404 Pages
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,703
- 2,963
Hivi mkuu ngoja nikuulize swali la darasa la pili 30 na 100 ipi kubwa?Mkuu unasikitisha sana kuandika mambo ya kufikirika. Katika mazingira kama hayo ya ambush tena vibaka 30 waliopinda kwelikweli, mnajiorganise vipi na kila mtu yuko ndani kwake. Ukitoka mmoja mmoja ni halali yao, wengi kwao jela ni nyumbani. Acha utani na waambie Polisi wawajibike. Mpaka uwapigie simu hao panya road bado wanawasubiri tu. Usichukulie mambo kiuepesi hivyo