Polisi mkamateni Bony Mwaitege kwa kujizushia kifo ili atrend

Polisi mkamateni Bony Mwaitege kwa kujizushia kifo ili atrend

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Huyu bwana kipaji cha kuimba hana ila anapambana sana,nimuite ni mpambanaji ila sio msanii mwenye takent.

Kuna story vijiweni kuwa anajizushia vifo nara jadhaa ili atrend kazi zake zitrend.

Kutokana na upeo wake mdogo hajui kama kujizushia kifo ni kosa kisheria maana anazusha taharuki kwa jamii,.

Polisi kamateni huyu mtu haraka
 
Huyu bwana kipaji cha kuimba hana ila anapambana sana,nimuite ni mpambanaji ila sio msanii mwenye takent.

Kuna story vijiweni kuwa anajizushia vifo nara jadhaa ili atrend kazi zake zitrend.

Kutokana na upeo wake mdogo hajui kama kujizushia kifo ni kosa kisheria maana anazusha taharuki kwa jamii,.

Polisi kamateni huyu mtu haraka
Mbinu za kibiashara😂😂
 
Huyu bwana kipaji cha kuimba hana ila anapambana sana,nimuite ni mpambanaji ila sio msanii mwenye takent.

Kuna story vijiweni kuwa anajizushia vifo nara jadhaa ili atrend kazi zake zitrend.

Kutokana na upeo wake mdogo hajui kama kujizushia kifo ni kosa kisheria maana anazusha taharuki kwa jamii,.

Polisi kamateni huyu mtu haraka

Na wewe utakuwa shahidi namba moja...
 
Huyu bwana kipaji cha kuimba hana ila anapambana sana,nimuite ni mpambanaji ila sio msanii mwenye takent.

Kuna story vijiweni kuwa anajizushia vifo nara jadhaa ili atrend kazi zake zitrend.

Kutokana na upeo wake mdogo hajui kama kujizushia kifo ni kosa kisheria maana anazusha taharuki kwa jamii,.

Polisi kamateni huyu mtu haraka
Sawa, ila wewe nawe unatuletea stori za vijiweni, sasa itabidi polisi wazunguruke vijiwe vyote nchini ili wapate ushahidi usio na shaka wa kuweza kumkamata! Imbombo inunu fyigyo mnyambala.
 
Back
Top Bottom