Polisi mnataka kutuaminisha Panya Road wamewazidi kete?

Polisi mnataka kutuaminisha Panya Road wamewazidi kete?

Chanzo ni nyinyi wananchi wenyewe WAOGA WAOGA ndio maana mnaonewa na vitoto vidogo bila kuchukua hatua yoyote, hamna ushirikiano mnasubiri tukio litokee mpate story za kuandika mtandaoni.. ulinzi wa raia na mali zao unaanza na wewe.. yaan wewe usikie kelele za mwizi mwizi alafu ukae tu hauchukui hatua yoyote kisha baada ya tukio uanze kulaumu polisi hawafanyi kazi za kulinda raia na mali zao huo ni uzwazwa
Mambo hayatakiwi kua hivyo.Hao watu sio mwizi mmoja mmoja ni kikundi cha watu kuanzia 20 kuendelea na wamebeba silaha za asili kwahiyo wananchi wa kawaida hawawezi kupambana nao kirahisi kama unavyofikiria.kwasababu itawalazimu nawao wawe kikundi na wao wachukue silaha za asili.sasa unadhani kitakachotokea ni nini.ili wananchi waweze kushiriki lazima jeshi la polisi lihusike.jeshi la polisi ndilo lenye uwezo wakuunda vikundi vya ulinzi shirikishi vinavyotambulika rasmi kwenye mazibgira kama hayo tofauti na hapo unataka kutokee majanga yasiyo na ulazima.
 
Naona uzembe wa watu wa dar umezidi Sasa wale wananchi wenye hasira kali walikufa vitani
Wananchi wenye hasira kali ni dhidi ya kibaka mmoja ila kikishakua ni kikundi cha watu hapo panahitajika mipango madhubuti ya kijeshi kuanzia inteljensia hadi ushirikishwaji.ndo maana jeshi la polisi haliwezi kukwepa hizi lawama.
 
jeshi la polisi ndilo lenye uwezo wakuunda vikundi vya ulinzi shirikishi
Hivi vikundi vya ulinzi shirikishi viiiiipo mkuu vipo sema nilichosemea mimi ni hio ambush inapotokea watu wanajifingia ndani inabidi waunganike na wao wajibu mashambulizi hata polisi wanasema hivyo wananchi mmekua waoga kupitiliza shida ndio hio uoga umekua too much watu wanaogopa saaaana
 
Kila mtaa kuwe na mlinzi mwenye risasi sasa tuwe kama somalia tu,hawa walinzi kupewa virungu tu haisaidii,mana tunakoelekea sio,wakijitokeza tu ya mguu hawarudi tena!
 
Habari wakuu,

Inasikitisha na kutia hasira kuona tumefikia huku na tunasema kila siku jeshi letu ni kiboko. Kweli Panya Road ndiyo wameshindikana kiasi hiki mpaka kufikia mtu anapoteza uhai na nyie mpo?!

Ama huu ni mchongo wa mtu unaoibuliwa kila akitaka kupata maslahi yake anayoyajua mwenyewe?! Polisi na Wizara husika mnatuangusha, na mpaka sasa hakuna aliyewajibika kwa tukio la jana, aaaah Tanzania yangu!

"Ingekua ni watu fulani wangeshatulizwa dakika 0", alisikika mlevi akirudi kwake asubuhi.
Na magaidi yatarudi Rufiji na mapango ya Amboni,kama panya road wamechemka magaidi yakirudi itakuaje?
 
Habari wakuu,

Inasikitisha na kutia hasira kuona tumefikia huku na tunasema kila siku jeshi letu ni kiboko. Kweli Panya Road ndiyo wameshindikana kiasi hiki mpaka kufikia mtu anapoteza uhai na nyie mpo?!

Ama huu ni mchongo wa mtu unaoibuliwa kila akitaka kupata maslahi yake anayoyajua mwenyewe?! Polisi na Wizara husika mnatuangusha, na mpaka sasa hakuna aliyewajibika kwa tukio la jana, aaaah Tanzania yangu!

"Ingekua ni watu fulani wangeshatulizwa dakika 0", alisikika mlevi akirudi kwake asubuhi.
kamanda SIRO rudi bhana!!!!!............
 
Panya road ni majirani zenu ni watu mnaoishi nao mitaani intelijensia inaanzia kwenu nyi nyi mkikaa kimya Polisi kazi yao itakuwa ngumu kataeni wahalifu from the roots kamata wakateni koo muone kama kutakuwa na hao panya road
Subutu wana ubavu huo
Sisi mikoani hawawezi kabisa kuleta ujinga huo kwani tutawatuma watoto wadogo na manati tu
Waache uoga wapambane na vitoto hivyo
 
Shida ni hao wahusika wa hilo eneo waulizwe vizuri tatizo limeanzia wapi, huo unaitwa msako wa nyani sio panyaroad kuna shida pahala alafu kabla hauja-conclude jambo jaribu kuchukua hatua ya kufanya uchunguzi wa kina ujiulize nini shida chanzo ni nini?

