True kwa ushahidi wa videoMara nyingi polis wetu ni chanzo cha uvunjifu wa amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True kwa ushahidi wa videoMara nyingi polis wetu ni chanzo cha uvunjifu wa amani
Viongozi wa Chadema waliporudi kituoni kuripoti hilo tukio, Bw. Temu amewaambia kwamba ni kweli mabomu amepiga yeye na ametumwa na IGP Sirro na CCM na hakuna atakalofanywa. Na tayari ameshawafungulia wanachadema Kesi. Baada ya hiyo kauli, Bw. Temu amekimbia kutoka kituoni kwenda kusikojuliana.[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji23][emoji23][emoji23] huyu amepata cerebral malariaPolisi wa kituo kidocho cha Mbarali Mr. Antipas Temu akiwa na Gari aina ya Nissan T809 AVW amevamia msafara wa mgombea Ubunge wa Chadema na kuanza kulipua mabomu. Kabla ya kuanza kurusha mabomu, Bw. Temu alijificha kichakani, naa Baada ya kitendo hicho, na kuona wananchi wananchi wanaanza kuchukua mawe kujilinda, Bw. Temu aliingia kwenye gari akakimbia kurudi kituoni.
Viongozi wa Chadema waliporudi kituoni kuripoti hilo tukio, Bw. Temu amewaambia kwamba ni kweli mabomu amepiga yeye na ametumwa na IGP Sirro na CCM na hakuna atakalofanywa. Na tayari ameshawafungulia wanachadema Kesi. Baada ya hiyo kauli, Bw. Temu amekimbia kutoka kituoni kwenda kusikojuliana.
Hadi naandika hii post polisi wote kituoni wamekataa kuchukua maelezo ya viongozi wa Chadema .Watu kadhaa wameumia akiwemo mama mmoja aliyevunjika mguu. Watu walikuwa ninwengi sana na kama siyo busara za mgombea Ubunge, raia ilikuwa wachukue sheria mkononi kujilinda
View attachment 1602528
View attachment 1602527
AChadema acheni kuvunja sheria
Hebu sasa tuacheni kukaa na kulalamika maana sasa haisaidi hebu tufanye kitu. Leo tunachukulia kwamba haya hayatuhusu kama huko nyuma wafanya biashara wengi walikimbili CCM naokuwachukia sana wapinzani ila kwa miaka hii mitano nazani hawataki kusikia tena ila pia watu wakasema vizuri maana walikuwa wanakwepa kodi, wanafunzi nao wanaosoma vyuo wameongezewa tozo wamekaa kimya sasa hii nchi hakuna uhuru kabisa wala haki yani ni unanyangau unafanyika tu.Polisi wa kituo kidocho cha Mbarali Mr. Antipas Temu akiwa na Gari aina ya Nissan T809 AVW amevamia msafara wa mgombea Ubunge wa Chadema na kuanza kulipua mabomu. Kabla ya kuanza kurusha mabomu, Bw. Temu alijificha kichakani, naa Baada ya kitendo hicho, na kuona wananchi wananchi wanaanza kuchukua mawe kujilinda, Bw. Temu aliingia kwenye gari akakimbia kurudi kituoni.
Viongozi wa Chadema waliporudi kituoni kuripoti hilo tukio, Bw. Temu amewaambia kwamba ni kweli mabomu amepiga yeye na ametumwa na IGP Sirro na CCM na hakuna atakalofanywa. Na tayari ameshawafungulia wanachadema Kesi. Baada ya hiyo kauli, Bw. Temu amekimbia kutoka kituoni kwenda kusikojuliana.
