Polisi Morogoro mjini fanyeni kazi kwa weledi na uzalendo, si uonevu

Polisi Morogoro mjini fanyeni kazi kwa weledi na uzalendo, si uonevu

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Habari wakuu,hii inchi ikienda ivi raia watashindwa kutoa ushirikiano Kwa majeshi yetu,yaan Hasa Hawa askari wetu wanao tembea rod na kukakamata vyombo vya usafiri,

Kuna askari jina kapuni uyu amekatama chombo cha moto kikiwa kimepaki na kimekamilika kila kitu na kutoa sababu kibao dk ya mwisho ni kukichukua chombo na kukipeleka kituoni, hii Haina hoja nzuri Kwa utendaji kazi.

Hii ni kazi na hizi ni sare wakuu Kuna maisha baada ya Kaz mana kumbuka askar maisha yapo uraini baada ya majukumu ya kazi,tubadilike sana Kuna mengi yanayo endelea mitaaan ila raia wanashindwa kutoa ushirikiano sababu ya mabavu kama haya🙏🏽🙏🏽
 
Nadhani ujumbe umewafikia mkuu Kuna maisha baada ya kazi ya upolisi wafanye kazi Kwa ueledi watende haki isiwe kama yule polisi wa tanga familia inaomba msaada Kwa watu baada nyumba kuwa inaibukiwa na moto mara Kwa mara wakihisi matendo ya dhulma aliyofanya baba yao,kifupi waache dhulma wanaweza wakafurahia Leo kesho kipato Cha dhulma mwisho ikawa laana ya familia Kwa watoto kukosa usikivu au kuwa wa hivyo kwenye maisha ya kawaida
 
Hao ndio mabingwa wa uonevu. lakini mwisho wao hauwagi mzuri katika maisha yao ya siku za hapo mbeleni.
 
Nadhani ujumbe umewafikia mkuu Kuna maisha baada ya kazi ya upolisi wafanye kazi Kwa ueledi watende haki isiwe kama yule polisi wa tanga familia inaomba msaada Kwa watu baada nyumba kuwa inaibukiwa na moto mara Kwa mara wakihisi matendo ya dhulma aliyofanya baba yao,kifupi waache dhulma wanaweza wakafurahia Leo kesho kipato Cha dhulma mwisho ikawa laana ya familia Kwa watoto kukosa usikivu au kuwa wa hivyo kwenye maisha ya kawaida
Swadaktaaa
 
Hao ndio mabingwa wa uonevu. lakini mwisho wao hauwagi mzuri katika maisha yao ya siku za hapo mbeleni.
N kwel na wanasahau kwamba Ili Kaz yao ikamilike wanatakiwa wawe kalibu mno na raia Ili wapate habali mbali mbali za kiuhalifu Ili waweze kuuzibit kabla haujatokea ila Aya mabavu wanayo watumia Kwa kutumia sare zao Wana haribu uhusiano mzuri baina yao na raia wao
 
Back
Top Bottom