GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nashukuru Mungu sijawahi hata Kumkubali wala tu kupoteza muda kusikiliza Nyimbo zake hivyo afe awe hai kazi Kwake.Huyu bwana kipaji cha kuimba hana ila anapambana sana,nimuite ni mpambanaji ila sio msanii mwenye takent.
Kuna story vijiweni kuwa anajizushia vifo nara jadhaa ili atrend kazi zake zitrend.
Kutokana na upeo wake mdogo hajui kama kujizushia kifo ni kosa kisheria maana anazusha taharuki kwa jamii,.
Polisi kamateni huyu mtu haraka