Jay Fwemfwe
Member
- Apr 6, 2022
- 27
- 14
Wengine tushawabinua tyl ,watawadaba bure tu masikini,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polisi bwana,wanapangia Mungu namna alivyowaumba kuwa na makalio.Kwani nikosa kisheria.
Kama ni baadhi tu ya wanawake haina shidaMamlaka za polisi mkoani Dodoma zimepiga marufuku baadhi ya wanawake kupanda boda boda kwa mtindo wa kujibinua.View attachment 2215786View attachment 2215787
So mtu akijibinua wado?Mamlaka za polisi mkoani Dodoma zimepiga marufuku baadhi ya wanawake kupanda boda boda kwa mtindo wa kujibinua.View attachment 2215786View attachment 2215787
Dodoma,hakuna panya Road.Hawa mapoti nao wana wivu tu, wakapambane na panya road huko mitaani..!
Polisi form four failures! Hii inawahusu Nini. By kuninuka, Did they breach any legal traffic law?Kwani imewaathili nini hao police huko idodomya?
kwa ukaaji huo labda mume wake.Kama bodaboda jamaa nguvu ya kudai pesa hawezi kwa nayo..Lakini hi marufuku sidhani ipo ktk PGO ya polisi nadhani kufanikiwa ni ngumu.Mamlaka za polisi mkoani Dodoma zimepiga marufuku baadhi ya wanawake kupanda boda boda kwa mtindo wa kujibinua.View attachment 2215786View attachment 2215787
Yaani hawa jamaa sijui wanawazaga nini?Polisi form four failures! Hii inawahusu Nini. By kuninuka, Did they breach any legal traffic law?