Polisi mlichowafanyia hao wanajeshi kwa ushahidi wao mmewakomoa ila mnatia hasira

Polisi mlichowafanyia hao wanajeshi kwa ushahidi wao mmewakomoa ila mnatia hasira

...
Haya,shahidi anasema Goodluck alimwambia tutakutupa kama Moses Lijenje ukijifanya jeuri, huku polisi mmekana kumpata Moses Lijenje. Iko siku Goodluck atasema mlimtupa wapi.
...
... ukisikia jambo limezua jambo ndio kama hivi! In short Lijenje seems to be no more! Kwa heshima na taadhima Kingai na timu yake waeleze tu walikomtupa ili angalau mabaki yaweze kuzikwa kwa heshima za kijamii, kidini, na kifamilia.

Wanasheria humu mtusaidie, kwa ushahidi huu wa kimazingira, ni hatua gani zinaweza kuchukuliwa kuhusu taarifa zaidi za Lijenje? Bado ni polisi hao hao? Standing ya mahakama itakuwa nini njuu ya tuhuma hizi?

Itoshe tu kusema, bila chombo huru cha kudhibiti matendo ya polisi, haki za raia zinakanyagwa sana bila mtetezi! Uonevu wa polisi hakuna mahali huru pa kuulalamikia.
 
Kwa katiba ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hakuna aliyejua ya sheria na kila mtu ni innocent kabla ya hukumu, Wallah Wabillah Taallah kwa ushahidi walioutoa mmefanya ukatili wa hali ya juu sana kupita kiasi...
Daah polisi wakatili sana
 
Yaani Mungu ameamua kuonyesha maovu ya serikali ya Ccm kupitia hii kesi..
Haikuja kwa bahati mbaya yote ni mipango ya Mungu ili siku atakapo amua kuilipiza hii laana kwa wana Ccm na maovu yao wasije sema laana ime toka wapi...
Hatuna Polisi Tanzania ila genge la wahuni na majambazi Kwenyne uniform
 
Tutajua mengi rasmi kupitia ushahidi mahakamani, taifa lilikuwa limaingia mfumo rasmi wa kinazi wa Hitler
 
Huyu ndio Linjenje anae
IMG_1406.jpg

tajwa kupotezwa na kina afande Gudluck kwa mjibu wa Mshtakiwa
 
View attachment 1956136
Itabidi aje awasaidie. Hadi Luteni Urio naye anapigwa na kuminywa kende na vibaka wa Siro wasiojua hata maana ya PGO!!!? Jeshi limedhalilishwa sana!
Watz tunatakiwa kuungana na jw kulinda heshima ya jeshi letu la wananchi dhidi ya jeshi dharimu la ccm linalojiita polisi
 
Haya,shahidi anasema Goodluck alimwambia tutakutupa kama Moses Lijenje ukijifanya jeuri, huku polisi mmekana kumpata Moses Lijenje. Iko siku Goodluck atasema mlimtupa wapi.
Yaani hawa Polisi ni zero kabisa, Mnadai Moses hamkumpata sasa, Yepi yatampata Goodluck kama ambavyo yamempata Moses ambaye hamkumpata? Mission za ovyo kabisa, zinadharirisha taifa kwa kuajiri watu wasio na weredi kama Kina Mahita na Kingai!!!
 
Kwa katiba ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hakuna aliyejua ya sheria na kila mtu ni innocent kabla ya hukumu, Wallah Wabillah Taallah kwa ushahidi walioutoa mmefanya ukatili wa hali ya juu sana kupita kiasi, maana mpaka sasa kwenye ushindi wa pande zote mbili hakuna hisia za ugaidi hapa zaidi ya uonevu tu. Hakuna si upande wa utetezi wala upande wa mashtaka kwa ushahidi uliotolewa mtu unaweza kusema hawa ni magaidi hata kama hukumu ya mahakama bado.

Mmeamsha hisia za watu, hawa walikua ni makomandoo hamjui wameacha jamaa zao wangapi kule kazini, wanafamilia na wana wazazi wao walivuja majasho kuwalea. Basi mfanye hayo yote kwa kosa linalodhihirika, hapa tunasikia kua walikamatwa tuu walikua wakila njama za kulipia vituo vya mafuta kwa ujira wa laki 6. Tunajua ushahidi wa Mbowe utahitimisha kila kitu, mmeitonesha jamii, mmeumiza watu mno.

Kingai na Mahita kama maafisa wa polisi wanatajwa sana kuongoza hili zoezi, hivi wao si binadamu? Kweli mti ambaye tu hana historia ya tukio baya kwenye jamii tena wengine tunaambiwa ni wachamungu mnawakatili kiasi hicho?

Hiki kiburi cha utesaji kwa ukatili huu kinatoka wapi? Shida ni Mbowe tuu au kitu gani kuumiza watoto wa watu kiasi hiki?

Haya,shahidi anasema Goodluck alimwambia tutakutupa kama Moses Lijenje ukijifanya jeuri, huku polisi mmekana kumpata Moses Lijenje. Iko siku Goodluck atasema mlimtupa wapi.

Mungu atie ukuu wake katika hili, wenye roho za Wanyama na wageuke kua wanyama kama Nguruwe.
Acha kuweka tafsiri zako potofu hapa

Kuanzia mwanzo mashahidi wa serikali walisema mpaka wanaondoka Moshi hawakumkamata Moses Linjenje.

Maelezo ya utetezi kila oanayehojiwa anadai hakuwahi kuonana na Moses Linjenje wala kumwona akikamatwa na polisi

Kutegemea taarifa ya upande mmoja wa utetezi kwamba walitishiwa kwamba wasingekiri wangefanya kama alivyofanyiwa Moses Linjenje haithibitishi Moses Linjenje alikamatwa na nani na walimfanya nini, lini, wapi kwa jinsi gani na kwanini?
 
Back
Top Bottom