Nawe ni mmoja wao, unarudia yaleyale ya ku-generalize. Si sahihi kusema Waislamu vile au Wakristo hivi, kila individual ahukumiwe au asemwe kwa matendo yake unless kama kitu kimefanya na institution au kundi flani.Wakristo imekuwa ni kawaida yao kukashifu dini ya kiislamu kila inapotokea tukio la kihalifu limefanywa na muislam basi tukio hilo (lake binafsi) kufunganishwa na dini yake tofauti na watu wa imani nyingine wao matukio yao huonekana ni yao binafsi, tunasema huu ni ushenzi na vyema wakaacha huu ujinga wao.
Bakwata hii hii tawi la chama?Ni matumaini yangu kusikia kauli kutoka BAKWATA
Kwani uongo,wenzetu ubaguzi umewazidi mnatamani hata ifike siku mtangaze Tanzania ni nchi ya Kikristo.Nawe ni mmoja wao, unarudia yaleyale ya ku-generalize. Si sahihi kusema Waislamu vile au Wakristo hivi, kila individual ahukumiwe au asemwe kwa matendo yake unless kama kitu kimefanya na institution au kundi flani.
Ahsante mkuuNjoo ule biryani Leo na fresh juice,umemalizaaaa
101% baadhi ya waumini hawajui na wanashindwa kuelewa lengo la dini !That is the $64,000,000 question. Tunagombana kwa sababu dini zinapingana au kwa sababu baadhi ya waumini wanashindwa kuelewa lengo la dini?
Umeona eenhh???!!!, Shida sanaUnaipika report, unaikoroga weee! unaichanganya kwa sana! unaichemsha! ndio maana mnakuja na uongo wa kupitiliza!
Je kama huyo 'individual' amefata mafundisho ya Dini take?Nawe ni mmoja wao, unarudia yaleyale ya ku-generalize. Si sahihi kusema Waislamu vile au Wakristo hivi, kila individual ahukumiwe au asemwe kwa matendo yake unless kama kitu kimefanya na institution au kundi flani.
Wapi nimesema kuna watu siwaamini au hawafanyi kazi au wanafanya kazi kipuuzi,usikurupuke kwa jazba second mihogo tunakula tukiwa na hamu nayo hatuponei mihogo kama shibe kama ilivyo kwako na kama uchunguzi unaendelea wasingetoa final Statement,wangesema the investigation is still on kama ambavyo hua wanasema Katika other serious issues,take a chill pillndio maana tunawaambia baada ya kushiba mihogo kachumbali,kafanyeni kazi.
taarifa nyingine zimefichwa maana upelelezi bado unaendelea,zipo video,chats,na voice note ambazo zimekutwa katika simu.
hawa watu mnaosema hamuwaamini tena,haimaanishi wameacha kufanya kazi,au kila kazi wanaifanya kipuuzi.kazi nyingine hazihitaji ubabaishaji.hasa wanapokufa wao hawajawahi kutegea.
Nimekuingiza rasmi kwenye kundi, nawe ni gaidi mfia dini.Kwani uongo,wenzetu ubaguzi umewazidi mnatamani hata ifike siku mtangaze Tanzania ni nchi ya Kikristo.
Tatizo lako u r full of hate and double standards,sijui na wewe member katika familia za polisi ndo maana,he was not right kama ambavyo wao hawakua right kumfanyia dhulma katika walichomfanyia mpaka akafanya alichokifanya,wote wako wrong na kama alikua gaidi kweli niliuliza humu na bado watu walio upande kama wako hawajajibu mbona hakuua watu wote waliokua eneo Lile,Polisi tu,facts over opinions and judgements,mnabaki tu hakua na madini wala nini then why did he attack the policemen only??Kabla hata ya ripoti ya polisi, kwa uchunguzi wangu mdogo nilipo ambiwa Hamza anamiliki Migodi halafu baadae nikaiona hiyo inayo itwa migodi yake nilichoka kabisa!!
sio migodi ile bali ni machimbo au matuta ya viazi!! alikuwa anabangaiza tu, hayo machimbo yalikuwa hayana uwezo wa kutoa dhahabu hata ya milioni 3, mnasema 400mln?! nendeni kwenye hayo machimbo mkaangalie hamna cha maana zaidi ya kubangaiza yaani bora hata anaye piga boda anapata kipato kuliko hayo machimbo.
vyovyote vile itakavyo kuwa Hamza hakuwa na uhalali wowote ule wa kuuwa askari 4 na kuwajeruhi kadhaa.
Wewe ni nani unitishie,haya kawaambie hao mabwana zako.Nimekuingiza rasmi kwenye kundi, nawe ni gaidi mfia dini.
Kama umefikia kuni-judge, you gotta be judged as well.
kwani kula mihogo dhambi!!!dhambi ni nini unafanya baada ya kushiba,so uwe unalia hamu au huna budi,kama ukishiba unalewa hilo ndio tatizo.Usikariri kila mtu anaponea mihogo kama wewe huko,mihogo tunakula kama appetizer siyo shine kama wewe
Wapi nimesema kuna watu siwaamini au hawafanyi kazi au wanafanya kazi kipuuzi,usikurupuke kwa jazba second mihogo tunakula tukiwa na hamu nayo hatuponei mihogo kama shibe kama ilivyo kwako na kama uchunguzi unaendelea wasingetoa final Statement,wangesema the investigation is still on kama ambavyo hua wanasema Katika other serious issues,take a chill pill
Mafundisho ya dini? Ipi? Stop throwing shades ukidhani hatutaelewa,Kuna dini inafundisha uovu au ndo chuki zinakupeleka mbio?Je kama huyo 'individual' amefata mafundisho ya Dini take?
nyinyi tukiwaita mbuzi,kaeni chini mjiulize mnakosea wapi!!!Tatizo lako u r full of hate and double standards,sijui na wewe member katika familia za polisi ndo maana,he was not right kama ambavyo wao hawakua right kumfanyia dhulma katika walichomfanyia mpaka akafanya alichokifanya,wote wako wrong na kama alikua gaidi kweli niliuliza humu na bado watu walio upande kama wako hawajajibu mbona hakuua watu wote waliokua eneo Lile,Polisi tu,facts over opinions and judgements,mnabaki tu hakua na madini wala nini then why did he attack the policemen only??
kwani unaishi dunia ipi!!!Mafundisho ya dini? Ipi? Stop throwing shades ukidhani hatutaelewa,Kuna dini inafundisha uovu au ndo chuki zinakupeleka mbio?
too much hate and negativity