Kwanini washambuliwe wao na sio vinginevyo?

Pia kingine mlinzi namba 1 ni wewe, ndio maana kukiwa na tukio lolote lenye kuhatarisha maisha ya raia unaripoti kituoni kulinda usalama, je wewe umechukua hatua gan kabla ya kuwalaumu polisi?
walifikaj pale kama hawajapewa taarifa pia kituo kipo jiran tu na tukio yaan nyuma ya kitu , ttzo vituo vya polis kuanzia saa 5 usk polis wamelala , yaan badala walale mchana unakuta mchana anazurura hkf uski anakuja kulala kituoni
 
Chanzo ni nyinyi wananchi wenyewe WAOGA WAOGA ndio maana mnaonewa na vitoto vidogo bila kuchukua hatua yoyote, hamna ushirikiano mnasubiri tukio litokee mpate story za kuandika mtandaoni.. ulinzi wa raia na mali zao unaanza na wewe.. yaan wewe usikie kelele za mwizi mwizi alafu ukae tu hauchukui hatua yoyote kisha baada ya tukio uanze kulaumu polisi hawafanyi kazi za kulinda raia na mali zao huo ni uzwazwa
hujakutana na panya road mkuu , wale ni kama wapo well trained , umeona walivyofanya tukio within limitted time interval na kisha kutokomea pasipojulikana , media zinaiandika hii habari pasipo kuiba uzito wake , Ilikuwa kama mission fulani hv
 
Wahusika wakuu Wa PANYA ROAD ni polisi wenyewe
nlisikia mpangaj akisema eti , panya road waliambiana muda umeisha muda umeisha then walipoondoka , dk 20 mbele ndo wanakuja polisi , its like a plan eti kutuzuga
 
Hivi vikundi vya ulinzi shirikishi viiiiipo mkuu vipo sema nilichosemea mimi ni hio ambush inapotokea watu wanajifingia ndani inabidi waunganike na wao wajibu mashambulizi hata polisi wanasema hivyo wananchi mmekua waoga kupitiliza shida ndio hio uoga umekua too much watu wanaogopa saaaana
wenzio wapo kwenye pattern tyr ila hujui ukitoka unakutana na nan nje
 
hujakutana na panya road mkuu , wale ni kama wapo well trained , umeona walivyofanya tukio within limitted time interval na kisha kutokomea pasipojulikana , media zinaiandika hii habari pasipo kuiba uzito wake , Ilikuwa kama mission fulani hv
Acha uoga..
 
Mimi nilikuwa nimekaa sebuleni nanyonya askrimu ya ukwaju nilivyoskia tu panya road wapo jirani nikajificha nyuma ya mke wangu na watoto wangu

Wanaume wa dar tunapitia magumu sana serikali itulinde jamani
 
Chanzo ni nyinyi wananchi wenyewe WAOGA WAOGA ndio maana mnaonewa na vitoto vidogo bila kuchukua hatua yoyote, hamna ushirikiano mnasubiri tukio litokee mpate story za kuandika mtandaoni.. ulinzi wa raia na mali zao unaanza na wewe.. yaan wewe usikie kelele za mwizi mwizi alafu ukae tu hauchukui hatua yoyote kisha baada ya tukio uanze kulaumu polisi hawafanyi kazi za kulinda raia na mali zao huo ni uzwazwa
Inawezekana wewe ndio ukawa zwazwa
 
Mkuu unasikitisha sana kuandika mambo ya kufikirika. Katika mazingira kama hayo ya ambush tena vibaka 30 waliopinda kwelikweli, mnajiorganise vipi na kila mtu yuko ndani kwake. Ukitoka mmoja mmoja ni halali yao, wengi kwao jela ni nyumbani. Acha utani na waambie Polisi wawajibike. Mpaka uwapigie simu hao panya road bado wanawasubiri tu. Usichukulie mambo kiuepesi hivyo

Hivi vikundi vya ulinzi shirikishi viiiiipo mkuu vipo sema nilichosemea mimi ni hio ambush inapotokea watu wanajifingia ndani inabidi waunganike na wao wajibu mashambulizi hata polisi wanasema hivyo wananchi mmekua waoga kupitiliza shida ndio hio uoga umekua too much watu wanaogopa s
 
Asante mkuu umetumia vigezo gan kuthibitisha hilo wewe Muoga Muoga
Mkuu unaandika mambo mengi ya kufikirika, kiuhalisia hao watoto ni hatari sana na ni kikundi kama mbwa mwitu. Lakini pia wewe ndiye umetumia neno zwazwa dhidi yetu, ndo maana nikakujibu nilivyokujibu. Tumia Lugha ya staha ili mjadala uwe na tija, tushapoteza mtanzania mwenzetu.
 
Back
Top Bottom