Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Habari wakuu,
Inasikitisha na kutia hasira kuona tumefikia huku na tunasema kila siku jeshi letu ni kiboko. Kweli Panya Road ndiyo wameshindikana kiasi hiki mpaka kufikia mtu anapoteza uhai na nyie mpo?!
Ama huu ni mchongo wa mtu unaoibuliwa kila akitaka kupata maslahi yake anayoyajua mwenyewe?! Polisi na Wizara husika mnatuangusha, na mpaka sasa hakuna aliyewajibika kwa tukio la jana, aaaah Tanzania yangu!
"Ingekua ni watu fulani wangeshatulizwa dakika 0", alisikika mlevi akirudi kwake asubuhi.
Inasikitisha na kutia hasira kuona tumefikia huku na tunasema kila siku jeshi letu ni kiboko. Kweli Panya Road ndiyo wameshindikana kiasi hiki mpaka kufikia mtu anapoteza uhai na nyie mpo?!
Ama huu ni mchongo wa mtu unaoibuliwa kila akitaka kupata maslahi yake anayoyajua mwenyewe?! Polisi na Wizara husika mnatuangusha, na mpaka sasa hakuna aliyewajibika kwa tukio la jana, aaaah Tanzania yangu!
"Ingekua ni watu fulani wangeshatulizwa dakika 0", alisikika mlevi akirudi kwake asubuhi.