Polisi mkoani Dodoma wapiga marufuku wanawake kupanda boda boda kwa kujibinua

Polisi mkoani Dodoma wapiga marufuku wanawake kupanda boda boda kwa kujibinua

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Mamlaka za polisi mkoani Dodoma zimepiga marufuku baadhi ya wanawake kupanda boda boda kwa mtindo wa kujibinua.

Screenshot_20220507-204038.jpg
Screenshot_20220507-204048.jpg
 
Wawache bhana waonyeshe chura
 
Lakini mwandishi, nadhani ungesema mjini au jijini Dodoma kuliko kusema mkoani Dodoma. Mkoa Ni kitu kikubwa na kinajumuisha wilaya zote
 
Back
Top Bottom