mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Huyu bwana kipaji cha kuimba hana ila anapambana sana,nimuite ni mpambanaji ila sio msanii mwenye takent.
Kuna story vijiweni kuwa anajizushia vifo nara jadhaa ili atrend kazi zake zitrend.
Kutokana na upeo wake mdogo hajui kama kujizushia kifo ni kosa kisheria maana anazusha taharuki kwa jamii,.
Polisi kamateni huyu mtu haraka
Kuna story vijiweni kuwa anajizushia vifo nara jadhaa ili atrend kazi zake zitrend.
Kutokana na upeo wake mdogo hajui kama kujizushia kifo ni kosa kisheria maana anazusha taharuki kwa jamii,.
Polisi kamateni huyu mtu haraka