Panga Makalikuwili
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 292
- 433
Nazani wataongeza video mpya za kininja.. Watu waelimike tueshimianeTena anashupaza shingo kabisa eti kajifunzia kwenye mtandao Loh , Jeshi hili aibu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nazani wataongeza video mpya za kininja.. Watu waelimike tueshimianeTena anashupaza shingo kabisa eti kajifunzia kwenye mtandao Loh , Jeshi hili aibu sana
hatari mno !Hakika katika kitu kitakachowakwaza waislam ni hili la polisi kumuita Marehemu kua Gaidi mfia dini, hili litaibua mjadala mkubwa sana wa kitaifa, minong'ono imeshaanza chini chini mitaani kila ukipita.Polisi ninyi hii ni chuki dhidi ya imani za watu au nini? Nini hii mnaifanya sasa?
Nashindwa kuelewa, ni kwa vile viongozi wa juu wa polisi ni wakristo au kitu gani? Mnashindwa kuelewa kua dini ya kiislam ina mamilioni ya wafuasi humu nchini? Kwanini mnalikuza jambo hili kiasi hiki?
Kamuulize zeroMfano wale taliban unafikiri wanafia dini gani wale?
Marangapi uislamu unaguswa na Bakwata wapo?kwanini mkuu?
Usiwe mbumbumbu,Nimesoma maelezo ya DCI kwenye taarifa iliyoandikwa kwenye ukurasa wa Mwananchi news kua Marehemu Hamza alikua "Gaidi mfia dini" , hivi ni kweli kabisa ofisi ya DCI imeshindwa kupima kabisa uzito wa kauli hii? Kwa maana hiyo wafia dini wote ni magaidi?
Hamza alikua muumini wa dini ya kiislam kwa taarifa za majirani na familia yake, DCI awaambie umma wa waislam "Gaidi mfia dini" ni nani? Awaeleze watanzania ni dini gani inayotuma watu kua magaidi? Ugaidi wa Hamza wameuhusisha vipi na dini yake?
Hii chuki ambayo mnataka kuiingiza kwenye imani za watu ni uchokozi mtu na siyo sawa.Mnapaswa kuwaomba radhi waumini wa dini ya kiislam ambao kimsingi siyo wao waliomtuma Hamza kufanya aliyoyafanya.
Hakika katika kitu kitakachowakwaza waislam ni hili la polisi kumuita Marehemu kua Gaidi mfia dini, hili litaibua mjadala mkubwa sana wa kitaifa, minong'ono imeshaanza chini chini mitaani kila ukipita.Polisi ninyi hii ni chuki dhidi ya imani za watu au nini? Nini hii mnaifanya sasa?
Nashindwa kuelewa, ni kwa vile viongozi wa juu wa polisi ni wakristo au kitu gani? Mnashindwa kuelewa kua dini ya kiislam ina mamilioni ya wafuasi humu nchini? Kwanini mnalikuza jambo hili kiasi hiki?
Waondoe neno gaidi waache mfia dini itapendeza.Sasa kama ni mfia dini ulitaka wamuiteje labda mkuu.
Polisi Wajumbe Radhi wenye DiniNimesoma maelezo ya DCI kwenye taarifa iliyoandikwa kwenye ukurasa wa Mwananchi news kua Marehemu Hamza alikua "Gaidi mfia dini" , hivi ni kweli kabisa ofisi ya DCI imeshindwa kupima kabisa uzito wa kauli hii? Kwa maana hiyo wafia dini wote ni magaidi?
Hamza alikua muumini wa dini ya kiislam kwa taarifa za majirani na familia yake, DCI awaambie umma wa waislam "Gaidi mfia dini" ni nani? Awaeleze watanzania ni dini gani inayotuma watu kua magaidi? Ugaidi wa Hamza wameuhusisha vipi na dini yake?
Hii chuki ambayo mnataka kuiingiza kwenye imani za watu ni uchokozi mtu na siyo sawa.Mnapaswa kuwaomba radhi waumini wa dini ya kiislam ambao kimsingi siyo wao waliomtuma Hamza kufanya aliyoyafanya.
Unamfundisha mwenzako unafiki? Yaani unataka anyamazie uovu wa polisi wetu?Wewe kuliletea suala hili Uzi ni kulikuza kipumbavu ,ungepiga kimya tu
Kwani wafia dini hao Ni wa dini gani? Huu mjadala hauna afya kitaifa.DCI angekaa kimya tu maana anaweza kuwaalika wafia dini kutoka huko waliko
Kwahiyo unathibitisha kwamba mbowe Ni kwa kuwa hajaridhika na matendo ya serikali?Gaidi sio dini hata mtu ambae hajaridhika na matendo ya serikali na kuuwa watu pia ni Gaidi
Rejea Oklahoma [emoji378] huko USA
Umekosea Mungu hanaga diniBora angesema ni mccm mfia chama.
Kuliko kuhusianisha dini ya mwenyezi Mungu na ugaidi.
Kwa hili nasimama na uislamu
Hao utasubiri mpaka siku ya kiama, BAKWATA ni jumuia ya CCM.Ni matumaini yangu kusikia kauli kutoka BAKWATA
Yani awe alitapeliwa madini yake, alibakwa Na polisi,mama yake alibakwa Na polisi...kitendo cha yeye kutembea maeneo ya ubalozini na silaha Na kuua watu kinamfanya Kuwa gaidi.. regardless ya motive behindYote ni njia ya kujisafisha dhidi ya tetesi kuwa walikamata madini yake.
Walianza kwa kuwalaumu wazazi wake, sasa wamehamia kwenye dini yake. Yote ni kutaka watu waamini kwamba Hamza alikuwa gaidi.