Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtazamo wako ila Bony Mwaitege ana albamu zilizopokelewa na kufanya vizuri sokoniHajui ndio
Na yale madera yakeMuacheni bwana mwaitege sema nini nimeongea naye asubuhi amekubali kuja kuperform kwenye Kijiji chetu ,Sasa nasubiri nione anavyoruka bila step kwenye jukwaa tumeshalitegeshea kwaajili yake ,haiwezekani kila mwaka ananipa kazi ya kuwaaminisha wanakijiji hajafa ni mzima
Unajua hili jambo sio mara ya kwanzana polisi wamepuuzia maana sio VIP ingekuwa ni kiongozi wa chama au serikalu au msanii mkubwa ,polisi na TCRA wangeshamkamataKwa sasa yeye ni muhanga, anaepaswa kukamatwa ni msambazaji wa kwanza wa taarifa hiyo yeye ndo mtuhumiwa akithibitisha kuwa hizo taarifa alizitoa kwa huyo muhanga hapo sasa wote wanastahili kuunganishwa kwenye hilo kosa
Angalau unamjua wakati yeye hakujui kabisa chuki zako dhidi yake hazimpunguzii chochoteNashukuru Mungu sijawahi hata Kumkubali wala tu kupoteza muda kusikiliza Nyimbo zake hivyo afe awe hai kazi Kwake.
Acha ujinga basi mkuu [emoji1][emoji1]Umeyatimba mkuu huwajui wanyakyusa watu wanaotawaliwa na wake zao
Eti To yeye ni kweliHuwa anaimba kama anazungumza, ila watu wa Mbeya huwaelezi kitu kumuhusu!
Kabisa. Yaani nikisikia wimbo wake chap natoa.Hajui