GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nashukuru Mungu sijawahi hata Kumkubali wala tu kupoteza muda kusikiliza Nyimbo zake hivyo afe awe hai kazi Kwake.Huyu bwana kipaji cha kuimba hana ila anapambana sana,nimuite ni mpambanaji ila sio msanii mwenye takent.
Kuna story vijiweni kuwa anajizushia vifo nara jadhaa ili atrend kazi zake zitrend.
Kutokana na upeo wake mdogo hajui kama kujizushia kifo ni kosa kisheria maana anazusha taharuki kwa jamii,.
Polisi kamateni huyu mtu haraka
ni classmate wako anakufa kwa week mara 10 watu wamechoka kusema gone too soonWho's Mwaitege before I comment anything....🤔
Una ushahidi ?Huyu bwana kipaji cha kuimba hana ila anapambana sana,nimuite ni mpambanaji ila sio msanii mwenye takent.
Kuna story vijiweni kuwa anajizushia vifo nara jadhaa ili atrend kazi zake zitrend.
Kutokana na upeo wake mdogo hajui kama kujizushia kifo ni kosa kisheria maana anazusha taharuki kwa jamii,.
Polisi kamateni huyu mtu haraka
he is Mwa with mategesWho's Mwaitege before I comment anything....🤔
polisi,wakimkamata kama main suspect na wakafanya uchunguzi kukusanya ushahodi ndio wampeleke mahakamaniHadi kuwepo na ushahidi kuwa source ya taarifa ilianzia kwake, kumpeleka mtu mahakamani bila ushahidi siyo kazi rahisi kama hivyo
Hajui ndioBony Mwaitege hajui kuimba mkuu kuwa serious?
mrembo mamboo😉😉😉Who's Mwaitege before I comment anything....🤔
Aina ya kosa haimlazimishi polisi kumkamata kabla ya kupata ushahidi, ni kosa ambalo ushahidi unatakiwa upatikane kwanza alafu ndo akamatwepolisi,wakimkamata kama main suspect na wakafanya uchunguzi kukusanya ushahodi ndio wampeleke mahakamani
Taharuki ni kosa kisheria ,sio lazima apigwe pingu,aitwe atoe maelezo fail la uchunguzi lifunguliwaAina ya kosa haimlazimishi polisi kumkamata kabla ya kupata ushahidi, ni kosa ambalo ushahidi unatakiwa upatikane kwanza alafu ndo akamatwe
Tangia uzaliwe ndo mara ya kwanza kusikia mtu amezushiwa kifo?Nilishangaa sana. Eti watu wamemzushia kifo. Watu wanakuzushiaje kifo?. Hapo tu ndipo nilipochoka.
Kwa sasa yeye ni muhanga, anaepaswa kukamatwa ni msambazaji wa kwanza wa taarifa hiyo yeye ndo mtuhumiwa akithibitisha kuwa hizo taarifa alizitoa kwa huyo muhanga hapo sasa wote wanastahili kuunganishwa kwenye hilo kosaTaharuki ni kosa kisheria ,sio lazima apigwe pingu,aitwe atoe maelezo fail la uchunguzi lifunguliwa
Wanyakyusa ushamba umezidiHuyu bwana kipaji cha kuimba hana ila anapambana sana,nimuite ni mpambanaji ila sio msanii mwenye takent.
Kuna story vijiweni kuwa anajizushia vifo nara jadhaa ili atrend kazi zake zitrend.
Kutokana na upeo wake mdogo hajui kama kujizushia kifo ni kosa kisheria maana anazusha taharuki kwa jamii,.
Polisi kamateni huyu mtu haraka