Moto utakaomuunguza ni wa kukubali kua brainwashed na kukataa facts out of chuki na kutaka kuchafua other people's beliefs inorder to show that people from other religions are wicked,very funnyWaguse uone moto mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moto utakaomuunguza ni wa kukubali kua brainwashed na kukataa facts out of chuki na kutaka kuchafua other people's beliefs inorder to show that people from other religions are wicked,very funnyWaguse uone moto mkuu
Hatari sn japo sijaelewaMoto utakaomuunguza ni wa kukubali kua brainwashed na kukataa facts out of chuki na kutaka kuchafua other people's beliefs inorder to show that people from other religions are wicked,very funny
Mtapata taabu sana maana imani ndo aidha iku heal or destroy you,there is no in-betweenNgoja Shelhk Ponda Issa aje afafanue
Njoo ule biryani Leo na fresh juice,umemalizaaaa
vipi madini yake mmeyakuta kwa nani??Yote ni njia ya kujisafisha dhidi ya tetesi kuwa walikamata madini yake.
Walianza kwa kuwalaumu wazazi wake, sasa wamehamia kwenye dini yake. Yote ni kutaka watu waamini kwamba Hamza alikuwa gaidi ili waweze kufuta Tuhuma dhidi yao za kupora madini yake.
Kwani waliposema ni gaidi wana records zake ngapi to prove it zaidi ya tukio Lile alilofanya? Mbona hakuua watu wote tu aka deal na polisi tu? stop double standards,deal na facts.vipi madini yake mmeyakuta kwa nani??
tume huru kutoka kijiwe cha kahawa.
Nimesoma maelezo ya DCI kwenye taarifa iliyoandikwa kwenye ukurasa wa Mwananchi news kua Marehemu Hamza alikua "Gaidi mfia dini" , hivi ni kweli kabisa ofisi ya DCI imeshindwa kupima kabisa uzito wa kauli hii? Kwa maana hiyo wafia dini wote ni magaidi?
Hamza alikua muumini wa dini ya kiislam kwa taarifa za majirani na familia yake, DCI awaambie umma wa waislam "Gaidi mfia dini" ni nani? Awaeleze watanzania ni dini gani inayotuma watu kua magaidi? Ugaidi wa Hamza wameuhusisha vipi na dini yake?
Hii chuki ambayo mnataka kuiingiza kwenye imani za watu ni uchokozi mtu na siyo sawa.Mnapaswa kuwaomba radhi waumini wa dini ya kiislam ambao kimsingi siyo wao waliomtuma Hamza kufanya aliyoyafanya.
ndio maana tunawaambia baada ya kushiba mihogo kachumbali,kafanyeni kazi.K
Kwani waliposema ni gaidi wana records zake ngapi to prove it zaidi ya tukio Lile alilofanya? Mbona hakuua watu wote tu aka deal na polisi tu? stop double standards,deal na facts.
Wamechanganyikiwa, wanahitaji maombi maalumu ili MUNGU awaponye.Viongozi wetu wana kauli za ajabu sana
Sidhani,wale wanavyopenda kujipendekeza kwa mashetani wa CCMNi matumaini yangu kusikia kauli kutoka BAKWATA
Wewe una upeo mdogo sana wa kufikiri,hivi kweli hili jambo ni la kunyamazia kweli??.Ukute wewe ndo mmoja wapo wa Askari waliompora dhahabu Hamza.Wewe kuliletea suala hili Uzi ni kulikuza kipumbavu ,ungepiga kimya tu
dhahabu sio mkoba wa simu.Wewe una upeo mdogo sana wa kufikiri,hivi kweli hili jambo ni la kunyamazia kweli??.Ukute wewe ndo mmoja wapo wa Askari waliompora dhahabu Hamza.
Dhahabu ndiyo.dhahabu sio mkoba wa simu.
Acheni ujinga iacheni polisi ifanye kazi yake! Mlishawahi kujiuliza yanayotokea msumbiji au mnabweka tu pasipo kutumia akili! Kwenye hili hatutaki mtumie hisia tumieni akili!Kila wakati mtu au kiongozi anapofungua kinywa chake siku hizi ni uozo tu
Halafu wanakuja baadae kuomba radhi
Kila anaeamini Mungu atafia kwa anachokiamini
Yaani Mfia dini imekuwa kosa la jinai?
Yeye atafia kwa dini gani ya police labda
Sawa mzee NdugaiMtapata taabu sana maana imani ndo aidha iku heal or destroy you,there is no in-between
Acheni ujinga iacheni polisi ifanye kazi yake! Mlishawahi kujiuliza yanayotokea msumbiji au mnabweka tu pasipo kutumia akili! Kwenye hili hatutaki mtumie hisia tumieni akili!