Polisi msilete ubaguzi na uchonganishi, "Gaidi mfia dini" ndio nani?

Polisi msilete ubaguzi na uchonganishi, "Gaidi mfia dini" ndio nani?

Hakika katika kitu kitakachowakwaza waislam ni hili la polisi kumuita Marehemu kua Gaidi mfia dini, hili litaibua mjadala mkubwa sana wa kitaifa, minong'ono imeshaanza chini chini mitaani kila ukipita.Polisi ninyi hii ni chuki dhidi ya imani za watu au nini? Nini hii mnaifanya sasa?

Nashindwa kuelewa, ni kwa vile viongozi wa juu wa polisi ni wakristo au kitu gani? Mnashindwa kuelewa kua dini ya kiislam ina mamilioni ya wafuasi humu nchini? Kwanini mnalikuza jambo hili kiasi hiki?
hatari mno !
 
Tunaliomba Jeshi la Polisi pia lifuatilie nyenendo za viongozi wa Chadema na baadhi ya wafuasi wake ambao kimsingi walifurahia sana kitendo cha Gaidi Hamza kuwauwa Askari wetu.
hii inathibitisha kuwa viongozi wa Chadema na baadhi ya wafuasi wao wana kila dalili za kujihusisha na vitendo vya Kigaidi ndio maana walifurahia vitendo vilivyo fanywa na Hamza.
ni muhimu sana wafuatiliwe popote pale walipo ktk kila kona ya nchi hii.
tusowafuge wala kuwalea.
nasisitiza tena Jeshi la Polisi kamwe lisivumilie vitendo vya viongozi wa chadema na baadhi ya wafuasi.
 
Nimesoma maelezo ya DCI kwenye taarifa iliyoandikwa kwenye ukurasa wa Mwananchi news kua Marehemu Hamza alikua "Gaidi mfia dini" , hivi ni kweli kabisa ofisi ya DCI imeshindwa kupima kabisa uzito wa kauli hii? Kwa maana hiyo wafia dini wote ni magaidi?

Hamza alikua muumini wa dini ya kiislam kwa taarifa za majirani na familia yake, DCI awaambie umma wa waislam "Gaidi mfia dini" ni nani? Awaeleze watanzania ni dini gani inayotuma watu kua magaidi? Ugaidi wa Hamza wameuhusisha vipi na dini yake?

Hii chuki ambayo mnataka kuiingiza kwenye imani za watu ni uchokozi mtu na siyo sawa.Mnapaswa kuwaomba radhi waumini wa dini ya kiislam ambao kimsingi siyo wao waliomtuma Hamza kufanya aliyoyafanya.
Usiwe mbumbumbu,
Hata kripu aliyorekodiwa HAMZA alikuwa akitamka maneno gani?
 
Hakika katika kitu kitakachowakwaza waislam ni hili la polisi kumuita Marehemu kua Gaidi mfia dini, hili litaibua mjadala mkubwa sana wa kitaifa, minong'ono imeshaanza chini chini mitaani kila ukipita.Polisi ninyi hii ni chuki dhidi ya imani za watu au nini? Nini hii mnaifanya sasa?

Nashindwa kuelewa, ni kwa vile viongozi wa juu wa polisi ni wakristo au kitu gani? Mnashindwa kuelewa kua dini ya kiislam ina mamilioni ya wafuasi humu nchini? Kwanini mnalikuza jambo hili kiasi hiki?

waisilam kwa kudeka deka umeshasahau kama Raisi na Pm wote waisilamu, wameachiwa mashekhe wa uamsho kwa kesi ya ugaidi akafungwa mbowe na viongozi wengine wa dini ambao ni wa kristo, vipi na sisi tukianza kuhoji hoji kama nyie, waisilamu acheni kudeka deka mnakela sana
 
Nimesoma maelezo ya DCI kwenye taarifa iliyoandikwa kwenye ukurasa wa Mwananchi news kua Marehemu Hamza alikua "Gaidi mfia dini" , hivi ni kweli kabisa ofisi ya DCI imeshindwa kupima kabisa uzito wa kauli hii? Kwa maana hiyo wafia dini wote ni magaidi?

Hamza alikua muumini wa dini ya kiislam kwa taarifa za majirani na familia yake, DCI awaambie umma wa waislam "Gaidi mfia dini" ni nani? Awaeleze watanzania ni dini gani inayotuma watu kua magaidi? Ugaidi wa Hamza wameuhusisha vipi na dini yake?

Hii chuki ambayo mnataka kuiingiza kwenye imani za watu ni uchokozi mtu na siyo sawa.Mnapaswa kuwaomba radhi waumini wa dini ya kiislam ambao kimsingi siyo wao waliomtuma Hamza kufanya aliyoyafanya.
Polisi Wajumbe Radhi wenye Dini

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Wewe kuliletea suala hili Uzi ni kulikuza kipumbavu ,ungepiga kimya tu
Unamfundisha mwenzako unafiki? Yaani unataka anyamazie uovu wa polisi wetu?

Lakini cha ajabu hata wewe umeshindwa "kupiga kimya" badala yake umeamua ku - comment hoja yake na hivyo kuendelea kulikuza jambo...!!
 
😁😁😁
AUYZ3t.jpg
 
Yote ni njia ya kujisafisha dhidi ya tetesi kuwa walikamata madini yake.

Walianza kwa kuwalaumu wazazi wake, sasa wamehamia kwenye dini yake. Yote ni kutaka watu waamini kwamba Hamza alikuwa gaidi.
Yani awe alitapeliwa madini yake, alibakwa Na polisi,mama yake alibakwa Na polisi...kitendo cha yeye kutembea maeneo ya ubalozini na silaha Na kuua watu kinamfanya Kuwa gaidi.. regardless ya motive behind
 
Back
Top Bottom