Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi hawako tayari ila hawana jinsi.. Utaona leo watakavyo behave ni tofauti kabisa na siku za nyumaMnakubali kuiingiza Tanganyika kwenye maafa wakati Zanzibar iko shari?
Tafakari mnachokifanya ni kwa manufaa ya ani? Tanganyika au Zanzibar?
Kiburu cha Samia, she is becoming aggressive supreme of power!Mkuu mi bado majiuliza ugumu wa kuwarejesha soka na wenzie uko wapi?
mpaka watu waandamane au
ugumu wa serekali kukomesha mauaji na utekaji uko wapi mpaka mama yenu amechota bill 2 hazina ili kuwapa polisi wazuie maandamano
Nafikiri Ile mikataba 36 aliyouza nchi uarabuni ikiwemo bandari na misitu inampagawisha sio bureKiburu cha Samia, she is becoming aggressive supreme of power!
Hili ni swali muhimu.Tafakari mnachokifanya ni kwa manufaa ya ani?
Basi kuna kijiwe cha gahwa wanasema Mkapa aliua wapemba wengi sana....Sasa hiki ni kisasi....na bado...Kuba babake.Mnakubali kuiingiza Tanganyika kwenye maafa wakati Zanzibar iko shwari?
Tafakari mnachokifanya ni kwa manufaa ya ani? Tanganyika au Zanzibar?
Sema kweli?ugumu wa serekali kukomesha mauaji na utekaji uko wapi mpaka mama yenu amechota bill 2 hazina ili kuwapa polisi wazuie maandamano
Kiburi cha udikiteita wa samia!Mkuu mi bado majiuliza ugumu wa kuwarejesha soka na wenzie uko wapi?
mpaka watu waandamane au
ugumu wa serekali kukomesha mauaji na utekaji uko wapi mpaka mama yenu amechota bill 2 hazina ili kuwapa polisi wazuie maandamano
Wewe ni Mzanzibari, kumbe Samia ana hila hiyo? au ni mawazo ya kijiwe chako!Basi kuna kijiwe cha gahwa wanasema Mkapa aliua wapemba wengi sana....Sasa hiki ni kisasi....na bado...Kuba babake.
Wewe ni Mzanzibari, kumbe Samia ana hila hiyo? au ni mawazo ya kijiwe chako!
Mbona hatari sanaMkuu mi bado majiuliza ugumu wa kuwarejesha soka na wenzie uko wapi?
mpaka watu waandamane au
ugumu wa serekali kukomesha mauaji na utekaji uko wapi mpaka mama yenu amechota bill 2 hazina ili kuwapa polisi wazuie maandamano
Polisi Tanzania mlaaniwe na vizazi vyenu.Mnakubali kuiingiza Tanganyika kwenye maafa wakati Zanzibar iko shwari?
Tafakari mnachokifanya ni kwa manufaa ya ani? Tanganyika au Zanzibar?
kivipi? kwa kuzuia maandamano ya waroho wa chama cha chagadema?Mnakubali kuiingiza Tanganyika kwenye maafa wakati Zanzibar iko shwari?
Tafakari mnachokifanya ni kwa manufaa ya ani? Tanganyika au Zanzibar?