Polisi mkamateni Bony Mwaitege kwa kujizushia kifo ili atrend

Nashukuru Mungu sijawahi hata Kumkubali wala tu kupoteza muda kusikiliza Nyimbo zake hivyo afe awe hai kazi Kwake.
 
Una ushahidi ?
 
Nilishangaa sana. Eti watu wamemzushia kifo. Watu wanakuzushiaje kifo?. Hapo tu ndipo nilipochoka.
 
Na yale manguo nguo yake polisi wakienda kumkamata waende na viwembe wapunguze hatatoshea kwenye difenda yule na maparachuti yake yale
 
Hadi kuwepo na ushahidi kuwa source ya taarifa ilianzia kwake, kumpeleka mtu mahakamani bila ushahidi siyo kazi rahisi kama hivyo
 
Hadi kuwepo na ushahidi kuwa source ya taarifa ilianzia kwake, kumpeleka mtu mahakamani bila ushahidi siyo kazi rahisi kama hivyo
polisi,wakimkamata kama main suspect na wakafanya uchunguzi kukusanya ushahodi ndio wampeleke mahakamani
 
polisi,wakimkamata kama main suspect na wakafanya uchunguzi kukusanya ushahodi ndio wampeleke mahakamani
Aina ya kosa haimlazimishi polisi kumkamata kabla ya kupata ushahidi, ni kosa ambalo ushahidi unatakiwa upatikane kwanza alafu ndo akamatwe
 
Aina ya kosa haimlazimishi polisi kumkamata kabla ya kupata ushahidi, ni kosa ambalo ushahidi unatakiwa upatikane kwanza alafu ndo akamatwe
Taharuki ni kosa kisheria ,sio lazima apigwe pingu,aitwe atoe maelezo fail la uchunguzi lifunguliwa
 
Taharuki ni kosa kisheria ,sio lazima apigwe pingu,aitwe atoe maelezo fail la uchunguzi lifunguliwa
Kwa sasa yeye ni muhanga, anaepaswa kukamatwa ni msambazaji wa kwanza wa taarifa hiyo yeye ndo mtuhumiwa akithibitisha kuwa hizo taarifa alizitoa kwa huyo muhanga hapo sasa wote wanastahili kuunganishwa kwenye hilo kosa
 
Wanyakyusa ushamba umezidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…