Hadi naandika hii post polisi wote kituoni wamekataa kuchukua maelezo ya viongozi wa Chadema .Watu kadhaa wameumia akiwemo mama mmoja aliyevunjika mguu. Watu walikuwa ninwengi sana na kama siyo busara za mgombea Ubunge, raia ilikuwa wachukue sheria mkononi kujilinda
View attachment 1602528
View attachment 1602527
Polisi wa hii nchi watakuaje na weledi wakati maisha yao tu wanayoishi wana changamoto kibao.Wanachosahau nikwamba watu sio kwamba wanawaogopa bali wanawaheshimu sasa wanaporomosha heshima yao wenyewe kijinga.Kila siku malalamiko ni dhidi yao tena kwa mambo ya ovyo ovyo yasiyolisaidia taifa.Unaumiza watz wenzako kwasababu ya siasa zilizokuja tu natutaondoka tutaziacha.Tumewaonya Sana polisi kaeni mbali na ccm mtachafuka hamsikii mnazidiwa na hata Police wa Malawi kwa weledi? Hii tabia ya polisi kuzoeza raia kuizoea polisi sababu ya kukiuka haki ni mbaya sana kwa taifa uleta chuki. Siku zote polisi ndio wamekuwa chanzo cha kusababisha vurugu. Itafika mahali raia watazoea mabomu sijui mtategemea nn
Mi nilishasema ccm ni washamba!!CCM ni wafanya fujo
Wako desperate
Hapana!! Kuna maaskali ni waelewa!! kama yule akiyekuwa anawatuliza viongozi wa chadema pale kituoni!! nazani wachomolewe wasifaa tu!! wengine waendelee!!Sawa kabisa
Endelea kuweka video zingine ili tuwe na ushahidi wa kutosha!!Polisi wa kituo kidocho cha Mbarali Mr. Antipas Temu akiwa na Gari aina ya Nissan T809 AVW amevamia msafara wa mgombea Ubunge wa Chadema na kuanza kulipua mabomu. Kabla ya kuanza kurusha mabomu, Bw. Temu alijificha kichakani, naa Baada ya kitendo hicho, na kuona wananchi wananchi wanaanza kuchukua mawe kujilinda, Bw. Temu aliingia kwenye gari akakimbia kurudi kituoni.
Viongozi wa Chadema waliporudi kituoni kuripoti hilo tukio, Bw. Temu amewaambia kwamba ni kweli mabomu amepiga yeye na ametumwa na IGP Sirro na CCM na hakuna atakalofanywa. Na tayari ameshawafungulia wanachadema Kesi. Baada ya hiyo kauli, Bw. Temu amekimbia kutoka kituoni kwenda kusikojuliana.
Hadi naandika hii post polisi wote kituoni wamekataa kuchukua maelezo ya viongozi wa Chadema .Watu kadhaa wameumia akiwemo mama mmoja aliyevunjika mguu. Watu walikuwa ninwengi sana na kama siyo busara za mgombea Ubunge, raia ilikuwa wachukue sheria mkononi kujilinda
View attachment 1602528
View attachment 1602527
And then? I think the point is clearly laid acrossEndelea kuweka video zingine ili tuwe na ushahidi wa kutosha!!
Ni aibu sana Mkuu , Kitu nilichogundua Police na CCM ndo wanaongoza kwa fujoSwala la aibu kwa Polisi kujificha kichakani na kuanza kuvamia msafara wa mgombea ubunge
Mnawazuia raia wa nini? Waacheni wachukue hatua! Hicho kituo kinafanya nini hapo? Waacheni raia wakitie moto,, pumbavu kabisa mapolisi ya Tanzania hayajielewi!Polisi wa kituo kidocho cha Mbarali Mr. Antipas Temu akiwa na Gari aina ya Nissan T809 AVW amevamia msafara wa mgombea Ubunge wa Chadema na kuanza kulipua mabomu. Kabla ya kuanza kurusha mabomu, Bw. Temu alijificha kichakani, naa Baada ya kitendo hicho, na kuona wananchi wananchi wanaanza kuchukua mawe kujilinda, Bw. Temu aliingia kwenye gari akakimbia kurudi kituoni.
Viongozi wa Chadema waliporudi kituoni kuripoti hilo tukio, Bw. Temu amewaambia kwamba ni kweli mabomu amepiga yeye na ametumwa na IGP Sirro na CCM na hakuna atakalofanywa. Na tayari ameshawafungulia wanachadema Kesi. Baada ya hiyo kauli, Bw. Temu amekimbia kutoka kituoni kwenda kusikojuliana.
Hadi naandika hii post polisi wote kituoni wamekataa kuchukua maelezo ya viongozi wa Chadema .Watu kadhaa wameumia akiwemo mama mmoja aliyevunjika mguu. Watu walikuwa ninwengi sana na kama siyo busara za mgombea Ubunge, raia ilikuwa wachukue sheria mkononi kujilinda
View attachment 1602528
View attachment 1602527