Wewe jidanganye tu!
dogo anafanya mavitu ya ukweli kwa ajili ya kuiletea matokeo mazuri timu yake ya wananchi.
sasa anakosaje goli amebaki yeye na lango?
Hivyo ni vitu vya kawaida tu kwenye mchezo wa mpira wa miguu ambavyo vitu kama hivyo huwa vinatokea, unamkumbuka yule mchezaji wa Nigeria Yakubu ambae alikosa goli wakati mpira upo kwenye mstari wa goli!!!
Anatoka Six mwasekaga na anaingia said bahanuzi kwa upande wa polisi moro.
Polisisimba mbona mmeyeyuka ghafla? au nanyi mko kwenye kuapishana kwa Mawaziri na manaibu?