na mtu mwingine.
 
tafuta hiyo haki ya mdogo wako....kwa kufuata taratibu sahihi...
ya kaisari muachie kaisari jombaaa.......
imenishsangaza kwanini mpaka leo hawajakutana kwenye index number ya cheti kwenye uhakiki wa daftari la mishahara na wote ni watumishi wa umma....
 
Mdogo wangu amepigwa na kutaka kuuawa na Mwl Salumu Kanyame lakini polisi hawajamkamata mtuhumiwa na siku kesi ilipotakiwa kwenda mahakamani anapigiwa simu mtuhumiwa anajibu ninakazi inapangwa Sikh nyingine.Major Rajabu Chipila ni mmakonde aliyenunua cheti cha Mwl Rajabu Chipila wa UDSM ambaye alimaliza Ndanda secondary miaka ya 1999 Mimi nikiwa ndanda sec form two namfahamu mwenye jina haliasi ambaye ni Mwl na si huyu polisi ambaye amefanya forgery.
Acha majungu basi na wewe fanya kazi,umekwenda kulalamika kwa OSS au kwa OCD au wakuu wa huyo major wako humu jf?, umezidiwa kete kwa mwanamke unakuja kupiga kelele huku, kwa taarifa "ukitaka kupelekwa mahakama hua unapigiwa simu?, usiporeport unakamatwa na dhamana yako kufungwa mpaka siku unapelekwa mahakamani"
 
Yaani nimestuka mwenzenu hapa huyo Dr kanifundisha UDSM na ninamawasilano nae jamani......duh...
Mwambie aliyemuuzia cheti anadhurumu haki za RAIA akishirikiana na mtuhumiwa Mwl Salumu Kanyame wa UDOM kitivo cha education ambaye ni classmate wake pale Ndanda secondary.
 
Acha majungu basi na wewe fanya kazi,umekwenda kulalamika kwa OSS au kwa OCD au wakuu wa huyo major wako humu jf?, umezidiwa kete kwa mwanamke unakuja kupiga kelele huku, kwa taarifa "ukitaka kupelekwa mahakama hua unapigiwa simu?, usiporeport unakamatwa na dhamana yako kufungwa mpaka siku unapelekwa mahakamani"
Mimi huwa sitishwi nachokiandika ninauhakika nacho na kamwe hatoki tena hatoki na kuhusu kufuatilia leo nimefuatilia na Niko kwa hatua nzuri.
 
Mdogo wangu amepigwa na kutaka kuuawa na Mwl Salumu Kanyame lakini polisi hawajamkamata mtuhumiwa na siku kesi ilipotakiwa kwenda mahakamani anapigiwa simu mtuhumiwa anajibu ninakazi inapangwa Sikh nyingine.Major Rajabu Chipila ni mmakonde aliyenunua cheti cha Mwl Rajabu Chipila wa UDSM ambaye alimaliza Ndanda secondary miaka ya 1999 Mimi nikiwa ndanda sec form two namfahamu mwenye jina haliasi ambaye ni Mwl na si huyu polisi ambaye amefanya forgery.
Rajab chipila ni classmate wangu udsm na kweli yko anafundisha udsm,kiswahili.Ni mtu wa Mtama mmakonde na alisoma Ndanda.Huyo polis alinunua cheti asee
 
Nimemfowardia class mate wetu mwingine huu uzi maana yeye ana mawasiliano naye mtuma salaam wa dw wa siku nyingi ,Adam Rajab Chipila
 
Back
Top Bottom